Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri uone kunguni wanavyosagwa, hakuna cha dimond wala dimonde, alijiunga na muuaji magufuli sasa hivi atajuta yaniMaria, chadema na kigogo ni fungu la kukosa!
Diamond sasa hivi ni mkubwa kuliko chadema mana wanapambana nae kuliko walivyopambana na ccm
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
JPM hakufanana na marais wengi wa afrika kwa sababu ya back ground yake, ni mtu wa sayansi aliyeamua kugombea na akakutana na zali la kuwa mgombea.walau wewe una hoja, lakini hata kama ningetumia quantitative methods nakwambia bado Magufuli alipendwa na wengi...amini nakwambia.. mi mwenyewe iliniudhi, maana ukiwaeleza ukatili wake hawakuelewi, Sijawahi kukutana na mwafrika aliyempinga Magu...
Kamsome Adolf Hitler, Benito Mussolini na Yahya Jammeh wote ndiyo design ambayo Mwendazake alikuwa anafuata
Kuna wale ambao shughuli zao ziliharibika kwa sababu ya maamuzi magumu na ya kishujaa ya JPM, mara nyingi hasira zao wanamalizia humu jukwaani kwa kuanzisha threads.Alikuwa Bonge la Rais ndio, ndio maana aliiingia nafasi ya 2 miongoni mwa washindani wa tuzo hizo hapo chiniView attachment 1812534
Mkuu,Shalom from Jerusalem,
Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.
Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.
Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.
Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.
Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.
Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.
ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Huna lolote mkuu toa mchafu wakoShalom from Jerusalem,
Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.
Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.
Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.
Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.
Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.
Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.
ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Mwendazake KAFA kwa Presha za ChademaMaria, chadema na kigogo ni fungu la kukosa!
Diamond sasa hivi ni mkubwa kuliko chadema mana wanapambana nae kuliko walivyopambana na ccm
Ahhh.. Kumbe!..Mwendazake KAFA kwa Presha za Chadema
Mwendazake alikuwa na DNA ya Burundi, alijaa chuki, kiburi, manyanyaso, UWONGO na wizi.Kuna wale ambao shughuli zao ziliharibika kwa sababu ya maamuzi magumu na ya kishujaa ya JPM, mara nyingi hasira zao wanamalizia humu jukwaani kwa kuanzisha threads.
Wananchi wa kawaida kabisa waliotetewa wakarudishiwa mashamba waliyoporwa hawawezi kumsema vibaya hayati. Waliopata hati za viwanja baada ya miaka mingi ya kusumbuliwa wizarani hawawezi kumsema vibaya hayati.
Wanafunzi walioanza kukalia madawati mwaka 2016 baada ya miaka ya mgongo kuuma sakafuni ndio wale walikuwa wanalia pale uwanja wa uhuru baada ya kukatiza mbele ya jeneza, huwezi kuwasoma humu jukwaani.
Acha kuchekesha watu, Magufuli alikuwa comedian na alichekesha dunia mzima na siyo kwamba alipendwa!Shalom from Jerusalem,
Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.
Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.
Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.
Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.
Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.
Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.
ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Mkuu hayo ni maoni yako na yanaheshimiwa. JPM kama asingekuwa jasiri asingefanya mengi huko mikoani.Mwendazake alikuwa na DNA ya Burundi, alijaa chuki, kiburi, manyanyaso, UWONGO na wizi.
Alitumia udhaifu wa Watanzania kwa kuwanyima habari kwa kuwa vyombo vya habari vilivyokuwa vinamkosoa alivifungia kama Mwanahalisi, Mawio na Tanzania Daima.
TVs zote na magazeti yakawa yanatangaza habari zake tu ambazo Ni PROPAGANDA za uwongo.
Kwa hiyo unachosema Phillipo Bukililo kuwa wananchi wa kawaida aliowapa mashamba wanamuona kama mkombozi siyo ajabu.
Wakati wa BWM kulikuwa na kashfa ya EPA na wakati wa JK kulikuwa Richmond na Escrow. Tusingeweza kuzijua kama Uhuru wa Habari ungebanwa kama Mwendazake alivyobana kipindi chake.
Yeye alijijua ni DIKTETA na mwizi na mwongo hivyo basi akaanza na kuvidhibiti vyombo vya habari ili anapokwapua zile Tsh 2.4 Trillion visiripoti.
Tuwe serious, hivi unaweza kusema unapambana na UFISADI bila kuwa na CAG anayefanya kazi independently?
Hapana !! Mungu ametupenda sana Watanzania kwa kumuondoa huyo Mrundi Magufuli kabla hajaiharibu sana nchi yetu
Labda Africa ya chato alipojenga Uwanja wa ndegeShalom from Jerusalem,
Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.
Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.
Diamond ana kura za kutosha za UVCCM.Haitaji kura za CDMShalom from Jerusalem,
Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.
Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.
Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.
Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.
Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.
Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.
ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Kama ni mwanasayansi au siyo mwanasayansi, unachotakiwa kujua ni kuwa kwenye statistical analysis, the bigger the sample the higher perfection. The smaller the samples the higher the biasedness.Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
Diamond ni baba yako wewe na wajinga wachache wa drs la 7.Maria, chadema na kigogo ni fungu la kukosa!
Diamond sasa hivi ni mkubwa kuliko chadema mana wanapambana nae kuliko walivyopambana na ccm
Ccm ilishakufa,inasaidiwa na dola tu.Ahhh.. Kumbe!..
Sasa mbona ccm haifi kwa presha za chadema?
Kwani Diamond alikuwa anaimba nn kumpamba magufuli?Siyo muziki?Chadema wameacha siasa na kuwa kundi la muziki,😃😃😃😃😃