[emoji3][emoji3], wajuba wamekuelewa.
 
Single mama wengi ni viburi na jeuri ndo maana wanaachika ninapoandika apa yupo mmoja ana watoto wawili anamsumbua jamaa yangu naona huu mwaka hautaisha ataongeza list ya single mama

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wana-pyschological disorders. Wametendwa wakatendeka ndio maana wanaji-behave like that. Kila mwanaume wanamwona ni wale wale.

Tuwa-heal psychologically kwa maneno mazuri. Hata wa majuu ni shida, hawana tofauti.
 
Yaani tuwasaidie tu aisee, hiyo ilikuwa zamani saivi nipe nikupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…