Baba ako ndio alinifanya niwe single mother au?,mbwa Ni we unaye kurupuka kujibu comment isiyo kuhusu dogo kuwa mpole siyo kila mtu wa kutukanwa.Harafu wewe ndie single mother mwenyewe sasa ambae unataka kuolewa, sisi tunakusiliba kwa mjuba [emoji23][emoji23] acha makasiliko dodogy wewe
Baba ako ndio alinifanya niwe single mother au?,mbwa Ni we unaye kurupuka kujibu comment isiyo kuhusu dogo kuwa mpole siyo kila mtu wa kutukanwa.
Mleta uzi asome huu ushauri mara mbili mbili.Nakuita Mara tatu ndugu yangu ndugu yangu achana Na single mother usiingie katika mtego huo ni mgumu sana utaish kwa stress saana una kaa Na mkeo alafu unajua kabisa baharia anamendea kupiga.Na akishajua umeoa tu ndio figisu zinaanza simu nyingi kuhusu matunzo Na walivyo wanawake wanataka wapate huku Na huku
HahahahahaNani dogo, nakuuliza nani dogo..? Wewe mshamba si nakuuliza nani dogo, ngoja sasa
🙄🙄😲😲😲😀😀😀😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 We apo,kwa mwandiko wako tu wakitoto au nikuumbue?Nani dogo, nakuuliza nani dogo..? Wewe mshamba si nakuuliza nani dogo, ngoja sasa
Safi saanaSiku hizi nawapenda sana hawa wamama, ukiwaomba urafiki wanakupa hawana kizuizi, wanajishughulisha kiuchumi kulisha watoto wao.
Gazeti reefu yote hiyo ni kujaribu kuaminisha watu kuwa bikra sio muhimu kwenye ndoa!Shaloom,
Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa. Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze wachumba wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka waingie ndoani walisepa...
Bora ututee maana sio kwa vichambo hivi kwa single maza [emoji2]..Penzi ni kama mbegu inaweza kuchepua sehemu yeyote kwahiyo bila kupenda unaweza ukajikuta unaangukia kwa single mother bila kutegemea...
Mwanaume Kuoa single mother na kuacha wanawake ambao hawajazaa nikukosa akili kabisa . Mara mia uuawe au ukatwe uume tuu maana hakuna njia nyingine ya kukusaidia.
nawapenda sanaBora ututee maana sio kwa vichambo hivi kwa single maza [emoji2]..
Kwasababu tunawaambia ukweli single mother hawafai kabisa na hamtaki kusikia,[emoji28][emoji28]hasira zote za nini mkuu?
Ni sawa sawa na kunununu kiwanja chenye migogoro....Shaloom,
Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa. Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze wachumba wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka waingie ndoani walisepa...
Kwasababu tunawaambia ukweli single mother hawafai kabisa na hamtaki kusikia,