... sanaa ya kuhamasisha wengine wapigwe risasi? He could do better than that please! Ana tofauti gani na Interahamwe!Jaribu kujenga picha kichwani mwako, kwamba wewe ndio Diamond na ukiimba huo wimbo unalipwa shilingi milioni 500 au zaidi.
... 2025 ni mada nyingine! Hoja hapa ni chuki!kwahiyo sasa unadhani akikosa 2025 ataisaport chadema[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
tusichoke kufikiri.
Huko USA wanapoishi wafadhili wa miradi yetu ya afya watoto wa shule za msingi wanawapiga risasi waalimu na wanafunzi wenzao, wewe unashangaa hapa Tanzania.... sanaa ya kuhamasisha wengine wapigwe risasi? He could do better than that please! Ana tofauti gani na Interahamwe!
... kwa hiyo ndio jamaa alikuwa anahamasisha ili na sisi tufikie level hizo?Huko USA wanapoishi wafadhili wa miradi yetu ya afya watoto wa shule za msingi wanawapiga risasi waalimu na wanafunzi wenzao, wewe unashangaa hapa Tanzania.
Punguza roho za wivu, zitaishia kuiumiza tu nafsi yako.
Tatizo watu wengi wanapenda kutunga uongo juu mtu, hizo lyric mstari wa mwisho hazipo kwenye nyimbo zake.... naye akatumia sanaa kukoleza ubabe na kuchochea chuki ndani ya jamii! Cheki kipande cha mashairi yake; unayatafsiri vipi?
Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
CCM kwa bongo hii huwezi kuikwepa, vumilia tu kumuona anaimba wakati wa kampeni. Unaongelea kuua ukisahau kuwa kuna mengi sana mema yanafanyika nchi nzima.... kwa hiyo ndio jamaa alikuwa anahamasisha ili na sisi tufikie level hizo?
Kwanini unaizungumzia CHADEMA wakati hakuna mahali chama kimetoa tamko lolote? Kwanini unaihusisha chadema kwenye hili? Kwani wanaharakati kina Fatuma Karume, Maria Sarungi na Kigogo ni viongozi wa CHADEMA?Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.
Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.
Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.
Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?
Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?
Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?
Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?
Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.
Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Kwani lisu sio kiongozi?Kwanini unaizungumzia CHADEMA wakati hakuna mahali chama kimetoa tamko lolote? Kwanini unaihusisha chadema kwenye hili? Kwani wanaharakati kina Fatuma Karume, Maria Sarungi na Kigogo ni viongozi wa CHADEMA?
Personal views za Lissu sio kauli rasmi ya chama. Kauli za chama zinatolewa baada ya vikao rasmi vya chama...sijui hata unajua siasa na taratibu za vyamaKwani lisu sio kiongozi?
Kama ndivyo basi duniani pasingekuwa na neno adhabu kwa kosa lolote ili mtu ajifunzeHabari za wakati huu wakuu.
Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.
Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.
Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.
Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?
Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?
Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?
Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?
Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.
Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Mi nauliza tu hivi huyo Diamond ndo nani kwani?WASANII (WANA SANAA)
...CCM Chama imara, kimeleta ukombozi Afrika, kinahimiza maendeleo kwa Watanzania.
WASHOBOKAJI SASA...!!
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi, chinja, mashoga hao.
Wataweza kweli aah wapii, kushindana nasi aah wapi. Tuna Polisi tuna jeshi wamekwishaa!
Tuache kufosi King Wakuu.
We are fighting the wrong problem...
Nchi mzima imelala mnataka Diamond ndio aamke.?
Inasikitisha kuona wananchi waliodharauliwa na Diamond kwa umoja wao wameshindwa kujaza petition ya only 15000 people within a short period of time.
Kama tumeamua kusagia kunguni watu walioside na oppressor tusagie nchi nzima maana majority walikuwa wamelala.
We are missing the real battle. Na denial wont get us anywhere.
Mijitu mipumbavu et inataka kumharibia dogo wa Tandale wakati hana tatizo na mtu anatufuta pesa kwa jasho lake tuwe wazalendo tupende vya kwetu..kama lile Choko wanaliita mwijaku sijui kama halina shanga kiuononi na mwenzake H baba hana tofauti Asha Ngedere wanaongea shombo za kichoko kwa mwanaume mwenzao
Ndugu punguza mihemko kidogo utuambie ni wimbo upi alisema wapinzani wapigwe risasi... bila unafiki, kwa nia njema kabisa kutoka mioyoni mwenu, tupeni tafsri ya mashairi hayo hapo chini; wimbo wa Diamond huo! "Wapinzani piga risasi", halafu wapinzani wam-support! How? Shida tumejawa unafiki, hayo mashairi yamejaa uchafu mwingi.
Kwa nchi inayojali usawa huo wimbo haukutakiwa kuruhusiwa ila kwa kuwa ni kwa faida ya "chama chetu, tena tuna jeshi", watafanya nini? Of course, hawana cha kufanya, ila hata chuki? Kutwa kucha mnapandikiza chuki wenyewe na huyo mtu wenu ambaye leo anaomba support ya kila mtu ili "ashinde"!
Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
Hii ni ishara nzuri tu kuwa hiki chama tunachokishabikia bado haijakomaa kushika nchiMimi si mtu wa vyama kabisa, ila nawaona washamba sana kwa mnachofanya, yani team nzima ya upinzani imeshindwa kupgania haki mpaka wengne wakakimbia nchi alafu mnategemea mtu mmoja tena yeye ndio kitu kinamfanya aishi apinge chama ambacho hata hao wapinzani wanekimbia.
Hamfanyi kitu kizuri.