Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Chanzo ni pale wanapoondoka nyumbani anaend wapi..!? mwanamke akiweza kuishi peke yake kwa asolilimia kubwa kuishi na mwanaume hatoweza.

Utawaacha Wazazi Wako Utaambatana na Mumeo.. Ila wengi wakiwaacha wazazi wao kabla ya kuambatana na mumewe anaenda kuambatana na Ghetto.. hiyo ni laana kiimani.
 
Tatizo kubwa la Single Mother's hawaaminiki. Wamejawa ubinafsi sana. Hata uwape moyo wako wote, watakiona hufai na gala tu. Hawajali hisia ya mtu.

Mie sikua naamini maneno ya humu JF, nipo busy na single Mom nawaona hawa jamaa wa humu kama vile wana roho mbaya tu. Nilimuweka exceptional sana. Nilimuhudumia kama mke na mwanae huyo kumsomesha shule nzuri kwa kipato changu, chekechea kulipa 1.25m kwa mwaka niliona inatosha kwa msaada kwa huyu single Mom maana tulikubaliana kuoana na kutengeneza familia.

Viwanja nikamwambia andika kwa majina yako( nilikua namtumia pesa mie na chagua kiwanja na ukubwa ninaoutaka). nikajenga kiwanja kimoja nyumba kubwa ikabaki kuezeka tu. Nililenga kumuwezesha asahau machungu ya huyo mzazi mwenzie ili nimuoe akiwa na free mind set. Sikujua kama najenga kaburi la mahusiano yetu.

Saiz kageuka kudanga ili amalize nyumba, napo anakwama maana nadhani anakodanga hawamuwezeshi vya kutosha. Ananisifia bla blaaa nyingi na kuniomba tuwe marafiki kama kuoana sitaki. Nimsamehe maana hajanite dear maovu tu katika mahusiano yetu. Ila nikiwaza kipindi anafanya visa na maonyo takribani mwaka mzima nambembeleza aachane na hayo hasikii na ujeuri juu nachoka kabisa.

Nashauri kijana usiwe mbishi kama mimi. Single mother mfanye tu awe recreational instrument. Sio partner.
Mkuu Upo kama Mimi, single mother Wana shida zao.,utamfanyia kila jema..Ila baadae hatoona msaada wako..nami yalinitokea kama yako,mtoto wake nilikuwa namsomesha shule zaidi ya 1.5M kwa mwaka Ada nalipia

Yeye alikuwa Hana KAZI nampa pocket money kila mwezi huyo single mom zaidi ya laki3 hadi 4 maana tulianza kuishi naye..tumekaa zaidi ya miaka mi4 ya relationship baadaye tukaanza ishi wote...but ndani ya miezi 7 ya kuishi aliondoka kwangu bila taarifa .na hata sikumpiga sikuwahi kumdharau wala kumunyanyasa akasema anaenda tafuta new challenge (labda kudanga)...na kila hitaji lake nilimpa bila kinyongo ikiwa ni kumsomesha mwanae niliyekuwa namchukua kama mtoto wangu

Katoka kwangu Hana KAZI na familia yake naijua haina maisha kivile...now anahangaika mtaani ...na mwaka huu ndio nilikuwa nataka kumuoa just imagine, sema baada ya kuona na balance zaidi ya 4.8 ndani ndio akasepa nayo ikijua itamtosha now Hana kitu kashaimaliza..but God is great.naanza upya maisha

So nakubaliana na baadhi ya watu wa humu kuwa baadhi may be ya single mothers wanakuwa wamekata tamaa na mahusiano yao ya nyuma na hata umufanyie mazuri yapi Hana shukrani

Haya nimeyajua baada ya kukutwa kama ww
 
Mkuu Upo kama Mimi, single mother Wana shida zao.,utamfanyia kila jema..Ila baadae hatoona msaada wako..nami yalinitokea kama yako,mtoto wake nilikuwa namsomesha shule zaidi ya 1.5M kwa mwaka Ada nalipia

Yeye alikuwa Hana KAZI nampa pocket money kila mwezi huyo single mom zaidi ya laki3 hadi 4 maana tulianza kuishi naye..tumekaa zaidi ya miaka mi4 ya relationship baadaye tukaanza ishi wote...but ndani ya miezi 7 ya kuishi aliondoka kwangu bila taarifa .na hata sikumpiga sikuwahi kumdharau wala kumunyanyasa akasema anaenda tafuta new challenge (labda kudanga)...na kila hitaji lake nilimpa bila kinyongo ikiwa ni kumsomesha mwanae niliyekuwa namchukua kama mtoto wangu

Katoka kwangu Hana KAZI na familia yake naijua haina maisha kivile...now anahangaika mtaani ...na mwaka huu ndio nilikuwa nataka kumuoa just imagine, sema baada ya kuona na balance zaidi ya 4.8 ndani ndio akasepa nayo ikijua itamtosha now Hana kitu kashaimaliza..but God is great.naanza upya maisha

So nakubaliana na baadhi ya watu wa humu kuwa baadhi may be ya single mothers wanakuwa wamekata tamaa na mahusiano yao ya nyuma na hata umufanyie mazuri yapi Hana shukrani

Haya nimeyajua baada ya kukutwa kama ww
Pole sana mkuu,wanawake wa hivi wanatuharibia sana wanatufanya hata tulio waaminifu tuonekane wabaya
 
Chanzo ni pale wanapoondoka nyumbani anaend wapi..!? mwanamke akiweza kuishi peke yake kwa asolilimia kubwa kuishi na mwanaume hatoweza.

Utawaacha Wazazi Wako Utaambatana na Mumeo.. Ila wengi wakiwaacha wazazi wao kabla ya kuambatana na mumewe anaenda kuambatana na Ghetto.. hiyo ni laana kiimani.
Chief apa wasiokuelewa yawabidi wazamie class kabisa na sasa tuliopanga tumeambatana na magetto ama nini 😄😄
 
Tatizo kubwa la Single Mother's hawaaminiki. Wamejawa ubinafsi sana. Hata uwape moyo wako wote, watakiona hufai na gala tu. Hawajali hisia ya mtu.

Mie sikua naamini maneno ya humu JF, nipo busy na single Mom nawaona hawa jamaa wa humu kama vile wana roho mbaya tu. Nilimuweka exceptional sana. Nilimuhudumia kama mke na mwanae huyo kumsomesha shule nzuri kwa kipato changu, chekechea kulipa 1.25m kwa mwaka niliona inatosha kwa msaada kwa huyu single Mom maana tulikubaliana kuoana na kutengeneza familia.

Viwanja nikamwambia andika kwa majina yako( nilikua namtumia pesa mie na chagua kiwanja na ukubwa ninaoutaka). nikajenga kiwanja kimoja nyumba kubwa ikabaki kuezeka tu. Nililenga kumuwezesha asahau machungu ya huyo mzazi mwenzie ili nimuoe akiwa na free mind set. Sikujua kama najenga kaburi la mahusiano yetu.

Saiz kageuka kudanga ili amalize nyumba, napo anakwama maana nadhani anakodanga hawamuwezeshi vya kutosha. Ananisifia bla blaaa nyingi na kuniomba tuwe marafiki kama kuoana sitaki. Nimsamehe maana hajanite dear maovu tu katika mahusiano yetu. Ila nikiwaza kipindi anafanya visa na maonyo takribani mwaka mzima nambembeleza aachane na hayo hasikii na ujeuri juu nachoka kabisa.

Nashauri kijana usiwe mbishi kama mimi. Single mother mfanye tu awe recreational instrument. Sio partner.
Pole sana mkuu,

Bro, hakuna mwanaume timamu kiakili, mwenye kipato hata cha kuunga unga, asiye na familia anaweza kumtelekeza mzazi mwenzie na mtoto wake bila sababu nzito. Single mother ukiwasikiliza utawaonea huruma, kumbe usijue yaliyo nyuma ya pazia.

Hao watu hawabebeki. Atakushinda kama alivyomshinda mzazi mwenzie au atarudiana nae kwa siri.
 
Pole sana mkuu,

Bro, hakuna mwanaume timamu kiakili, mwenye kipato hata cha kuunga unga, asiye na familia anaweza kumtelekeza mzazi mwenzie na mtoto wake bila sababu nzito. Single mother ukiwasikiliza utawaonea huruma, kumbe usijue yaliyo nyuma ya pazia.

Hao watu hawabebeki. Atakushinda kama alivyomshinda mzazi mwenzie au atarudiana nae kwa siri.
Lakini sio wote wapo hivyo,kuna wenye misimamo thabiti na hawayumbishwi,ila wapo vichwa maji pia
 
Kwamba mtu akiwa singo maza tu automatically.anakua much know?
Ambao sio singo maza hakuna much know?
Kuna wanawake u-single mother wanautaka kwa nguvu tena kwa kuulazimisha.
Tena ukiwa mwanaume usiyekuwa na mambo mengi wanakuchukulia km mpole hivi ambaye mwanamke anataka kukuendesha anavyotaka.
Mwanamke anapanga analotaka, ukimwambia hivi hataki na tena anawasikiliza wazazi wake sana.
Sina usemi ila single mother wengine, ni much know ila siyo wote.
 
Shaloom,

Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa. Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze wachumba wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka waingie ndoani walisepa.

Miaka ikaenda, umri wa dada ukazidi kusogea ila bibie hakubadili msimamo wake. Aliendelea kuitunza bikra yake na kuishi maisha ya heshima kama ambvyo binti yeyote mwenye maadili anapaswa kuishi.

Walokole tuna kamsemo ketu kuwa, wakati wa Mungu ndio wakati sahihi na kweli "Wakati wa Mungu ulipofika" bibie akaposwa na kijana aishie huko Marekani. Kilichomvutia kijana kwa bibie ni habari alizozisikia kuwa bibie hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote.

Kijana akatuma washenga, akatoa mahari na kufanya taratibu zote ikabakia ndoa tu ambayo ingefungwa baada ya yeye kwenda Marekani na kurudi tena Tanzania.

Basi ikawa rasmi kuwa bibie sasa ni mke mrarajiwa wa mtu aishie Marekani. Viongozi wa kanisa na wazazi wakawa wanamtumia bibie kama mfano wa kuwaasa watoto wa kike kuwa ukijitunza Mungu atakuletea mume bora. Mabinti wakaambiwa si mnaona mwenzenu kajitunza sasa anaolewa na kwenda kuishi Marekani?

Basi bwana siku za mume mtarajiwa kurudi marekani zikakaribia na akaomba aende Dar na mkewe mtarajiwa akamfanyie shopping pamoja na kumuachia mradi wa ujenzi wa jumba lao lililoko Dar ausimamie.

Kwa vile kijana alishafanya taratibu zote wazee wakaona haina shida wakamruhusu binti asafiri na mumewe mtarajiwa kutoka mkoani kwao mpaka Dar.

Kufika Dar wakashukia hotel na huko kijana baada ya kushindwa kumshawishi binti atoe uroda kabla ya ndoa akatumia njia ya kumlewesha na ndipo akafanikiwa kuitoa bikra ya binti kabla ya ndoa.

Dada alilia sana alipozinduka na kujua kikichotokea, ila kijana wa Marekani akafanikiwa kumtuliza dada kwa maneno matamu matamu na ahadi ya kumpenda mpaka kifo kiwatenganishe. Dada akafanyiwa shopping kisha jamaa akakwea pipa akarudi state na bibie akarudi mkoani kwao.

Baada ya week kadhaa dada akagundua ana ujauzito wa mumewe mtarajiwa. Wazee wakajua na kijana wa Marekani akajulishwa na kuombwa kufanya hima aje aoe mkewe na kuondoka nae kabla wambea hawajajua kuwa ile bikra iliyotunzwa kwa miaka mingi ishatolewa kabla ya ndoa.

Kijana wa Marekani akazipokea habari kwa furaha na kuwaahidi wazee kuja ASAP lakini mpaka muda wa mtoto kuzaliwa ukafika ila kijana wa Kimarekani hakutokea.

Baada ya miaka kadhaa ikaja kugundulika kuwa kijana wa Kimarekani alikua ni muhuni tu aliyekuwa na fantansy ya kuchakata bikra na eti hata wakati anatoa ile mahari alikua tayari keshaoa zake huko Marekani na wale washenga aliowatuma walikua ni wahuni wenzie tu wazee wa hovyo, maana wazazi wake wa kweli walipofuatwa walishangaa sababu wao wanajua kijana wao alishaoa siku nyingi tu.

Ikawa asubuhi ikawa jioni dada mrembo aliyeishi kwa maadili akajikuta akichukua kadi yake kwenye chama kubwa la single mothers nchini.

Chama ambacho wanaume wa Kitanzania huwaona wanachama wote wa chama hicho ni wanawake wasiofaa sio kuoa tu bali hata kwa mahusiano ya kudumu, bali kwa kuwagonga na kukimbia haraka uwezavyo kuokoa maisha yako.

Kabla sijajiunga JF nilikua nawaona single mother ni wanawake kama wanawake wengine. Wako wanaojitambua, wako empty sets. Wako wanaojiheshimu, wako micharuko. Wako wapole na wanyenyekevu wako vichomi pia. Inshort tabia zote za wanawake single mothers utazipata hata kwa wanawake wasio single mothers.

U single mother sio laana ambayo automatically inamfanya mwanamke awe na tabia za hovyo kama hakua hivyo mwanzo na wala kutokuwa single mother sio baraka/neema/kinga ya kumfanya mwanamke awe wa maadili/bora.

Mwanamke yeyote single mother or not, tabia zake zinatokana na malezi au mtazamo wake katika maisha.

Mimi sio single mother ila as long as mim ni mwanamke kama ilivyokuwa kwa bibie mtunza bikra, hata mimi iko siku naweza kuangukia kwa bazazi nikalielewa tukadanganyana danganyana pale at the end of the day bila kujua imekuwa kuwaje nikajikuta na mimi nachukua kadi kwenye chama kubwa la single mothers.

Ikitokea nimekua single mother sitapenda kuongelewa kwa namna single mother wanaongelewa hapa JF.

Hapa JF single mother wanaongelewa kama jamii ya watu wenye laana wanaopaswa kutengwa kama walivyotengwa wale wakoma wa kwenye biblia.

Hapa JF wanaume mnawaongelea single mothers kama viumbe wasio na akili wala maadili, lakini naomba niwaambie hawa single mothers ni nyie mmewatengeneza na tena ni kundi la wanawake wenye akili kubwa na ndio maana wanaweza kulea na kusomesha watoto wao ambao baadhi yenu mmewakataa na kuona ni bora hela yako ununulie msambwanda wa barmaid kuliko kununua daftari za mwanao.

Sio ajabu yule kijana wa Marekani nae yuko hapa JF akiandika nyuzi za kuwaongelea single mother kama walaaniwa kumbe yeye ndio mlaaniwa.

Naombeni wanaume wa JF mtoe hiyo lebel mliyowapachika single mothers, sio sawa duniani wala mbinguni sababu hamjui mwanamke amepitia mitihani gani mpaka kuishia kuwa single mother.

Naomba viongozi wa JamiiForums muliangalie hili. Kuna single mother anaweza kujiua akifikiria aliyopitia na kulinganisha namma jamii inavyomhukumu. Sio sawa jamii kusema watu wote wa kundi fulani wana tabia fulani kwani hiyo sio kweli na sio sawa.

Iweje mwanamke aliyeishi maisha yake yote kwa kujitunza na kujiheshimu halafu badae jamii imuone takataka kisa tu analea mtoto/watoto wake bila baba?

NB: Wanawake wa JF njooni tuwaeleweshe wanaume wetu kwa heshima na upendo kuwa kunyanyapaa single mothers sio sawa. Maana kama leo sio single mother kesho unaweza ukajikuta single mother au binti yako akawa single mother. Utapenda anyanyapaliwe?

Hata wewe mwanaume unayenyanyapaa single mothers leo huwezi jua iko siku wanaume wenzio watamdanganya aishie kuwa single mother. Utapenda jamii imnyanyapae?
Du! Unajua kubuni mwanangu. Basi andika kitabu
 
Kuna wanawake u-single mother wanautaka kwa nguvu tena kwa kuulazimisha.
Tena ukiwa mwanaume usiyekuwa na mambo mengi wanakuchukulia km mpole hivi ambaye mwanamke anataka kukuendesha anavyotaka.
Mwanamke anapanga analotaka, ukimwambia hivi hataki na tena anawasikiliza wazazi wake sana.
Sina usemi ila single mother wengine, ni much know ila siyo wote.
🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu mko sawa?

Ninawasalimu kwa JINA LA BWANA mi ninaishi na mwanamke ambae nilimkuta ana mtoto 1 wa kiume na mtoto uyo anaishi na bibi yake uko kwao na mwanamke toka nimeishi na mwanamke uyu sasa ni miaka 4 kasoro tukibarikiwa kupata mtoto 1.

Niliwahi kumuuliza kuhusu baba wa mtoto niliyemkuta nae alinijbu hajui yuko wp kwan alikataa mimba. nilimdadisi kujua walikutana wp mpk wakapeana mimba na uyo mwanaume ni mwenyeji wa wp alinijbu walikutana Morogoro uko, sasa juzi kati hapa ilipigwa simu asubuhi nikaskia kama wanabshana kwny cm na kuhojiana cm ilipokatwa nikauliza kwan unavutana na nani?

Akajibu uyu ni baba mtoto wangu nikamuliza yuko wp akajibu yupo Singida na uko Singida ndo kwao na mwanamke wng nikamulza tena anafanya nn uko wakati ulinambia si mwenyeji wa uko na mlikutana Moro, akasema hata yeye hajui ila jamaa kasema amefika mpaka kwao na mwanamke wng na ameongea nao khs mtoto anataka amchukue. nikasema n jambo jema mpeni mtoto wake.

Tatizo limekuja huyu mwanamke anawasliana na jamaa kwa siri, je wakuu kunani?
 
Vikao vyote, manabii wote, matapeli wote na watu wote wanasisitiza

1. Usioe singo Maza, wagonge tu na kusepa. Isipokuwa umeona kaburi la x

2. Usisomeshe mchumba, hata mke msomeshe ufundi cherehani tu.


Mpe kiapo, akirudia unamtema.
 
Back
Top Bottom