Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
💯Wanawake hawajizalishi wenyewe...
Pamoja na kwamba kuna wanawake viburi na majeuri wasioweza kuvumilia ndoa lakini moja ya sababu ni ukosefu wa wanaume responsible
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯Wanawake hawajizalishi wenyewe...
Pamoja na kwamba kuna wanawake viburi na majeuri wasioweza kuvumilia ndoa lakini moja ya sababu ni ukosefu wa wanaume responsible
ðŸ¤Ukiona watu wanazungumzwa sana jua wanapendwa.
Perfect! Nakuunga mikono yoteWanawake viburi wengi huishia kuwa single mother. Fanya utafiti
Basi sawaUkiona watu wanazungumzwa sana jua wanapendwa.
Kwa wewe huwapendi?[emoji2960]
Masingle mothers wengi Wana Tabia nzuri maana wamejifunza Mengi kwenye relationship. Viburi vimewaishaBasi sawa
Tena wanawake Wana upwiru mkubwa nowday kuliko meUpwiru
OkayMasingle mothers wengi Wana Tabia nzuri maana wamejifunza Mengi kwenye relationship. Viburi vimewaisha
Una uhakika? 🤒Masingle mothers wengi Wana Tabia nzuri maana wamejifunza Mengi kwenye relationship. Viburi vimewaisha
Kama bado kiburi ana jini huyoUna uhakika? [emoji855]
ðŸ¤Kama bado kiburi ana jini huyo
Kina nani?Kwa wewe huwapendi?
WellWanawake hawajizalishi wenyewe...
Pamoja na kwamba kuna wanawake viburi na majeuri wasioweza kuvumilia ndoa lakini moja ya sababu ni ukosefu wa wanaume responsible
Unamaanisha nini?kwamba wewe ni?ðŸ¤
Kvp mkuu? Eneliah ni jina la kikeUnamaanisha nini?kwamba wewe ni?
natambua hilo mkuu wamgu usihofuKvp mkuu? Eneliah ni jina la kike
feminism imechukua nafasi ya ndoaHabari! Kadri Miaka inavyoenda kumekuwa na ongezeko kubwa la Single mother's. Hapa Kuna makundi mawili ya Hawa single mothers, wengine wapo vizuri kiuchumi na wengine wanabangaiza. Je hili kundi la Hawa single mothers kuwa ni Moja ya Sababu ya kuvunjika ndoa nyingi na kuendelea kuongezeka tena masingle mothers wapya? Je masingle mothers wanaweza kuishi bila kuwa na uhitaji na Mwanaume? Obviously No! Wanasema every woman need a man, where is man come from? Sasa kama wanahitaji Mwanaume je wanaweza kudate na vijana wa under 30? Vijana wengi wa kiume above 30 wengi ni waume za watu. Bado naendelea kufikiria yaani single mothers ana watoto 3 bado anataka kuzaa na Mwanaume mwingine mpya (penzi jipya). Dunia Ina viroja na raha. Nini mtazamo wako.