Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Aliyefungua kesi ni nani? Ndugu wa mwanamke?
 
Nyie ndo vilaza sasa. Maana mpuuzi mwenzenu mmoja aliejifanya anamsifia eti mke wa gsm ni mama wa nyumbani huyo ndo nliekua namjibu nyie wenye nyege mmeikutia mada katikati. Mkadandia ndo maana siku hizi mmo.
Sasa si utulie upelekewe moto, watu wananyege unawakatalia. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanatumia hisia kutafakari 🤣
 
Hajaolewa huyu unakuta kapo 25 ndio maana kanajihami. Mwanamke aliyeolewa huu uzi asingeubishia maana anajua balaa la uraini lilivyo.

We ushawahi kutana na mlala njaa anamwaga chakula? [emoji848]
 
Umenielewa vizuri kabisa
 
Hajaelewa mada inahusi nini, reply ya kwanza kabisa pale mwanamke mwenzie kaelewa mada inahusi nini na kaeleza ukweli wake.

Ila huyu ana inferiority complex, anahisi kashambuliwa kihisia wakati mada haijajikita huko anakotaka yeye.
Huyu mimi nina uhakika ni Jadda huyu. Yaani ndio anakuwaga na ligi za kipuuzi za hivi kubishana na watu wazima na hakuna analojua.
 
Hapo kwenye kuniita nna matatizo ya akili tunaweza kufikishana mbali bro. Kuwa tu mstaarabu maana hamna mtu hana maneno ya shombo. Wewe unasema unamtengenezea mkeo mradi wa kufanya. Na wasio na uwezo wa kutengeneza huo mradi wanafanyaje?
 
Hapa umenena mkuu.
Maisha ya ndoa huwa yanatofautiana uendeshaji.
Japo kuna namna zingine haziko sawa hata kidogo japo wanandoa mmekubaliana.
Mathalan nina shemeji yangu dada wa mkewangu,kaolewa ila mume kamuacha mkoa A yeye anafanya kazi na kuishi Manyara.
Anarudi mara moja kwa mwezi kesha anaondoka.
Sasa hapa kuna ndoa kaka??
Maamuzi mengine tunayochukua wanaume ni kuwaokoa wenyewe wanawake na masahibu ya dunia,ila wao hawaelewi hili.
 
Wife ana mradi wa kuku wa mayai zaidi ya buku nyumbani, huwezi amini ila kwa mwezi anawapiga overtake wafanyakazi wengi sana wa umma kwa maokoto
 
Kwa bahati mbaya, yeye ndo alinilipia ada ya masters. Kwahiyo kwenye hilo kundi lako haingii. Next
Muongo wewe, unaishi kwa wazazi wako na utakuwa tu ni mtoto wa kishua maana hizi story huwezi kuta kwa binti ambaye anayajua maisha ya kawaida.
 
Sasa kama haujaambiwa uache kazi povu la nini unagombana na wanaume wanaotaka wanawake waache kazi! [emoji1787][emoji1787]
Na nyie waachisheni wanawake wenu kazi hawa wamjini
Wanauwamia nini🤣
 
Mwanaume akisoma anakuwa na akili anapata kazi ya mshahara mkubwa au anafungua biashara kubwa, mwanamke akisoma anakuwa mjinga anaanza kugombana na wauame na wanawake wenzake anajiunga na mafeminist ambao hawana ajenda moja ingawa wapo pamoja, wanazeeka bila maisha wanakuwa vichaa.
 
Umeishiwa hoja. Hakuna hata point moja mliyojibu kwa hoja! Wanaume wa hf mnawaandama sana wanawake. Ingieni labor basi ili tumalizane kabisa
Aiseee macomrade mje hapa hii Violence isipoe iwe ya moto naomba mje na kuni za kutosha.
 
Mwijaku amesoma ila amechagua kuwa msifia wanaume. Baba levo kaacha udiwani yupo mjini anatamani kumzalia diamond. Na wakirudi nyumbani tunawapokea na kuwapa heshima zote za kuwa baba wa familia.

Kupanga ni kuchagua.

Hapo unaposema mwanamke akisoma anakua mjinga na mimi nizidi kusisitiza wanaume wana vichwa viwili na wengi wanatumia cha chini kufanya maamuzi that makes all of them dumb as well. Acha kutukana wanawake
 
Aiseee macomrade mje hapa hii Violence isipoe iwe ya moto naomba mje na kuni za kutosha. View attachment 3002634
Hivi we unadhani nakuogopa? Ndo maana saizi kizazi kinacholindwa sana ni cha kiume maana mkikunjwa kidogo
Tu kwisha habari🤣🤣 jishkilieni hivyo hivyo mlinde nyeti hizo maana ndo zinazowapa kiburi hii vita utapigana mwenyewe. Sibishani na mtu aliepita katikati ya mapaja ya mwanamke. Labda kama ulijambwa.

Violence is hereby accepted. 🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…