Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Ni swali zuri, kwa tafiti za sayansi ya jamii ukiongea na sample ya watu 15, hapa namaanisha mazungumzo ya kina kabisa na ya muda mrefu, inatosha kufanya hitimisho. Na ndicho nilichofanya. Huwezi kuwaaminisha vinginevyo waafrika wengi kuhusu Magufuli. Tafiti za aina hii huwa ni qualitative.
africa inawatu 1.34 billion
unajimwambafai kabisa..eti kisayansi ukiongea na watu 15 inatosha, what a joke, hiyo survey yaa ainaganimkuu kwa sample space uliyonayo,na umewaselect kwa niagani mpaka warepresant population target yako
 
Shalom from Jerusalem,

Awali ya yote napenda niweke wazi kuwa sikumpenda kabisa Magufuli kutokana na ukatili wake ambao uliumiza wengi Tanzania. Lakini ukweli usiopingika ni kwamba ukatili wa Magufuli waafrika wengi nje ya Tanzania na hata ndani ya nchi hawakujua kilichokuwa kinaendelea. Kiufupi kulikuwa na kitu kama brainwashing iliyowafanya wengi kutokuona maovu ya rais huyo dikteta...
Kwa upumbavu unaoendelea Nigeria,Zimbabwe na kwingineko barani Africa,waliomba wapate Rais kama Mwendazake hata kwa mwezi mmoja.Shujaa ni Shujaa tu ailazimishwagi.
 
Maria na Kigogo wake hawajui washike lipi kila Vita wanataka wapigane ,ili wajifariji Kwa ushindi ,wapo kama Yanga ,baada ya kujua Ubingwa wa VPL hawawezi kupata wakaona furaha Yao iwe Mapinduzi cup
 
watu wanajitahidi kuiaminisha dunia mpaka mishipa ya shingo inawatoka km magufuli alikuwa katili lakini wana dunia hawawaelewi kabisa... wanatumia nguvu nyingi na hasira zilizomo vifuani mwao ili watu wote wamuone magu mbaya lakini wapi... ndo kwaanza watanzania wanaendelea kumtukuza kila leo na hawatumii nguvu kwa vile aliyowafanyia waliowengi yaliwaumiza wachache., ipo hv, huezi kunyang'anya shamba afu ukawarudishia wenye nalo na yule alonyang'anywa akakupenda, never.., ni lazima alipuke kwa hasira mpaka macho yawe mekundu akitaka kuwaaminisha nyie mliorudishiwa mashamba yenu kuwa kafanyiwa ukatili, huku nyie mnamuona kama kachanganyikiwa huyu... hahaha
 
Baada ya BET kuisha sijui watahamia kwa nani?

Sijui sura zao wataziweka wapi Diamond akishinda, maanake itazihirisha bila wao na hao viongozi wa hiko chama kinacho ongozwa na mizuka plus mihemko,sichochote na ni wadogo mbele ya Diamond.

Kwani pamoja na kelele zote hizo,ila kama uliandikiwa kupata utapata tu.
 
hizi wasted sperms za tweeter haziwezi kushindana na mtandale hata kidogo... huyu dogo kajichafua mwenyewe toka kitambo na wala hakuwahi tetereka, sembuse kuchafuliwa na hawa malaya???
 
Hapa kuna mambo mawili makuu .1) Hii imedhihilisha kuwa Diamond ndio msanii mkubwa zaidi hapa Tz .Alikiba,Harmonize,Rayvan,Nandi nk....... Mbona hawatajwi wakati Mao walikuwa chawa was jiwe
 
watu wanajitahidi kuiaminisha dunia mpaka mishipa ya shingo inawatoka km magufuli alikuwa katili lakini wana dunia hawawaelewi kabisa... wanatumia nguvu nyingi na hasira zilizomo vifuani mwao ili watu wote wamuone magu mbaya lakini wapi...
Althought our late president alifanya mengi mazuri.

nadhani unachanganya dunia vs Watanzania.

unaongelea population ya 7,869,930,218 vs 58.01 million.

No offense but trust me. kuna nchi huko nje zimemjua alipofariki.. kuna zingine hawamjui kabisa.

populism yake kwa watanzania inaweza kuwa kubwa kweli lakin hai reflect dunia nzima. kuna tofauti kubwa sana
 
Mabibi na mabwana inashangaza kimbembe cha huyu bwana:


kuhusishwa na vyama vya siasa. Mbona utakuwa ni umburula uliopitiliza?

Huyu na apambane na hali yake kwani kila mtu huvuna alichopanda!
 
100% TRUE SAID MKUU @provocater!
Mondi namkataa sana hata kama asingeji ngiza kwenye siasa.

1. Baada ya kupata umaarufu akaanza kutoa maboko mala nyegizi mala nyimbo za ovyo.

2.kamkataa baba yake sijawai ona ni Mondi peke yake mtoto kumkataa baba yake utafikiri alijela mwenyewe dunia.

3Kuvaa vikuku miguu na kutoboa masikio kuvaa shanga kiunoni Utamaduni wa magaribi

Siwezi poteza muda wangu
 
Corona Chief Provocateur...vipi barakoa ya ngapi leo hadi mda huu?

Laiti nwendazake angesikiliza haiyumkiniki angekuwa hai leo.

Vipi utakuwa nyungu, mnaendelea nao?

Unapotafakuri usisahau kujikita kwenye mada.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hela yenyewe ya barakoa unayo ama unaongea tu nawe usikike
Barakoa hadi jero siku hizi unapata na kuna hizi barakoa za kitambaa hazina gharama na hadi wazungu wanatumia siku hizi, ila ndio hivyo sasa hivi tunasubiri chanjo mambo ya barakoa sijui kuchukua tahadhari tupa kule habari ya mjini ni chanjo.
 
Back
Top Bottom