Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Kwa heshima yako nasitisha. Ila mzee nimeoa kila mtu anajua sijawahi fanya hili swala siri na hata kuna watu wameshawahi zungumza na mke wangu hapa.
Mfano Mwachiluwi juzi kanipigia akaanza kumwambia wife mimi ni mtu wa mademu humu. Kaniachia kesi wakati si kweli. Nimemmind kinyama huyu jamaa ni fala kabisa[emoji35][emoji35][emoji35]
Ndo maisha yalivyo
 
KATAA SINGLE MOTHERS.

Kwa Afya bora ya Akili, Mali na mwili.

Ewe kijana Epuka Single Mothers.
 
Usipokuwa na upande maana nyepesi hujachangia. Ndiyo maana jamaa kasema =0
Sio kweli mkuu. Nisipokuwa na upande, maana yake sitobase upande mmoja, nitaelezea hoja za kila upande ambazo ninazo.

Kuwa na upande, ni kutetea side moja, na kifunika hoja ulizonazo juu ya upande mwingine, hata kama ni positive
 
Kwa heshima yako nasitisha. Ila mzee nimeoa kila mtu anajua sijawahi fanya hili swala siri na hata kuna watu wameshawahi zungumza na mke wangu hapa.
Mfano Mwachiluwi juzi kanipigia akaanza kumwambia wife mimi ni mtu wa mademu humu. Kaniachia kesi wakati si kweli. Nimemmind kinyama huyu jamaa ni fala kabisa😡😡😡
Bado endelea kijana
 
Amtake wife wangu ? [emoji1787] Biblia imeandika usitamani mali ya myu mwingine [emoji3]
Sasa mtu ataamka tu na kukusemea kuwa fulani ni mtu wa mademu?

Kuna jamaa ni rafiki yangu, ana michepuko na mie ninayo na twaijua ila ndo twabebeana siri
 
Usiingizwe mjini na Mrombo Gily wewe utauzwa peupee🤣
Endelea kuota nimeweka hapa nyingi tu ulipoenda kujificha
Sasa nasema ukiendelea kuota ukiona choo ndotoni usikitumie😀 sawa eeh
gru-despicable-me-3-2017 (3).jpg
 
Back
Top Bottom