Hapo kwenye jamii kumlabel vibaya mwanamke ndipo exactly point ilipo kwanini wanaume wawalabel vibaya wanawake, ilihali wao ndio hawataweza kuvumilia endapo wanawake wote wataamua kujitunza na hayo masuala ya athari ni mtazamo tu wa kijamii, sababu ukienda kwa wazungu utakuta mitazamo tofauti na ukienda kwa waarabu utakuta mitazamo tofauti so hii ya kusema mwanamke ndio anapata madhara zaidi si uhalisia bali ni perception tu ya jamii za kiafrika
 
at dawn he was warned by the mods 🀣 I don't think he will do the same today If he is reported by any chance he will be banned. I doubt he will risk that πŸ˜€
Here we go again... He disliked your comment as well
 
Malalamiko mengi ya wanaowapinga single mother yapo kwenye ukishakuwa na single na kama baba wa mtoto yupo hai basi jiandae kupigiwa mzigo kupitia connection ya mtoto na siku zote ipo hivyo
 
Sasa sista, kwani ukiwa labeled tofauti siopinion ya mtu mwenyewe. Kwani utakufa, utashindwa kuishiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Wanaume tumeshaitwa mbwa na kila mwanaume ambaye hajaoa mpaka hajafikisha miaka 30 anaonekana ni kitombi asiye na mwelekeo wa maisha, umemsikia amelia au kulalamika. Kwenye jamii mwanaume kashakuwa labelled ni muharibifu na asiyemwaminifu hapo hata kabla mapenzi hayajui umesikia akilalamika. That's how life is, wanawake ndio mmeshatuchukulia hivyo, kwamba nyie ni watakatifu na innocent kuliko sisi yaani hadi kwenye baadhi ya kazi na ajira mwanamke ameonekana ni bora na anafaa kuliko mwanaume hasa HR na Treasurer. Ila sibado tunaishi na wanaume wamekubali kiroho safi. Sasa wewe unataka kila mtu aendane na fikra na mawazo yakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, hatuishi hivyo. The world is diverse na every one has his/her own opinions sasa kama wanaume hizo ndizo fikra zao kwanini mzibadilishe wakati nyie hambadilishwi zenu. Live your life my sister, live men to be men!
 
Sio mother sio wazuri hata kidogo na tena hawafai kuolewa maana mioyoni mwao wanakuwaga na visasi vikubwa Sana ambavyo huwa wanalipiza.

Tena wanaingiaga kwenye ndoa kimachale Sana kwa sababu wanaogopa kupata maumivu mengine Kama Yale waliyopata mwanzoni.In short, masingle mazas hawanaga mapenzi ya kweli.
 
Bro Una madini sana. Nahisi unasoma sana vitabu
 
Afadhali umejibu kwa kina sana na hapo ndipo matatizo yote yanapoanzia
 
Ila habari ya shangazi noma sana,mpaka mshua akamwita mtoto wake legend
 
Aah wapi
Kuna baadhi wamelaaniwa aisee, na wataishia kuishi maisha ya kilaana laana TU kwenye generation yao kiss kung'ang'ania damu za Koo zingine
Sababu zinazotajwa za kijinga, majivuno, tamaa, kujiona na kujigamba Ni baadhi ya mambo ambayo single mother wakijihusisha wataendelea kuwa wengi.

FEMINISM,
FEMINISM,
FEMINISM
Inaenda kiwa deal kwenye hii dunia ya LAANA.
 
Hasa kwa wale ambao baba wa mtoto kala kona mazima, naongea kwa ushahidi kabisa kuna uhakika wa asilimia 90 kulala na single mother siku hio hio.

Mara nyingi huwezi kujua ni single mothers sababu bado ni umri mdogo bado ni pisi kali tu, ila ndio hivo tena ukiingia line suala la kupewa mzigo ni kawaida sana, nikuvuta tu

Sababu inayopelekea sana hizi ishu ni kupata pesa ya kulea mtoto na kutafta zali la kupata mme wa kumheshimisha kwenye jamii na mtoto awe na baba.. katika mzunguko huu sex inakuwa cheap sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…