Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
CHADEMA ni chama cha hovyo sana na hao wanaharakati uchwala, wasanii wote wa Tanzania wameshiriki kwenye shughuli za CCM na hiyo ilikuwa biashara ina maana hata wao wangemtaka si wangeweka hela mezani akaenda kwenye shughuli zao huu ni upuuzi wa kiwango cha lami

Kawaambie hao wasanii waliosimama upande wa kiongozi dhalimu wachaguliwe kwenye shindano lolote la kimataifa, uone kama watapata support ya wapenda haki. Cdm haina mahusiano na huyo mpuuzi anayetaka kura za wote sasa, na wala huku mitandaoni sio ofisi za cdm.
 
Hii ni ishara nzuri tu kuwa hiki chama tunachokishabikia bado haijakomaa kushika nchi
Huna lolote ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Kuna timu za simba na yanga, je umewahi kuona chama chochote cha siasa kikipangia wanachama wake timu ya kushangilia? Huku jukwaani sio ofisi za chama chochote cha siasa na hakuna popote hicho chama kimejihusisha na mambo ya hiyo tuzo. Sasa unaposema unashabikia chama ili kishike dola sijui unamaanisha nini.

Ni hivi, hakuna mwenye tatizo na uccm wa Diamond, bali tuna tatizo na Diamond kusimama na kiongozi dhalimu pindi watu wakiuwawa, wakitekwa na unyama mwingi na siasa za kishenzi. Mbona captain Komba alikuwa ccm na hakuna aliyekuwa na tatizo naye? Ni hivi, sisi wapenda haki ukisimama na kiongozi dhalimu lazima tukupe kubwa yako. Hiyo petition tumeisaini sana,na hata wale waliokuwa hawajui tumewashawishi na kuwaelekeza cha kufanya. Hili ni fundisho kwa msanii mwingine kutojifungamanisha na kiongozi yoyote dhalimu fullstop.
 
Huna lolote ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Kuna timu za simba na yanga, je umewahi kuona chama chochote cha siasa kikipangia wanachama wake timu ya kushangilia? Huku jukwaani sio ofisi za chama chochote cha siasa na hakuna popote hicho chama kimejihusisha na mambo ya hiyo tuzo. Sasa unaposema unashabikia chama ili kishike dola sijui unamaanisha nini.

Ni hivi, hakuna mwenye tatizo na uccm wa Diamond, bali tuna tatizo na Diamond kusimama na kiongozi dhalimu pindi watu wakiuwawa, wakitekwa na unyama mwingi na siasa za kishenzi. Mbona captain Komba alikuwa ccm na hakuna aliyekuwa na tatizo naye? Ni hivi, sisi wapenda haki ukisimama na kiongozi dhalimu lazima tukupe kubwa yako. Hiyo petition tumeisaini sana,na hata wale waliokuwa hawajui tumewashawishi na kuwaelekeza cha kufanya. Hili ni fundisho kwa msanii mwingine kutojifungamanisha na kiongozi yoyote dhalimu fullstop.
Vipi kama Diamond kaamua kusimama upande wa Mamilioni ya watanzania ambao hawakuona huo udhalimu ambao umeuona wewe?
 
Hawa watu wanatuchanganya mkuu, Wako bungeni miaka kibao leo wanataka mapishi yaliyowashinda wao wakati wako jikoni wamtwishe Diamond.

Yani Diamond leo ndo kawa sababu ya chama fulani kutofanikiwa katika mambo fulani.
Hakuna chama kilichoinuka kumpinga Diamond. Ukimuona Lissu Lanafanya hivyo mhukumu yeye kama yeye. Diamond anaungwa mkono na wengi ambao ni ccm na chadema, pia anapingwa na wengi ambao ni CCM na CHADEMA.

Diamond sikiliza nyimbo zake za kampeni vema, ukiona mtu anasisitiza matumizi ya mabavu (risasi, polisi na jeshi) ili kushinda uchaguzi badala ya sanduku la kura ujue huyo hayupo kwa mema au haki. Msanii ni kioo cha jamii, matendo ya wasanii wengi yana dosari kulingana na utamaduni wetu wa kiafrika.

Leo hii tutawaita CHADEMA watatea mashoga...je huyu anayepigia chapuo ushoga na ulawiti kwa wimbo wake anaoimba "mtaro"!!

MwanaCCM damudamu mimi hapa, ila nitasema kweli daima nayo kweli itaniweka huru.

Mondy anajitahidi na kupambana sana, ila anakosa hekima...
 
Hakuna chama kilichoinuka kumpinga Diamond. Ukimuona Lissu Lanafanya hivyo mhukumu yeye kama yeye. Diamond anaungwa mkono na wengi ambao ni ccm na chadema, pia anapingwa na wengi ambao ni CCM na CHADEMA.

Diamond sikiliza nyimbo zake za kampeni vema, ukiona mtu anasisitiza matumizi ya mabavu (risasi, polisi na jeshi) ili kushinda uchaguzi badala ya sanduku la kura ujue huyo hayupo kwa mema au haki. Msanii ni kioo cha jamii, matendo ya wasanii wengi yana dosari kulingana na utamaduni wetu wa kiafrika.

Leo hii tutawaita CHADEMA watatea mashoga...je huyu anayepigia chapuo ushoga na ulawiti kwa wimbo wake anaoimba "mtaro"!!

MwanaCCM damudamu mimi hapa, ila nitasema kweli daima nayo kweli itaniweka huru.

Mondy anajitahidi na kupambana sana, ila anakosa hekima...
Wapi? Lini? Wimbo upi? Kasisitiza watu wapigwe risasi?

Wivu haunaga sababu
 
Vipi kama Diamond kaamua kusimama upande wa Mamilioni ya watanzania ambao hawakuona huo udhalimu ambao umeuona wewe?
Mbele ya dictator unapimaje maamuzi ya watu, huku ukiona uchaguzi unanajisiwa kimachomacho?
 
Mwendazake ndio kwisha

Hayupo tena

kwisha kwisha kwisha

Mkuu hayupo huyo, Acha uhuru wa watu, Tusipangiane cha kufanya

Aliwazoesha vibaya Mwendazake

Hayupo huyo, Amka amka Amka

Amka amaka hayupo

hukumu hiyo hiyo mnayowahukumu wengine nanyi mtahukumiwa kwayo.kila kitu mnachokiona duniani kitapita lkn hakika neno la Mungu halitapita.kuweni makini kwa maneno na kauli zetu.
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
 
Africa ipi? kwa sensa ipi na conclusion yako
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
 
Africa ipi? kwa sensa ipi na conclusion yako
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
 
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
Inategemea unaongea na akina nani... sampling technique, kuondo bias hasa katia social science.. Ukiongea na madikiteita lazima upate majibu kama unayoyasema! ..kagame, Museveani , wa Burundi.....
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Kwa hiyo ujumbe wako,hasa kwetu ni upi.
 
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
nope nope nope . kwa issue kama hiyo unahitaji sample space zaidi ya 300.
unafanyia mahojiano 15 peoples halaf una conclude ni africa nzima?

ulisoma chuo gani ww?
be serious man
 
nope nope nope . kwa issue kama hiyo unahitaji sample space zaidi ya 300.
unafanyia mahojiano 15 peoples halaf una conclude ni africa nzima?

ulisoma chuo gani ww?
be serious man
It has previously been recommended that qualitative studies require a minimum sample size of at least 12 to reach data saturation (Clarke & Braun, 2013; Fugard & Potts, 2014; Guest, Bunce, & Johnson, 2006) Therefore, a sample of 13 was deemed sufficient for the qualitative analysis and scale of this study.
 
qualitative research huhitaji kwenda huko kote, pengine hujui namna ya kufanya tafiti za namna hii...
no ww ndio hujui hata qualitative research inakupa result za aina gani.
kwenye issue kama hii unatumia quantitative research kupata actual data kutokana na idadi ya watu unao hoji.
 
mzee
no ww ndio hujui hata qualitative research inakupa result za aina gani.
kwenye issue kama hii unatumia quantitative research kupata actual data kutokana na idadi ya watu unao hoji.
haina haja nikwambie nimesomea wapi maana hutoamini, nenda tena shule, ukajifunze kuhusu qualitative research analysis Vs quantitative research.
 
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
Mwelimishe Retired kuwa wakati mwingi Census huwa ni Survey with a bigger sample. N and n
 
Back
Top Bottom