😆 unajua watu hawachelew kukupa jina humu kausha mwananguGily amezoea anapojiita supavillain ana maanisha amezoea kubeba vilainishi🤣🤣🤣🤣🤣😂
haha mapenz hayampendi analazimisha🤣🤣 we jamaa una majungu hatariWe tafuta pesa mangi acha na mapenzi hayakupendi😂😂
Hizi pic zako aiseeeh! Kweli uliifuatilia vizuri hii animation 😂😂😂Mke wa mtu sumu hatari hata mazoea huwa sitaki kabisa navaa miwaniView attachment 2629219
mwanangu wewe huna baya nakupa sister wangu kama hujaow ukifika 35😀😀Upo sahihi sana!
Usiku mwema mfogo wangu😆 unajua watu hawachelew kukupa jina humu kausha mwanangu
haha mapenz hayampendi analazimisha🤣🤣 we jamaa una majungu hatari
Ukiona za jukwaa la wakubwa utacheka sana noma sana😀Hizi pic zako aiseeeh! Kweli uliifuatilia vizuri hii animation 😂😂😂
Am above that Gee! So what’s up! Can I have her😂😂😂mwanangu wewe huna baya nakupa sister wangu kama hujaow ukifika 35😀😀
unalala sasa hivi mapema kesho ukafanye ajira za watu🤣🤣Usiku mwema mfogo wangu
Let's wait till you get 40 hivi ili at least afike chuo😀Am above that Gee! So what’s up! Can I have her😂😂😂
Hahahaaa! Yani from 35yrs now you’re saying 40yrs...you not serious Buddha 😂😂😂Let's wait till you get 40 hivi ili at least afike chuo😀
ukija home kunisalimia ushindw kutongoza sio kuwa nakupa anakufata🤣🤣🤣 hapo utongoze mzee
Kutongozwa huwa siogopi mzee nimeshatongozwa sana na wanawake wengi kweli hadi machoko as I can say and still am cool and humble guy at all!Let's wait till you get 40 hivi ili at least afike chuo😀
ukija home kunisalimia ushindw kutongoza sio kuwa nakupa anakufata🤣🤣🤣 hapo utongoze mzee
Aiseeemshamba_hachekwi naomba ufikishe taarifa kwa Glenn huu ndio ulaji wangu wa kuku[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2629151View attachment 2629152
Leo nakusamehe simuiti. Go take bath with salt water 😀Kutongozwa huwa siogopi mzee nimeshatongozwa sana na wanawake wengi kweli hadi machoko as I can say and still am cool and humble guy at all!
Nilishasahau kutumwa mkuuunalala sasa hivi mapema kesho ukafanye ajira za watu🤣🤣
Still my sister is young unataka kunijaribia dada yangi😀Hahahaaa! Yani from 35yrs now you’re saying 40yrs...you not serious Buddha 😂😂😂
Hao nakutana nao wengi sana wanavaa pulets nyeusi sikiono hata jana baada kupigwa kibuti na Clepatina nileenda sehemu kurestoo my brain somehow basi akaja mtasha flan hivi karibu na meza yangu kuomba kampani...😂😂😂😂yaliojiri sasa heavy broh!😂😂😂Leo nakusamehe simuiti. Go take bath with salt water 😀
first time natongozwa na choko lq kizungu nilikosa uzingizi sikuwez kula week mbili niliona gundu and that was when I was in form six
Nilienda Beach kuoga😀
Thanks usiiaibishe familia yetuNo.
I will be his stress quencher🙏
Hilo niachie Mimi nitadili nao perpendicularSema Nini,wasinywe pombe kabla ya maongezi tuwape Pepsi Pepsi na mirinda kwanza
teh teh 😀I tell you watch the legs. Hapo ndio utajua kuwa ametumika kiasi gani. Women legs tell its all 😀Hao nakutana nao wengi sana wanavaa pulets nyeusi sikiono hata jana baada kupigwa kibuti na Clepatina nileenda sehemu kurestoo my brain somehow basi akaja mtasha flan hivi karibu na meza yangu kuomba kampani...😂😂😂😂yaliojiri sasa heavy broh!😂😂😂
Hoja yangu siyo mwanamke kukubali au kukataa pale anapotongozwa, hoja yangu ni wanaume kulalamika kwamba siku hizi wanawake hawajitunzi ilihali hata wao hawako tayari kujitunza na ndio wanaowachezea hao wanawake, reality is reality and perception is perception hili ni suala la objectivity na siyo subjectivityHuo ni mtazamo wako kama mwanamke ndio maana unataka tuukubali na unafikiri ni reality. Nawanaume nao wanamitazamo yao hivyohivyo nawanaona ni reality ndio maana nikakwambia upendo haulazimishwi. Nanyie kama mnataka wanaume wastawi kiuchumi simuache kuwachuna na mkatae kuhudumiwa, [emoji23][emoji23][emoji23] two can play this game. Your not the victim, ni akili zako na maamuzi yako usimpangie mwanaume akuwazie vipi kama sisi tusivyowapangia mtuwazie vipi kuhusu sisi kuwa na uchumi wa kuwatunza nyie. Jitunze kunamtu kakulazimisha kufanya mapenzi sitamaa zako. Pia nimekwambia yaishe sista.
Jadda mrembo mwenye sura ya baba na hupendi kabisa kuwa karibu na wenzio😂😂😂 hivi huko mbeleni hutakuja kuwa singo maza kweli!?Hoja yangu siyo mwanamke kukubali au kukataa pale anapotongozwa, hoja yangu ni wanaume kulalamika kwamba siku hizi wanawake hawajitunzi ilihali hata wao hawako tayari kujitunza na ndio wanaowachezea hao wanawake, reality is reality and perception is perception hili ni suala la objectivity na siyo subjectivity