Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Daaah nimesoma hizi comment zote nimeona hali ni mbaya ok nitajua cha kufanya

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
The patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyo

1. Awe vizuri kiuchumi, wapo single mother watakao kupenda kwasababu ya njaa zao Ili kupata unafuu wa Maisha

2.Awe amepata mimba kipindi yupo shule (akili yake haija komaa) sio tofauti na hapo

3.aliyempa mimba awe amefariki.

Je huyo single mother wako ana hizi sifa?
 
Unasema aangalie moyo kwamaana kwamba asikilize hisia, kwahiyo siku zikiyeyuka ampe mama wa watu visa vya kumuumiza. Usije kuwaza kwa hisia kama dada zetu, wakina Pele na Will Smith wamesahaulika hadi kwa mafanikio yao bali walivyoaibishwa na wanawake tu. Akili kichwani.
kuendeshwa na hisia ni mbaya sana. maana lazima hisia hufika mwisho na akili humkaa mtu sawa! na hapo ndipo penye majuto makuu
 
Acha uoga je kama baba mtu yupo mbali na hana time na mtoto ni kama ametelekeza mwanamke na mtoto unadhani baba mtu atamuonea wapi huyo mwanamke?..
 
Thibitisha hilo kwanza. Single mum, kufa mara ya pili sitaki tena maana nimefufuka. Mungu awatangulie tu, ila sitamshauri ndugu au jamaa yangu wakaribu ajenge mahusiano nao.
pole sana mkuu, nami yalinikuta makubwa! nadhani kwa tukio lile na kwa jinsi alivyokuwa amenimanishia kuja kuwa na mahusiano serous na single mother ni ngumu sana labda nipige na kusepa.
 
Katika vitu vyote maishani, sitakubali ndoa iende kwa bahati. Nimepewa akili natumeagizwa tuishi nanyi kwa akili. Hivyo kama ni bahati kwa wengine basi kwangu its full based on principles and facts. Nakuhusu kuwajua ni wewe, ila kwa my inner circles of friends ambao ni wachache sina hata mmoja na nilijaribu kudeviate na walinionya sikusikia basi niishie kusema tu siamini kuhusu mwanaume aliyeoa single mum atafanikiwa. Sitaamini, siamini na siwezi amini kamwe. Asiyesikia basi atakavyoumizwa ni juu yake.
kiukweli nami nilishauriwa nikashupaza shingo. hakika huku duniani kuna watu wana uzoefu na wengine wanamacho ya rohoni.
tujifunze kusikiliza ushauri wa watu tunawaamini angalau75% pia Mungu hutumia vinywa vya watu kuongea na sisi.
 
The patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyo

1. Awe vizuri kiuchumi, wapo single mother watakao kupenda kwasababu ya njaa zao Ili kupata unafuu wa Maisha

2.Awe amepata mimba kipindi yupo shule (akili yake haija komaa) sio tofauti na hapo

3.aliyempa mimba awe amefariki.

Je huyo single mother wako ana hizi sifa?
Hapana mkuu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
The patriot man kuna sifa hizi ambazo kama unataka kumuoa single mother lazima awe navyo

1. Awe vizuri kiuchumi, wapo single mother watakao kupenda kwasababu ya njaa zao Ili kupata unafuu wa Maisha

2.Awe amepata mimba kipindi yupo shule (akili yake haija komaa) sio tofauti na hapo

3.aliyempa mimba awe amefariki.

Je huyo single mother wako ana hizi sifa?
Namba 3 , NAKAZIA
 
Kuoa single mother Ni Moja Kati ya maamuzi magumu ambayo mwanaume anaweza fanya.

Jamaa amejichanganya sana kwa hiyo wanazengo hatuna budi kukuombea tu.
 
Acha uoga je kama baba mtu yupo mbali na hana time na mtoto ni kama ametelekeza mwanamke na mtoto unadhani baba mtu atamuonea wapi huyo mwanamke?..
Wewe wanaume sisi tunawivu sana akiona kaolewa yupo na kidume kingine anajisogeza
 
Tatizo lenu wanaume wengi wa humu mna jikutaga sijui kina nani kumbe wapuuzi tu,ivi yaan mnapenda kuropoka kuliko kufikir afu mnajikuta wasom kumbe hamna kitu,wanaume wa fb japo na baadhi wapo kule ila wanaakil kuliko humu japo mnadharau fb.
Afu atakae paniki poleee,ila ukwel ndio nishasema.

Harafu wewe ndie single mother mwenyewe sasa ambae unataka kuolewa, sisi tunakusiliba kwa mjuba [emoji23][emoji23] acha makasiliko dodogy wewe
 
Back
Top Bottom