IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

Wajadili nini na wote wateule was mkuu,
Mkutano wa wadau halafu unamwalika Spika.
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
 
acheni kutisha watu wanapotoa maoni,kwani uongo?
Kanuni na miongozo si vipo Sasa hapo wanataka Nini Tena au ndio umungumtu kama ilivyo ada ya watawala wa Afrika kuishi Kwa matamko na kuvunja katiba?
Shame!
Nadhani kukosoa hakuna shida yoyote.
Shida ipo kwenye kumtukana RAIS. Kumwita RAIS fool ni utovu wa adabu.
Lakini tunajua ni malezi tu hayo yamekosekana.
 
... the best way ni kuzingatia Katiba inavyosema; Msajili anaweza na always yuko biased! Msajili na Katiba nani superior? Mbona Katiba ya nchi inapuuzwa namna hii?
Kaziiendelee
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Haelewi anachofanya. Sasa kulikuwa na maana gani kuwa na sheria hizo?
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
KATIBA IMEELEKEZA KILA KITU NANI AFANYE NINI TATIZO KUNA CHAMA HAKITAKI VYAMA VINGINE VIFANYE MIKUTANO NA KINATUMIA POLISI
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Hivi CHADEMA kinawalaza macho sana eeh.. Maana bila kukitaja hampati raha kabisa
 
KWA MATUSI HAYA KWA RAISI WETU, MIMI NAONA AENDELEE KUWAZUIA MIKUTANO YENU YA HADHARA. KWELI MAMA WAWATU ANAHANGAIKA NAMNA HII KULETA MWAFAKA WA SIASA MUMEANZA MATUSI MAPEMA HII??
Kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kuzuia au kuruhusu mikutano ya siasa.Mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba yetu pamoja na sheria zetu.

Wewe unaongea mambo yasiyoeleweka ya Rais kuzuia mikutano ya siasa, labda utakuwa umechanganyikiwa kama yeye au umebeba mzigo wa umbumbumbu kichwani mwako kama yeye pia.
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Daaah
 
Kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kuzuia au kuruhusu mikutano ya siasa.Mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba yetu pamoja na sheria zetu.

Wewe unaongea mambo yasiyoeleweka ya Rais kuzuia mikutano ya siasa, labda utakuwa umechanganyikiwa kama yeye au umebeba mzigo wa umbumbumbu kichwani mwako kama yeye pia.
KWAHIYO ANASITAHILI KUTUKANWAA??
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Tatizo wewe ni pumbaavu wa katiba ya nchi hii!
 
KWAHIYO ANASITAHILI KUTUKANWAA??
Ametukanwa wapi?Wewe ukiwa kichaa kisha ukatokea mahali halafu watu wakasema kuwa yule kichaa anakuja,hao watu watakuwa wanakutukana?

Tunamwita ni mbumbumbu kutokana na matendo yake pamoja na maneno yake.

Unataka tumwite kuwa ni mwerevu wakati anafanya mambo ya umbumbumbu?
 
Back
Top Bottom