Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Ukiona Mungu ameruhusu kiongozi mkubwa wa Taifa kuondoka katikati ya utawala wake, yakupasa kujiuliza sana aina ya uongozi wake!

MUNGU HAPENDI UONEVU, MUNGU HADHIHAKIWI
 
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Mipango ya Mungu ni mikuu sana,
Ndo maana hata yy pamoja na kulindwa na kila aina ya ulinzi, Mungu alionesha kuwa hakuna mlinzi mkuu zaidi yake..... unajua kilichotokea!
 
Kama Magufuli aliweza kumshambulia Lissu katika kipindi hicho bila kuhofia kujulikana kwamba atajulikana kuwa ni yeye sasa ni sababu ipi iliyofanya asimmalizie baada ya kujulikana Lissu hakufa? Ni kwamba aliogopa nini ambacho hakukiogopa mwanzo?
Aliogopa ukuu wa mungu
 
Nia ya kumleta Uzi hii ni kuonyesha kuwa kuanzia Novemba 2015 hadi March 2021 Tanzania ilikuwa inaongizwa na KICHAA. Asante Mungu kw maamuzi
🤣🤣🤣Jichanganye tu,hakuna utawala mzuri kama wa Magufuli.
Sikuwa tz but I can assure you nilipokuwa nilikuwa proud sana sababu kila napipita ukisema watoka tz unaskia tu sifa njema.

Kimataifa alituheshimisha sana.
 
Mimi sileti labda labda bali nahoji ila mnaoleta labda labda ni nyie mnaojifanya mnajua hadi walichokuwa wanakiwaza hao wahusika, mimi tu naona ule haukuwa muda sahihi kufanya shambulizi na tena inashangaza shambulizi lenyewe risasi mchana kweupe katika eneo kama lile, kulikuwa na ulazima gani hao wahusika kulazimika kufanya vile kwa mtu ambaye walikuwa wakimfuatilia kwa muda?

Inashangaza.

Ukitaka kujua kuwa ni maagizo ya dhalimu, jiulize ni nani alitoa amri ya askari wanaolinda gate wasiwepo hapo getini siku hiyo. Na kama polisi kweli hawakupokea amri kutoka juu kwa dhalimu kuhusu hilo shambulio, mbona hawajaanza na askari waliopaswa kuwepo getini na hawakuwepo. Hapo mchezo mzima umeisha.
 
🤣🤣🤣Jichanganye tu,hakuna utawala mzuri kama wa Magufuli.
Sikuwa tz but I can assure you nilipokuwa nilikuwa proud sana sababu kila napipita ukisema watoka tz unaskia tu sifa njema.

Kimataifa alituheshimisha sana.

Labda ulikuwa Somalia au Sudan kusini, huko ndio pekee wangeweza kusifia Tz chini ya dhalimu.
 
Jinamizi lilikuwa lina IQ ndogo sana,nilijisikia faraja sana lilipo Bite the dust.
rejoice.png
 
Dawa yako ni tozo tu, mpaka pumbu zipauke, CCM sio ya kwako, wewe kwao ni pawn tu, umeona nafasi za ubunge wa EA, zimeenda wapi!? Watoto wa vigogo! Ambao walipomaliza vyuo tu, wakiwa kwenye 24yrs tu, wakapewa nafasi ubalozini, wewe unatembeza bahasha ya kaki.
Utaambiwa hater a k.a Sukuma gang!
 
Dawa yako ni tozo tu, mpaka pumbu zipauke, CCM sio ya kwako, wewe kwao ni pawn tu, umeona nafasi za ubunge wa EA, zimeenda wapi!? Watoto wa vigogo! Ambao walipomaliza vyuo tu, wakiwa kwenye 24yrs tu, wakapewa nafasi ubalozini, wewe unatembeza bahasha ya kaki.

Duh umemchutamisha kwa lazima asee.
 
Wangekuwa hawataki wajulikane kabisa basi wasingefanya shambulizi kama lile wangeweza hata kumteka na tukaokota maiti au asijulikane kama yupo hai au kafa. Bado najiuliza kwanini walifikiria kufanya shambulizi lile mchana kweupe huku inajulikana Magufuli na Lissu picha haziendi?
Hilo shambulizi halikupangwa na TISS kama watu wanavyofikiri. Bali lilipangwa na Empty Head Daudi Bashite na Richard Musalika Makungu aliyekuwa incharge wa Operations za TISS.

Modest Kapilimba alitaarifiwa tu lakini hakubariki huu upuuzi ufanyike. Sasa wanaoshangaa kwa nini lilifeli wajiulize je Bashite aliyefeli O-level na kufoji cheti cha Makonda kweli anaweza akawa ndiye mtu tegemewa kuratibu operation kama hiyo?
 
Wewe kwa akili yako unahisi Magufuli alikufa a natural death😁😁😁? Few bastards made to believe that pathetic lie...

Well imekuwa ndio mfumo wa fisi for years eating another mans flesh while its still breathing.
Magufuli alikuwa na magonjwa sugu kuanzia 1990s. VVU + Pacemaker + Herpws Zoster + Kichaa +Diabetes.. Hivyo ilikuwa rahisi tu kwa COVID 19 kutembea naye.

Huyu mtu alikuwa mbovu au walking carcass ila akawa anawakoga kwa vi push up vya kizembe kwenye makukwaa mkamuona ana Afya. Jidanganyeni tu nyinyi
 
Magufuli alikuwa na magonjwa sugu kuanzia 1990s. VVU + Pacemaker + Herpws Zoster + Kichaa +Diabetes.. Hivyo ilikuwa rahisi tu kwa COVID 19 kutembea naye.

Huyu mtu alikuwa mbovu au walking carcass ila akawa anawakoga kwa vi push up vya kizembe kwenye makukwaa mkamuona ana Afya. Jidanganyeni tu nyinyi
Wewe ndie ulikuwa daktari wake au sio?
 
🤣🤣🤣Jichanganye tu,hakuna utawala mzuri kama wa Magufuli.
Sikuwa tz but I can assure you nilipokuwa nilikuwa proud sana sababu kila napipita ukisema watoka tz unaskia tu sifa njema.

Kimataifa alituheshimisha sana.
Walijuwa wewe mjinga tu kwa muonekano wa kichwa chako na macho yako (mongol). Wakakusifia UJINGA nawe ukafurahi.
 
Walijuwa wewe mjinga tu kwa muonekano wa kichwa chako na macho yako (mongol). Wakakusifia UJINGA nawe ukafurahi.
Unajua siku zote mwenye cheti feki na bogas lazma achukie mfumo wa Magufuli. Mlizoea kudekezwa sana wendawazimu nyie
 
Ukiita watu wajinga unakosea, binafsi nilikuwa naelewa falsafa za huyo mwamba. Pamoja na mapungufu yake lakini alikuwa determined na mission zake ilikuwa ni kutoboa tu.

Ambaye alitaka kuleta usiku kwa namna yeyote alichezea kibano. Its practical and natural ukiwa Alpha. Otherwise huta accomplish chochote katika hii dunia ila nashangaa inavyokuwa amplified kama vile Magufuli sio binadamu. Au sababu wewe huonekani unavyopambana na wapinzani wako katika kupigania maslahi yako kwenye media ndio unajiona msafi.
Magufuli ni hero wa wapumbavu kama wewe. Magu alizima uhuru wa maoni, alitishia kuvufingia vyombo huru vya habari. Akalitawala Bunge kutokea Ikulu kwa remote, na kuitisha Mahakama. Still unasema alikuwa ana nia nzuri? Hiyo ndiyo dhana ya MADIKTETA wote Kama akina Hitler, Mussolini nk. Huwekeza mtaji kwenye foolish population na huonekana watetezi wa wanyonge.
 
Magufuli ni hero wa wapumbavu kama wewe. Magu alizima uhuru wa maoni, alitishia kuvufingia vyombo huru vya habari. Akalitawala Bunge kutokea Ikulu kwa remote, na kuitisha Mahakama. Still unasema alikuwa ana nia nzuri? Hiyo ndiyo dhana ya MADIKTETA wote Kama akina Hitler, Mussolini nk. Huwekeza mtaji kwenye foolish population na huonekana watetezi wa wanyonge.
Mpumbavu ni wewe kmmmk... Uhuru wa habari is bullshit kwa nchi yenye mamluki kama Bongo.
 
Kumbuka tukio halikupangwa lifanyikie nyumbani kwake. Ndjo maana hawakujiandaa kuondoa kamera mapema.
Sasa hapo walipofanya shambulizi walikuwa wamepakusudia au ilikuaje? Maana walikuwa wanamfuatilia kwa muda tu.
 
Mipango ya Mungu ni mikuu sana,
Ndo maana hata yy pamoja na kulindwa na kila aina ya ulinzi, Mungu alionesha kuwa hakuna mlinzi mkuu zaidi yake..... unajua kilichotokea!
Kipi cha ajabu hicho kifo? Wamekufa mitume na manabii wa Mungu tena kwa kuuliwa kabisa, nakubaliana na wewe mipango ya Mungu ni mikuu na yeye mwenyewe ndio mwenye kuijua.
 
Back
Top Bottom