Siyo wanawake wote hawapendi kuzaa na wanaume zaidi ya mmoja, Wanawake wakislamu wao kuzaa na wanaume zaidi ya mmoja kwao ni kawaida.Hata kupewa mtoto si wako.
Maana wanawake hawapendi kuwa kuzaa na mwanaume zaidi ya mmoja.
The patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyoDaaah nimesoma hizi comment zote nimeona hali ni mbaya ok nitajua cha kufanya
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
kuendeshwa na hisia ni mbaya sana. maana lazima hisia hufika mwisho na akili humkaa mtu sawa! na hapo ndipo penye majuto makuuUnasema aangalie moyo kwamaana kwamba asikilize hisia, kwahiyo siku zikiyeyuka ampe mama wa watu visa vya kumuumiza. Usije kuwaza kwa hisia kama dada zetu, wakina Pele na Will Smith wamesahaulika hadi kwa mafanikio yao bali walivyoaibishwa na wanawake tu. Akili kichwani.
pole sana mkuu, nami yalinikuta makubwa! nadhani kwa tukio lile na kwa jinsi alivyokuwa amenimanishia kuja kuwa na mahusiano serous na single mother ni ngumu sana labda nipige na kusepa.Thibitisha hilo kwanza. Single mum, kufa mara ya pili sitaki tena maana nimefufuka. Mungu awatangulie tu, ila sitamshauri ndugu au jamaa yangu wakaribu ajenge mahusiano nao.
kiukweli nami nilishauriwa nikashupaza shingo. hakika huku duniani kuna watu wana uzoefu na wengine wanamacho ya rohoni.Katika vitu vyote maishani, sitakubali ndoa iende kwa bahati. Nimepewa akili natumeagizwa tuishi nanyi kwa akili. Hivyo kama ni bahati kwa wengine basi kwangu its full based on principles and facts. Nakuhusu kuwajua ni wewe, ila kwa my inner circles of friends ambao ni wachache sina hata mmoja na nilijaribu kudeviate na walinionya sikusikia basi niishie kusema tu siamini kuhusu mwanaume aliyeoa single mum atafanikiwa. Sitaamini, siamini na siwezi amini kamwe. Asiyesikia basi atakavyoumizwa ni juu yake.
Watakuambia umeanza mechi ukiwa na handicap -1
Je wanafaa kuolewa?U SINGLE MOTHER SIYO UGONJWA.. NA WANAJUA KU CARE HAO.
Hapana mkuuThe patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyo
1. Awe vizuri kiuchumi, wapo single mother watakao kupenda kwasababu ya njaa zao Ili kupata unafuu wa Maisha
2.Awe amepata mimba kipindi yupo shule (akili yake haija komaa) sio tofauti na hapo
3.aliyempa mimba awe amefariki.
Je huyo single mother wako ana hizi sifa?
Basi huyo hakufai kabisa anakutengenezea mazingira uingie kwenye kumi na nane
Namba 3 , NAKAZIAThe patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyo
1. Awe vizuri kiuchumi, wapo single mother watakao kupenda kwasababu ya njaa zao Ili kupata unafuu wa Maisha
2.Awe amepata mimba kipindi yupo shule (akili yake haija komaa) sio tofauti na hapo
3.aliyempa mimba awe amefariki.
Je huyo single mother wako ana hizi sifa?
AmenChukua mzigo weka ndani,usisikilize maneno ya watu.
Angalia moyo wako wasemaje.
Wewe wanaume sisi tunawivu sana akiona kaolewa yupo na kidume kingine anajisogezaAcha uoga je kama baba mtu yupo mbali na hana time na mtoto ni kama ametelekeza mwanamke na mtoto unadhani baba mtu atamuonea wapi huyo mwanamke?..
Nini kilikutokea mkuu share hapa tujifunzapole sana mkuu, nami yalinikuta makubwa! nadhani kwa tukio lile na kwa jinsi alivyokuwa amenimanishia kuja kuwa na mahusiano serous na single mother ni ngumu sana labda nipige na kusepa.
Tatizo lenu wanaume wengi wa humu mna jikutaga sijui kina nani kumbe wapuuzi tu,ivi yaan mnapenda kuropoka kuliko kufikir afu mnajikuta wasom kumbe hamna kitu,wanaume wa fb japo na baadhi wapo kule ila wanaakil kuliko humu japo mnadharau fb.
Afu atakae paniki poleee,ila ukwel ndio nishasema.