Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Maria, chadema na kigogo ni fungu la kukosa!

Diamond sasa hivi ni mkubwa kuliko chadema mana wanapambana nae kuliko walivyopambana na ccm
Nani kakwambia we Chademe kabisa ULISIKIA wapi

20210607_142822.jpg
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Africa ilikuwa inamfurahia Magufuli kama watoto wanavyomfurahia Mr Bean!

Asipoelewa ninachomaanisha, wadau saidieni kumwelewesha.
 
It has previously been recommended that qualitative studies require a minimum sample size of at least 12 to reach data saturation (Clarke & Braun, 2013; Fugard & Potts, 2014; Guest, Bunce, & Johnson, 2006) Therefore, a sample of 13 was deemed sufficient for the qualitative analysis and scale of this study.
Hapana kubali tu umekosea ndugu

Kama ulikua unatafuta magnitude ya how many people accepting the Magufuli regime basi hapo huwezi tumia Qualitative techniques...Key ni magnitude/upana/HOW many...tena kama ni Africa inabidi uchukue nchi kutoka horn zote yaani west, east, central, north and South (5 countries at least).

Kama ungekua umefanya your research kujua WHY watu wanamu accept or kutomu accept Magufuli sasa hapa ina maana unataka ku explore deep down, maana yake purposively utawachukua key persons wasiozidi 100 kutoka Horn zote 5 za Africa, its just a one case underpinning the study here.

Kwa hiyo hicho ulichokifanya sio research, its something else.
 
no ww ndio hujui hata qualitative research inakupa result za aina gani.
kwenye issue kama hii unatumia quantitative research kupata actual data kutokana na idadi ya watu unao hoji.
Soma hapa chini uone huyu PhD candidate wa Oxford alitafiti PhD research 500 na alipata averaje kwamba sample size iliyotumika ilikuwa ni 30 tu. Sasa hapa wewe uliyesoma vyuo vyako vya kata ambavyo hata kwenye 1000 bora duniani havimo unapinga nini. Kumbuka kwenye hiyo 30, kuna waliotumia sample size ya 40, 25, 13 n.k kiasi akapata average ya 30...


"A number of issues can affect sample size in qualitative research; however, the guiding principle should be the concept of saturation. This has been explored in detail by a number of authors but is still hotly debated, and some say little understood. A sample of PhD studies using qualitative approaches, and qualitative interviews as the method of data collection was taken from theses.com and contents analysed for their sample sizes. Five hundred and sixty studies were identified that fitted the inclusion criteria. Results showed that the mean sample size was 31; however, the distribution was non-random, with a statistically significant proportion of studies, presenting sample sizes that were multiples of ten. These results are discussed in relation to saturation. They suggest a pre-meditated approach that is not wholly congruent with the principles of qualitative research."

Hiyo article unaweza kuipata hapa Sample Size and Saturation in PhD Studies Using Qualitative Interviews | Forum Qualitative Sozialforschung / Forum: Qualitative Social Research imekuwa published kwenye journal za maana zinazotambulika duniani
 
qualitative research huhitaji kwenda huko kote, pengine hujui namna ya kufanya tafiti za namna hii...
Labda kama umri wangu umeenda sana, ila qualitative research hatuitumii kufanya "generalization".

Kuhusu hiyo ya hao wanaojiita wanaharakati, kuna Tz ya twitter na hii tunayoishi nje ya fake ID.
ASANTE.
 
Hapana kubali tu umekosea ndugu

Kama ulikua unatafuta magnitude ya how many people accepting the Magufuli regime basi hapo huwezi tumia Qualitative techniques...Key ni magnitude/upana/HOW many...tena kama ni Africa inabidi uchukue nchi kutoka horn zote yaani west, east, central, north and South (5 countries at least).

Kama ungekua umefanya your research kujua WHY watu wanamu accept or kutomu accept Magufuli sasa hapa ina maana unataka ku explore deep down, maana yake purposively utawachukua key persons wasiozidi 100 kutoka Horn zote 5 za Africa, its just a one case underpinning the study here.

Kwa hiyo hicho ulichokifanya sio research, its something else.
walau wewe una hoja, lakini hata kama ningetumia quantitative methods nakwambia bado Magufuli alipendwa na wengi...amini nakwambia.. mi mwenyewe iliniudhi, maana ukiwaeleza ukatili wake hawakuelewi, Sijawahi kukutana na mwafrika aliyempinga Magu...
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Itoshe kusema tu.

MARIA SARUNGI
FATUMA KARUME
MANGE KIMAMBI
KIGOGO
Hawa ni pika pakua wa ccm,Maisha yao yote mpaka kukoma damu ya hedhi no ccm
Wazazi wao Wana mchango mkubwa sana ktk kuiyumbisha nchi hii enzi wapo madarakani.
Ikumbukwe tu Hawa walopiga kura ya kumchagua JPM 2015 na wao ndo walizunguka kupiga kampeni.
Nenda kaangalie ata huo uanarakati uchwara wameanza baada ya kukosa teuzi,hivyo mito ya asali wakahisi imekata.
Hawa ni wahuni tu hata anayewaamini nafikiri anahitaji kupimwa mkojo.
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Hakuwamzuri kwako...Mimi kwangu bado alikuwa mzuri na ataendelea kubaki kuwa mzuri
 
walau wewe una hoja, lakini hata kama ningetumia quantitative methods nakwambia bado Magufuli alipendwa na wengi...amini nakwambia.. mi mwenyewe iliniudhi, maana ukiwaeleza ukatili wake hawakuelewi, Sijawahi kukutana na mwafrika aliyempinga Magu...
Sio walau nina hoja, bali nina hoja...nikishasema key persons kwenye your research it means hutachukua mtu toka Majohe au Tandale ili aweze kukupa data...utamchukua mtu kutoka Majohe mwenye features/title/status/proffesional/ ambayo itaweza kukufeed raw data ambazo zipo sahihi...nazungumzia Qualitative analysis/techniques na falsafa zake. Sizungumzii whether Magufuli alkua anakubalika au hakubaliki.
 
Goblack2 africa na Travelling sister hawa ndio walikuwa wanaongoza kuwa brainwash diaspora kwa ujinga eti magufuli ni bonge la rais
Ivi katika tuzo za Marais bora Africa mbona Jina lake lilitokea vile
 
Hapana kubali tu umekosea ndugu

Kama ulikua unatafuta magnitude ya how many people accepting the Magufuli regime basi hapo huwezi tumia Qualitative techniques...Key ni magnitude/upana/HOW many...tena kama ni Africa inabidi uchukue nchi kutoka horn zote yaani west, east, central, north and South (5 countries at least).

Kama ungekua umefanya your research kujua WHY watu wanamu accept or kutomu accept Magufuli sasa hapa ina maana unataka ku explore deep down, maana yake purposively utawachukua key persons wasiozidi 100 kutoka Horn zote 5 za Africa, its just a one case underpinning the study here.

Kwa hiyo hicho ulichokifanya sio research, its something else.
Au angesema angalau amefanya hiyo research yake kwenye angalau nchi za kiafrika 15! Sasa unahoji wakikuyu 15 Unafanya conclusion?!!
 
Maria kama asingekuwa ni binti wa Mzee Sarungi aliyekuwa waziri na mheshimiwa miaka ya nyuma basi siku nyingi sana wasiojulikana wangekuwa wameshafanya mambo yao mabaya.
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Nitanukuu sifa walizopewa/wanazopewa madikteta mbali mbali duniani waliopo na waliotangulia mbele za haki. Yupo moja hapa Afrika aliitwa Eyadema wa Togo...huyu alikuwa anasifiwa kwa kufanikiwa kumaliza ukame nchini Togo kwa kuwezesha mvua kunyesha na wananchi walikuwa wanaandamana kumpa Asante.

Hata J K Nyerere alisema ukiona kiongozi anapenda sana kusifiwa ujuwe huyo anakaribia kuwa DIKTETA
 
..."licha ya ukatili wake"...!Pole!Unahitaji uhamishiwe hotel maarufu inaitwa "Milembe"!😂😂😂😂
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta.

Nimepata wakati mgumu sana kuwaaminisha watu (waafrika wa nchi nyingine mbali na Tanzania) kuwa Magufuli hakufaa na kwamba alikuwa muuaji, alikandamiza wapinzani, alibambikiza kesi wapinzani na uovu unaofanana na huo.

Hivyo kujitokeza kwa wanaharakati wakiongozwa na Maria Sarungi wanaotaka BET imwondoe Diamond eti kwa sababu alimuunga mkono Magufuli , "kipenzi cha waafrika", kunaweza kusieleweke kwa waafrika wengi ambao ndiyo hasa wapiga kura kwenye tuzo za 2021 za BET.

Wala siyo siri weusi wengi huku ugaibuni wanamwona Magufuli alikuwa shujaa na ni ngumu sana kuwaaminisha vinginevyo.

Jambo baya zaidi wanalolifanya akina Maria ni kumpinga Diamond lakini wakati huo huo na kwa nguvu isiyo na mfano kumuunga mkono Burna Boy. BET inaweza isiwaelewe na inaweza kuona kuwa wanatumika.

Imani yangu ni kwamba hata ikiwa Diamond atashindwa basi siyo kwa sababu ya akina Maria bali ni ushindani wa kawaida kabisa wa mziki.

ANGALIZO: KUPENDWA KWA HAYATI MAGUFULI TANZANIA NA AFRIKA HAKUMAANISHI KWAMBA ALIKUWA NI KIONGOZI MZURI LA HASHA, BALI NI UJINGA WA WATU KUTOKUTAMBUA YALIYOKUWA YANAENDELEA NYUMA YA PAZIA. KWA WAELEWA WA MAMBO MAGUFULI HAKUWA KIONGOZI MZURI HATA KIDOGO.
Waafrica wapi wewe lofa? Umelalia kifua cha mumeo hapo ndio akakudanganya hivyo? Mpuuzi kweli kweli!!!
 
Back
Top Bottom