Walioanza ngono juzi ndo wanagundua ngono rahisi ila kumbe ili kuwa rahisi kitambo kama zamani ilikuwa ngumu ukimwi usinge uwa maelfu ya watu mishoni mwa miaka ya tisini na mwanzo wa miaka ya 2000
Hili nalo neno👍
 
Hakika kabisa ulicho sema, na kingine hivi binti unazaa na Mme wa MTU unatarajia nini ?. kuna case kadhaa za mabinti baadhi wamezalishwa na wafanyakazi wa idara flani ya serikali na kinachofanya yote haya ni kutaka mserereko . Maana wengine sababu ya urembo wanajidai wao ni waraja flani wanataka MTU aliye tusua maisha .
 
Sema tu Sina Hela za kutatua shida za Hawa viumbe. Ila umasikini wa familia unafanya watoto wa kike kufedheheshwa sana. Wanageuzwa onjwa onjwa Kila wakihitaji pesa.

Wengine sio masikini mkuu! Ni wao wenyewe hupenda kupitiliza na kuhisi akimzalia mwanaume ataishi nae.....

shida sio pesa maana hata wa familia za kishua wamezalishwa!!! Ni aina ya kizazi ambacho tupo nacho na wazazi kuwa waoga kuongea na watoto wao!!!!

Asilimia kubwa wamama huwa wanashirikiana na watoto kwenye hili jambo, kikisha umana ndo linakuwa pembe la ng’ombe na mshua inabidi tu uwambie.

Tatizo lipo kwa wazazi wana waacha watoto wanaishi wanavyotaka nakuzani ndo malezi bora.
 
Haya mambo tunasababisha wanaume! hakuna single mother bila single father, tuwaheshimu dada zetu unless mnataka waanze kufanya abortion au kutupa watoto
Wakifanya ni wao
 
Kwamba wewe uzini, afu mtoto asizini?
 
Pana kitu watu uchanganya wanaunganisha wote kwa factor moja yaan umalaya wa kushindwa kujitunza.
Zipo sababu nyingi za mtu kuwa single.
Wapo waliofiwa na wenza wakaamua kuishi maisha hayo.
Wanaosemwa ni wale wazaa hovyo Kila mtoto na baba yake
 
Mimi ninawapenda na niko naye mmoja
 
Single mothers wengi wamejitakia kwa kudanganywa kihisia wanasema nyie wanawake mkiambiwa uongo ndio mnapenda ila wanaume wanaowaambia ukweli hampendi na hii nikutokana na kuendekeza zaidi hisia kuliko akili zenu ZAMANI mwanamke akizaa BILA kuolewa NI AIBU ILA SIKU IZI IMEKUWA FASHION SINGLE MOTHERS WENGI KULIKO WALIOOLEWA KWAIYO USILAUMU WANAUME UWASHAURI WANAWAKE WENZAKO WATUMIE AKILI ZAIDI KUINGIA KWENYE MAHUSIANO.KULIKO HISIA ETI WANAUME NDIO WANASABABISHA SINGLE MOTHERS WENGI WAKATI NYIE WENYEWE MNAJITAKIA KWA KUTANGULIZA HISIA KWANZA
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwawote mliotoa michangoyenu kwenye huu Uzi ila nitoe rai yakwamba kuoa nianasa
 
Ni kweli hayataki hasira ni mwendo wakushare tuu wala hamna shida. Mke wangu ni mke wako tugegedanage tuu ndio starehe namba moja duniani
Wahenga walisema lakini, sio mimi sheikh wangu. [emoji28][emoji28]
 
Wanaume baadhi tumechangia mno hawa singo maza kushamiri...hatutaki majukumu
Unakuta jamaa kanyoa ooooo na ku-skrabu uso, ahadi nyingi dada anaingia king kumbe jamaa hata kula yake ni ya kuunga unga kama hawa jamaa wa Skid Row-Berverly Hill.
 
Unakuta jamaa kanyoa ooooo na ku-skrabu uso, ahadi nyingi dada anaingia king kumbe jamaa hata kula yake ni ya kuunga unga kama hawa jamaa wa Skid Row-Berverly Hill.
Na vile wanawake wanataka sura za kifilipino acha walambwe waachwe na ushahidi.....sisi kina mabula tunawasubiri tuwakaange na sura zetu za kiafrika😩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…