Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Maisha ni zaidi ya tuzo. Vipi kuhusu wale wanamuziki walioimba nyimbo za Chadema za kampeni mwaka 2015 na wao biashara zao zisusiwe?.

Ni kichekesho kumfanyia fitina Diamond kisa kampeni za CCM halafu ukaunga mkono Sabaya kukamatwa na mtu aliyepewa kazi na Rais Samia.

Mtu mweusi mpaka akili zimekuwa nyeusi.
 
Ooooh, mbona sasa kwenye katazo la kuingia Marekani hawakusema kuwa wamemzuia Makonda na watu wake wa karibu? Bali walimtaja yeye mwenyewe, kwanini kwenye tuzo ndo watu wenye mahusiano nae wahusike? Ufafanuzi please
Watu wake wakarbu pia wamekataliwa, mkewe hatakiwi USA , na SADALA piga spana😂
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Mkuu, nadhani ishu sio utafutaji, Diamond ana hela. Ishu ni tuzo anayogombea, anastahili? In narrow sence, Diamond hastahili tuzo ile, na kwa Burna Boy, anastahili kama watu wanavyozungumza. Frankly speaking, hata akiipata, hatakua mwenye furaha.

Lini Platinumz akazungumzia mabaya yanayoikumba nchi, kwa sababu ya uongozi dhalimu. It was 200% better kumpa hata Roma, tungemsapoti.

He needs to calm down, this isn't beef at all, watu tunasema uhalisia, and he needs to learn. Msanii anapandishwa ba watu, hata kama akijinasibu kwamba kakaa juu yeye, bado watu ndio wanamuweka pale.

Hastahili hiyo tuzo.

My pleasure.

Rumi.
 
Too late man, that's a wake up call, mitandao siku hizi ina nguvu zaidi ya polisi na Ndugai, liwe funzo kwa Diamond mwenyewe na wasanii wenzake kina Harmonize, Kiba na wengine, ole wao tena washiriki kampeni za CCM, mbaya zaidi alijitutumua twitter hajawahi kushindwa vita ndio akajiharibia kabisa.
Mwisho wa siku akipiga show anajaza, wewe unabaki na umaskini wako.
 
Wrong thinking
Kuna miarabu nayo ilisema hv hv wkt Hamas na Hezb wanafanya harakati zao leo hao waarabu ni wakimbizi leo Chadema wanataka kila mtu kufata ideology yao husipofata ww ni adui wa taifa mmefika stage 2 ya hamas wakiwachekea nyiny mtafika stage 3 na 4 kama walivyo hao waarabu
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Tanzania kuna vyama zaidi ya kumi vyenye usajili wa kudumu. Unataka viongozi wa chama kipi watoe tamko?
 
Hao wanaojiita Wanaharakati wanaoendaesha campaign dhidi ya Diamond ni wapumbavu tu ambao hawajawahi kuendesha campaign yoyote ikafanikiwa.

Hawana mchango kwa msanii yeyote hapa nchini. Mtu kama Maria Sarungi amesoma, amekula na kuishi kwa Kodi za wanyonge hawa hawa halafu anajifanya kuendesha campaign dhidi mtoto aliekulia kwenye lindi la umasikini na leo amejikwamua nae tunamuonea wivu.

Stupid!
 
Wasanii wanaojitambua duniani hawafanyu ujinga unaofanywa na wasanii wetu hapa Tz, wengi hujiweka mbali na siasa ili kuepuka kuwavuruga fans wao wanaoweza kuwa na itikadi tofauti.

Hawa wetu walizubaa akili zao muda mrefu sana sasa ndio wanaamshwa, next stop kwa wale wajinga bongo movie kina Steve Nyerere, Wema, Uwoya, na wenzao, hakuna kununua movie zao.
Mimi si mtu wa vyama kabisa, ila nawaona washamba sana kwa mnachofanya, yani team nzima ya upinzani imeshindwa kupgania haki mpaka wengne wakakimbia nchi alafu mnategemea mtu mmoja tena yeye ndio kitu kinamfanya aishi apinge chama ambacho hata hao wapinzani wanekimbia.
Hamfanyi kitu kizuri.
 
Cdm na naona wanalifanya hili Jambo kwa. Hisia fln HV za kidini pia maan ukianglia hakuna waislmu wanaokubali hayo mfno mzur bananga yey Yuko tofauti
diamond ataendela na harakati zake za kuiunga mkono ccm hata akishindwa hizo tuzo.

unajua mtu aliyekata tamaa ya uhai hurusha mateke hewani kwa lengo gani?!chadema imekwisha kwa sasa inaishi kwa kick tu.

msanii amabye yuko bega kwa bega na chadema ji nay wa mitego na roma.wengine wote wanaangalia maisha yao,hizo harakati kunuka washaona hazina future.

Chadema ni mzigo wa takataka hawajui wanataka nini.

CHADEMA- wamekosa hoja wanaungaunga

Wewe utakuwa shoga unayetetea laana yako ya kubanduliwa

Hiki chama hakitafanyikiwa kamwe wamejaa chuki sana na ukabila
... bila unafiki, kwa nia njema kabisa kutoka mioyoni mwenu, tupeni tafsri ya mashairi hayo hapo chini; wimbo wa Diamond huo! "Wapinzani piga risasi", halafu wapinzani wam-support! How? Shida tumejawa unafiki, hayo mashairi yamejaa uchafu mwingi.

Kwa nchi inayojali usawa huo wimbo haukutakiwa kuruhusiwa ila kwa kuwa ni kwa faida ya "chama chetu, tena tuna jeshi", watafanya nini? Of course, hawana cha kufanya, ila hata chuki? Kutwa kucha mnapandikiza chuki wenyewe na huyo mtu wenu ambaye leo anaomba support ya kila mtu ili "ashinde"!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
RAFIKI WA ADUI YAKO NI ADUI YAKO DIAMOND ALIKUWA RAFIKI WA JPM NA JPM ALIKUWA NI ADUI NA MTESI WA WATANZANIA .
... cheki mashairi yake objectively utabaki mdomo wazi! "Wapinzani piga risasi"!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
Yule alikosea kuwaomba Watanzania kumsapoti kwenye ule mpambano ndipo wanaharakati wakamwambia mbona tulipolia kuteswa na watawala hukutuunga mkono badala yake ukaungana na Watawala kutuzodoa. Kwa hali hiyo nawewe pambana na hali yako. Si suala la wivu ni suala la mshikamano. Hata huku mtaani kama hutokagi wenzio wakilia hata wewe utakapolia wanakunyamazia na kukuzodoa. Kwa hiyo dogo amelianzisha mwenyewe kuomba mshikamano wakati yeye hakushikamano wenzie walipolia.
... yule ni mshenzi Mkuu; mashairi yake hapo chini ni aibu ya taifa; ni aibu kwa kila mpenda amani:-

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
Diamond na management yake walijua fika siasa za fitina,ubabe na kibaguzi za Mwendazake, ajifunze kitu kwa wasanii nguli kina Bob Male na Luck Dube. Madhila yeyote yakimpata itakuwa somo muhimu.Umoja na ustawi wa taifa ni muhimu kuliko yeyote.
... naye akatumia sanaa kukoleza ubabe na kuchochea chuki ndani ya jamii! Cheki kipande cha mashairi yake; unayatafsiri vipi?

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
Maisha ni zaidi ya tuzo. Vipi kuhusu wale wanamuziki walioimba nyimbo za Chadema za kampeni mwaka 2015 na wao biashara zao zisusiwe?.

Ni kichekesho kumfanyia fitina Diamond kisa kampeni za CCM halafu ukaunga mkono Sabaya kukamatwa na mtu aliyepewa kazi na Rais Samia.

Mtu mweusi mpaka akili zimekuwa nyeusi.
... context na ujumbe uliomo ndani ya mashairi vina-matter sana! Cheki mashairi ya Diamond, yanavutia au siyo?

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
Mkuu, nadhani ishu sio utafutaji, Diamond ana hela. Ishu ni tuzo anayogombea, anastahili? In narrow sence, Diamond hastahili tuzo ile, na kwa Burna Boy, anastahili kama watu wanavyozungumza. Frankly speaking, hata akiipata, hatakua mwenye furaha.

Lini Platinumz akazungumzia mabaya yanayoikumba nchi, kwa sababu ya uongozi dhalimu. It was 200% better kumpa hata Roma, tungemsapoti.

He needs to calm down, this isn't beef at all, watu tunasema uhalisia, and he needs to learn. Msanii anapandishwa ba watu, hata kama akijinasibu kwamba kakaa juu yeye, bado watu ndio wanamuweka pale.

Hastahili hiyo tuzo.

My pleasure.

Rumi.
... anahamasisha wapinzani wapigwe risasi! Huyu jamaa ni hatari sana!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
 
... bila unafiki, kwa nia njema kabisa kutoka mioyoni mwenu, tupeni tafsri ya mashairi hayo hapo chini; wimbo wa Diamond huo! "Wapinzani piga risasi", halafu wapinzani wam-support! How? Shida tumejawa unafiki, hayo mashairi yamejaa uchafu mwingi.

Kwa nchi inayojali usawa huo wimbo haukutakiwa kuruhusiwa ila kwa kuwa ni kwa faida ya "chama chetu, tena tuna jeshi", watafanya nini? Of course, hawana cha kufanya, ila hata chuki? Kutwa kucha mnapandikiza chuki wenyewe na huyo mtu wenu ambaye leo anaomba support ya kila mtu ili "ashinde"!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!

kwahiyo sasa unadhani akikosa 2025 ataisaport chadema[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

tusichoke kufikiri.
 
... context na ujumbe uliomo ndani ya mashairi vina-matter sana! Cheki mashairi ya Diamond, yanavutia au siyo?

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
Jaribu kujenga picha kichwani mwako, kwamba wewe ndio Diamond na ukiimba huo wimbo unalipwa shilingi milioni 500 au zaidi.
 
Back
Top Bottom