Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kwani mkuu embu twende taratibu.Wadau hope mko poa
Daaah kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto mimi nilikua wa kwanza kupinga kuoa single mother leo hii nimeangukia penzi la single mother na nataka kuoa kabisa.
Mambo yanabadilika niombeeni.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu wanaume wengi wa humu mna jikutaga sijui kina nani kumbe wapuuzi tu,ivi yaan mnapenda kuropoka kuliko kufikir afu mnajikuta wasom kumbe hamna kitu,wanaume wa fb japo na baadhi wapo kule ila wanaakil kuliko humu japo mnadharau fb.Wadau hope mko poa
Daaah kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto mimi nilikua wa kwanza kupinga kuoa single mother leo hii nimeangukia penzi la single mother na nataka kuoa kabisa.
Mambo yanabadilika niombeeni.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Na wewe ni single mother?Tatizo lenu wanaume wengi wa humu mna jikutaga sijui kina nani kumbe wapuuzi tu,ivi yaan mnapenda kuropoka kuliko kufikir afu mnajikuta wasom kumbe hamna kitu,wanaume wa fb japo na baadhi wapo kule ila wanaakil kuliko humu japo mnadharau fb.
Afu atakae paniki poleee,ila ukwel ndio nishasema.
Naendelea ku mzoomKwani mkuu embu twende taratibu.
Hisia zako zinakushauri umuoe, je AKILI yako inakushauri vipi?!
Kweli uanaume shida mwenzio anampambania mwanae kwa mgongo wako unasema ana mapenzi ya dhati!!
Handcap ya 1+Watakuambia umeanza mechi ukiwa na handicap -1
Anadaiwa hapo so haiwezi kuwa + bali ni -Handcap ya 1+
Bonge la animationπ€£
Hapana siyo single mother,Wala sina mtoto bado.Ila Kama mwanamke lazima nisifurahishwe na baadhi ya dhihaka za huku jukwaan.Then mtu kuwa single mother ni kwa aina nyingi vip walio fiwa na wanaume zao,au walio bakwa wakatelekezwa?,au unakuta mwanaume haelewek et waogope kuwaacha kisa wataitwa single mother?
Afu ukitoka hapo unalalamika wanawake hawakutak ππππ€£π€£π€£π€£π€£SINA MKE ILA KUOA SINGLE MOTHER NI KUJICHIMBIA KABURI LAKO MWENYEWE.
NA HAKIKA UTAJUTIA SANA.
0:49
inawezekana kweli unampenda, upendo huisha na kubaki akili pekee yake hapo ndipo majuto yaliko. ni aibu mwanaume kufanya maamuzi kwa kutumia moyo.
Wako na joto sana haoWadau hope mko poa
Daaah kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto mimi nilikua wa kwanza kupinga kuoa single mother leo hii nimeangukia penzi la single mother na nataka kuoa kabisa.
Mambo yanabadilika niombeeni.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nadhani umeanza kupata picha.
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Nadhani umeanza kupata picha.