Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu gani aliachana na mumewe ?Naombeni ushauri wenu wadau.
Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.
Mkuu hapo kwenye aya ya pili ni kweli kabisa, sitakiwi kukurupukaChunguza kwanza sababu zilizomfanya aachane na mmewe!
Mpaka hapo fahamu kama alikuwa ameolewa na kulipiwa mahari bado huyo ni Mke wa mtu!
Chakula chako cha usiku juu yanguSingle mothers ni wanawake kama wengine tuu na wote wanakuja na tabia na sifa tofauti kama wanawake wengine tuu, ni vijana wajinga tuu na wasio na akili wa JF wanaoogopa kuoa single mothers kwa sababu wanaogopa watachapiwa, wengine ni single mother kwa sababu walikuwa katika mahusiano ya hovyo (abusive) sasa wametoka, wengine mwanaume alikuwa kila kona nyumba ndogo, mlevi na hajali familia etc acheni huu ujinga
Mme wangu alimzalishaga nesi mmoja hivi saizi huyo dada kaolewa na Ana mtt mmoja Cha kushangaza wanapasha kiporo na mme wangu mpk siyo poa.....oa Kaka!!! Wako atakuwa tofauti na hawa wengineNaombeni ushauri wenu wadau.
Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.
Jichanganye, mabinti hauwaoni badae uje kulialia hapaNaombeni ushauri wenu wadau.
Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.
Walikua hawajamaliza safari yao ya mapenzi haoMme wangu alimzalishaga nesi mmoja hivi saizi huyo dada kaolewa na Ana mtt mmoja Cha kushangaza wanapasha kiporo na mme wangu mpk siyo poa.....oa Kaka!!! Wako atakuwa tofauti na hawa wengine
Ishu sio kuchapiwa, mbona kuchapiwa hata kama sio singo maza unachapiwa tu.Single mothers ni wanawake kama wengine tuu na wote wanakuja na tabia na sifa tofauti kama wanawake wengine tuu, ni vijana wajinga tuu na wasio na akili wa JF wanaoogopa kuoa single mothers kwa sababu wanaogopa watachapiwa, wengine ni single mother kwa sababu walikuwa katika mahusiano ya hovyo (abusive) sasa wametoka, wengine mwanaume alikuwa kila kona nyumba ndogo, mlevi na hajali familia etc acheni huu ujinga
Naombeni ushauri wenu wadau.
Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.
O
Safi tu za masiku 😊Niambie mremb
O
Kama mzazi mwenzie yuko hai huo ni mtegoNaombeni ushauri wenu wadau.
Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.