Kwa mjane...ni kweli kuna barka fulani pia yatima...Hao wengine tunakuachia na mungu wako.Kuiga hakufai, akili za kuambiwa mix na zako, sio kila single mother ni nuksi, msikilize elewa shida yake, tafuta ukweli, ukiridhika mchukue, au msaidie utaona matokeo yake, na ukimchukua usibweteke endelea kuomba Mungu akupe maono ya rohoni, punde Mungu humlipa mja wake.
Usifuate mkumbo sema na Mungu wako.
Wadiz
Upwiru wako ndio uwapelekee msaada wajane kweli?Kuiga hakufai, akili za kuambiwa mix na zako, sio kila single mother ni nuksi, msikilize elewa shida yake, tafuta ukweli, ukiridhika mchukue, au msaidie utaona matokeo yake, na ukimchukua usibweteke endelea kuomba Mungu akupe maono ya rohoni, punde Mungu humlipa mja wake.
Usifuate mkumbo sema na Mungu wako.
Wadiz
Wote vibonde juu ya vibonde! Single mother kaishapoteza sifa ya kuwa mke kwani tayari ni mke wa huyo aliyemzalia! Mwanaume anayejitambua huwezi kuoa Single mother! Wengi tulioingia kwenye mtego huo mziki wake wanaujua! Kuoa aliyetoa mimba pia ni balaa juuu ya balaa! Unaoa muuaji na laana yake ndani ya familia sio ya kitoto! Suala la kuoa kwa mwanaume ni gumu kuliko maelezo! Ni rahisi kutafuta utajiri ukaupata kuliko kupata mke sahihi! Tatizo la migogoro mingi ya ndoa ni kuungana na mtu asiye sahihi! Kwa wakristo na wanaoamini Biblia, Mungu alisema clearly sio mara moja au mara mbili ya kwamba "mke mwema hutoka kwa Bwana". Unataka mwanamke? Mtafute Mungu kwanza!Mimi naona ni bora kuoa single mother kuliko binti (wa mchongo) alietoa mimba kibao!
Kama sio bikira, ni kheri mara alfu uoe tu single mother.
Wako single mom wametoa.mimba mpaka wakaamua wazae,.sasa umekimbia kipi??Mimi naona ni bora kuoa single mother kuliko binti (wa mchongo) alietoa mimba kibao!
Kama sio bikira, ni kheri mara alfu uoe tu single mother.
Dah,jamaa hawawapi muda kbs wa kupumua iwe weekend au la,haya haya haya kumekucha tena. singo mazaz amkeni mmeguswa tena uku msiseme hamkuambiwa
Mkuu agiza mishikaki popote pale, atakuja kulipa Bossi la dp.Wote vibonde juu ya vibonde! Single mother kaishapoteza sifa ya kuwa mke kwani tayari ni mke wa huyo aliyemzalia! Mwanaume anayejitambua huwezi kuoa Single mother! Wengi tulioingia kwenye mtego huo mziki wake wanaujua! Kuoa aliyetoa mimba pia ni balaa juuu ya balaa! Unaoa muuaji na laana yake ndani ya familia sio ya kitoto! Suala la kuoa kwa mwanaume ni gumu kuliko maelezo! Ni rahisi kutafuta utajiri ukaupata kuliko kupata mke sahihi! Tatizo la migogoro mingi ya ndoa ni kuungana na mtu asiye sahihi! Kwa wakristo na wanaoamini Biblia, Mungu alisema clearly sio mara moja au mara mbili ya kwamba "mke mwema hutoka kwa Bwana". Unataka mwanamke? Mtafute Mungu kwanza!
SUPER FUCKING FACTSWote vibonde juu ya vibonde! Single mother kaishapoteza sifa ya kuwa mke kwani tayari ni mke wa huyo aliyemzalia! Mwanaume anayejitambua huwezi kuoa Single mother! Wengi tulioingia kwenye mtego huo mziki wake wanaujua! Kuoa aliyetoa mimba pia ni balaa juuu ya balaa! Unaoa muuaji na laana yake ndani ya familia sio ya kitoto! Suala la kuoa kwa mwanaume ni gumu kuliko maelezo! Ni rahisi kutafuta utajiri ukaupata kuliko kupata mke sahihi! Tatizo la migogoro mingi ya ndoa ni kuungana na mtu asiye sahihi! Kwa wakristo na wanaoamini Biblia, Mungu alisema clearly sio mara moja au mara mbili ya kwamba "mke mwema hutoka kwa Bwana". Unataka mwanamke? Mtafute Mungu kwanza!
Single mother wengi pia wana rekodi huko nyuma za kutoa mimba[emoji419]Mimi naona ni bora kuoa single mother kuliko binti (wa mchongo) alietoa mimba kibao!
Kama sio bikira, ni kheri mara alfu uoe tu single mother.
Utajuaje ametoa mimba broo, unadhani ukimuuliza ndo atakwambia🤣🤣Mimi naona ni bora kuoa single mother kuliko binti (wa mchongo) alietoa mimba kibao!
Kama sio bikira, ni kheri mara alfu uoe tu single mother.
Ila sio kwa mabaya [emoji6]Tuacheni jaman....kutajwatajwa hatutaki[emoji855]
Na kwanini uoe aliyetoa mimba?Mimi naona ni bora kuoa single mother kuliko binti (wa mchongo) alietoa mimba kibao!
Kama sio bikira, ni kheri mara alfu uoe tu single mother.