Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Wadau hope mko poa

Daaah kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto mimi nilikua wa kwanza kupinga kuoa single mother leo hii nimeangukia penzi la single mother na nataka kuoa kabisa.

Mambo yanabadilika niombeeni.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Medic... we need a medic ASAP!

Man down.. i repeat man down, do you copy?
We need immediate EVAC..!
 
Moyo wangu unampenda ana mapenzi ya dhati

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kila mtu huwa ana kichaa cha mapenzi anapoingia kwenye mahusiano mapya (penzi jipya)
Watu wanaweza kukushauri kwa nia njema lkn ukawaona km wanakuharibia.
Baada ya kichaa kuisha, mpo kwenye uhalisia ndiyo unaanza kuwakumbuka watu wote waliokushauri.
Ni vizuri ila kumbuka
1. Uhusiano na mzazi mwenzake aliyemzalisha ni wa milele. Watawasiliana tu kwenye mahitaji ya mtoto, harusi au hata misiba
2. Kukumbushiana kwenye ngono hilo ni 70%. Katika watu ambao huwa hawasauliki ni yule aliyemtoa bikira na aliyemzalisha.
3. Mwanamke hukubali kuzaa na mwanaume anayempenda. Tegemea kulinganishwa na jamaa.
 
Ndugu yangu nimekuita kwa hisia sanaa sio kwa ubaya hao watu huwa na tabia ya kujishusha na kujibebisha sana akiwa anataka kumshika mtu lakini nilichokuja kugundua 75% ya single mama akili zao zinafanana ,..utakuja kupigwa tukio hutaamini kabisaaa
 
Ndugu yangu nimekuita kwa hisia sanaa sio kwa ubaya hao watu huwa na tabia ya kujishusha na kujibebisha sana akiwa anataka kumshika mtu lakini nilichokuja kugundua 75% ya single mama akili zao zinafanana ,..utakuja kupigwa tukio hutaamini kabisaaa
Usimvuruge mwenzio sema ajitahidi asimpige tukio maana akijaribu tu kaishaaa
 
Wadau hope mko poa

Daaah kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto mimi nilikua wa kwanza kupinga kuoa single mother leo hii nimeangukia penzi la single mother na nataka kuoa kabisa.

Mambo yanabadilika niombeeni.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Orodhesha viashiria japo kwa uchache vinavyofanya uone yeye pia anakupenda kwa dhati isije ikawa anatafuta sehemu ya kujishikiza tu.

Hawa watu huwa hawaachani na baba mtoto kirahisi japo inawezekana, wapo ambao wameachana nao wakaanza maisha na wanaume wengine na mambo yakaenda.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Baada ya mda ataangalia akili yake inasemaje, Single Mama lazima:

1. Cheti cha kifo - Majina kama NIDA.
2. Picha ya kaburi - Majina kama NIDA.
3. Hakiki jina hospital aliyofia.
4. Hakiki picha linganisha na mtoto.
5. Hakiki kama hakuna shemeji.
Ninyi mnanukuu vibaya thread za watu!
Kasema single mom, hajasema mjane bhana!
Sa'ayo ya kukagua kaburi, sijui cheti cha kifo yanatoka wapi?
 
Kila mtu huwa ana kichaa cha mapenzi anapoingia kwenye mahusiano mapya (penzi jipya)
Watu wanaweza kukushauri kwa nia njema lkn ukawaona km wanakuharibia.
Baada ya kichaa kuisha, mpo kwenye uhalisia ndiyo unaanza kuwakumbuka watu wote waliokushauri.
Ni vizuri ila kumbuka
1. Uhusiano na mzazi mwenzake aliyemzalisha ni wa milele. Watawasiliana tu kwenye mahitaji ya mtoto, harusi au hata misiba
2. Kukumbushiana kwenye ngono hilo ni 70%. Katika watu ambao huwa hawasauliki ni yule aliyemtoa bikira na aliyemzalisha.
3. Mwanamke hukubali kuzaa na mwanaume anayempenda. Tegemea kulinganishwa na jamaa.
Huyu anaenda kupigwa na kitu kizito.
Mwanamke huzaa na anayempenda.
 
Back
Top Bottom