Ulishawahi kununua au una-burn CD tu?
Mikwara tu hamna lolote. Wateja wa hizi movies ni watu flani hivi uswahilini wala hawafahamu hizi vita zenu, movie zinanunuliwa Kama kawa.
 
Kwahiyo na Harmonize, Zuchu mmewasusia? Vipi na wasanii wengine Kama wote walioshiriki campaign za CCM?
 
Ahhh.. Kumbe!..

Sasa mbona ccm haifi kwa presha za chadema?
Wanapindua meza kila uchaguzi jiwe kwenye uchaguzi wa 2020 alikiri wabunge wasijisifu kujipeleka wenyewe bungeni ila wamepelekwa Mungu akafanya yake.
 
... cheki mashairi yake objectively utabaki mdomo wazi! "Wapinzani piga risasi"!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
Ulitaka amuimbe mwenyekiti wa UDP...

Nikiangalia objectively naona ametumia metaphor just like any musician
 
Vipi hawa "Wapuuzi" wasipo puuzwa Mondi amejipangaje kwa mengine yajayo?
Kibinadamu kuwa na mbadala ni muhimu.
Mshaurini na hilo pia
Watashindwa inshalah.

Ila ikitokea asikate tamaa, achukulie kama ajali tu aendeleze ubunifu wa kazi zake abaki Msanii kinara Africa Mashariki.
 
Wewe ndiyo mmoja kati ya wanaofanya Watanzania wengi waitwe wapumbavu. Yaani maiti imewekwa uwanjani, na Serikali imesema ni mapumziko, kwa nini unashangaa watu wanakwenda kuaga?
Ubora wa mtu haupimwi na watu waliokwenda kuaga kwa kuwa Afrika hata wachawi na wezi huwa tunakwenda kuwaaga.
Watu mtaani kwenda kuaga maiti ya marehemu ni mila za Kiafrika. Hapa Dar hata Marehemu Stephen Kanumba naye alifunga mtaa kwenye msiba wake.

Hata Ruge Mutahaba naye alifunga nyomi
 
Chadema na watu wake ni wagonjwa wa akili isipokuwa Mbowe anajitambua kidogo
 

Alimbambikizia kesi Nani. Nguvu ya Rais wa Tz. Anahitaji kuzunguka kufanya jambo. Ukatili gani amefanya. Mana nyie mnasisitiza haki ya asili ya kujitetea. Ushahidi nk.
 
Leo umekiri kwa kinywa chako kuwa Mwendazake alikuwa katili ? Mtakiri sana lakini hafufuki jamani kashaenda Bora mtafute kazi zingine za kufanya mataga .
 
JPM alikuwa kiongozi shupavu huko mtaani walimuelewa sana.

Hata wewe unaweza kuwa na hiyo sifa ya upumbavu. Hapo ni Nigeria wenye akili timamu na wenye kujua kupima mioyo ya viongozi wanamuongelea.
 

Attachments

  • 228EC3FF-C6A2-4090-A5C4-E4324B04EF18.MP4
    10.7 MB
Waafrica wapi wewe lofa? Umelalia kifua cha mumeo hapo ndio akakudanganya hivyo? Mpuuzi kweli kweli!!!
Alimbambikizia kesi Nani. Nguvu ya Rais wa Tz. Anahitaji kuzunguka kufanya jambo. Ukatili gani amefanya. Mana nyie mnasisitiza haki ya asili ya kujitetea. Ushahidi nk.
Wew kama sio Sabaya basi ni Libashite na naongea kwa Staili ile ya Mkuu wa wilaya ya Iringa kuwa Tuliza mat...wewee. Magufuli ni muharifu tuu kama genge lake alilo unda la Sabaya na Makonda alistahili muda huu kuwa huko aliko Sabaya ila Mungu akaona kwa Ukatili na mauaji aliyo yafanya ni vema Amfyekelee mbali yeye mwenyewe kuliko kusubili mahakama za dunia.
Yaani huwa kila niamkapo asubuhi namshukuru Mungu kwa kuondoa utopolo huu uchwara
 
Watashindwa inshalah.

Ila ikitokea asikate tamaa, achukulie kama ajali tu aendeleze ubunifu wa kazi zake abaki Msanii kinara Africa Mashariki.
Malipo ni hapa duniani,yaani huyu kijana katoka kumdhalilisha baba yake hapa majuzi wakisaidiana na mama,machozi ya mtu hua hayapotei bure
 

..hilo siyo jambo la kushangaza.

..hata kati yetu Watz kuna watu wanaomhusudu Robert Mugabe, lakini ukikutana na Wazimbabwe watakupa story nyingine kabisa.
 
ndugu zanguni hiyo kitu wanamfanyia diamond imebackfire ndo imempaisha zaidi, this guy is way tooo fucking influencial🤣🤣🤣🤣🤣 hata mm sikua na mzuka wa kumpigia kura (sio kwa chuki binafsi lakini, mda tu. napenda kazi zake ) ila daa he's all over the place yaani inabidi tu mwisho wa siku umpigie kura
 

licha ya ukatili wake,​

Just a moment...! Mpaka hapo unakiri kuwa mwendazake alikuwa mkatili, au siyo? Kwamba vitendo anavyotuhumiwa navyo ni kweli! Hivyo na waliomuunga mkono kwa namna fulani ni wahusika.

Afrika ilimpenda Magufuli,​

What...? Je na waliofanyiwa ukatili nao walimpenda? Kwamba pamoja na ukatili wake, Waafrika walimpenda! Kwa hiyo ukatili Afrika ni moja katika sifa inayokubalika katika uongozi au siyo?

mtaangukia pua vita yenu dhidi ya Diamond​

My God...! Yaani kitakachowafanya waangukie pua ni kule kupinga na kulaani ukatili na kukataa kuwaunga mkono wanaofumbia macho vitendo vya kikatili? Masikini Afrika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…