Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

Asingemwambia angefanya namna yeyote waachane! Ingekua Mimi hapo
Ningeextend mda wa uchumba labda kama tulikubaliana tufunge ndoa 2024 mwezi wa pili ningemwambia tufunge ndoa 2026 mwezi wa 11

Ningetengeneza matukio fake yatakayoonesha napitia kipindi kigumu Sana hali inayohitaji niwe mbali kidogo au inanitenga na Watu

Kwa sababu tulishakua kwenye uchumba ningekua najua hapendi nini na udhaifu wake upo wapi basi ningecapitalize mule mule mpaka ajiongeze
 
But kuna ulemavu huwa unakuja bila genes kuwa involved, mfano ajali, magonjwa makali ambayo huweza athiri mfumo wa umeme na mtu akapooza aidha viungo au mwili mzima, etc.

Sasa anaweza dhania anakwepa huko halafu mikosi ikamrudia yeye kwa namna nyingine kabisa halafu wakakutana na huyo binti akiwa na watoto wakubwa tu ambao hawana shida.
 
Kudadadeki, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] apate sasa ile feeling ya kutenga vyombo akidhania ualbino unaambukiza?
 
Misemo ya "Hujafa hujaumbika" ni kuhalalisha matatizo yasiyo na ulazima.

Kijana kafanya vyema sana kuepuka balaa la mbeleni.

Ninyi mnao komenti ushubwada hapa wa hujafa hujaumbika, Huyo kijana akipata mtoto mlemavu mtamsaidia kulea?
 
Chai..[emoji477]
 
Mnaodai jamaa hayupo sahihi hampo sahihi, kuna koo zina malaana mnyororo ukiingia kichwakichwa unaunga tela, Ndo maana tunaambiwa kabla ya kuoa tufuatilie background za hawa mabinti. Shauri yenu na shingo zenu ngumu
 
Afrika wangesema kalogwa...[emoji1]
 
Aisee, pole sana mkuu mbona mnatoa shuhuda nzito sana
 
Uliona ukisema wewe ndo umemkimbia huyo binti tungekushambulia sana?? Anyway mrudie tu huyo binti
 
Niliwahi kusikia Manara huwa anachukua tahadhari kupima wenza wake kama nao wana genes za albinism kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa na watoto.

Ikitokea wote wawili mna hizo genes kuna uwezekano mtoto akapata albinism ama akabena genes za albinism,
 
Mjifunze kuwa na mipaka. Ana uhuru kufanya maamuzi yoyote anayotaka cha msingi hajavunja sheria za Nchi. Watu kama nyie hampo huru kiakili wala kimaisha. Mimi leo naweza kumuoa binti yako na kumuacha kesho na wala nisikose usingizi na siyo kwamba na roho mbaya bali najua umuhimu wa maisha yangu.
 
Kwanz huyo bint wa miak 22 mwaka huu na alimalz degree mwak jan alisom ndan ya Taifa letu , maan bachelor alimlz na 21[emoji2]

Mimi naona jamaa amefany maamuz sahihi kbsa na amewez kutoa maelekezo fasaha
Tatzo la sis nikuzchanganya hisia na akil zfanye kaz kwa PAMOJA [emoji3055][emoji4]


Mara mia uremavu wa viungo ila uremavu wa akil ambao ni genetically hapn labda uwe umetokea kwenye process ya kuzaliw (mtoto kucmama kweny njia cvx to vagin muda wa kutok na kupelekea kukosa oxgen kupelekea hali hyo au mtoto kukosa maziwa halis ya mam pind tuu amezaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…