Kwahiyo kwa binti au mwanamke timamu mwanaume akikwambia nizalie na wewe unazaa tu kwasababu hauna akili timamu, akikwambia tembea uchi barabarani utatembea? [emoji848]
 
H
Hao nao tuwafungulie Uzi...
Tuwasimange hahaha.
 
Kwahiyo kwa binti au mwanamke timamu mwanaume akikwambia nizalie na wewe unazaa tu kwasababu hauna akili timamu, akikwambia tembea uchi barabarani utatembea? [emoji848]
Siyo hivyo...
Mapenzi Yana nguvu Sana...na mostly wanawake tunapendwa kudanganywa...
Only if mngeelewa...mnge waonea huruma.
 
Chanzo hicho hapo soma hiyo post ambayo si ya kutengeneza na video ipo kabisa kama ushahidi. View attachment 2988829
Huyu mtu mmoja hawezi kujustify chanzo cha single mother wote,

Kumbuka pia hata wanaume hua wapo wanaotaka wanawake wakuzaa nao tu,hata hapa JF zipo thread za hivyo,

Kuna single mother wamekutana na moto kwenye ndoa zao mpaka wakasalimu amri,the same na kwa wanume pia.
 
Huyu wa kwangu ni debe tupu asee,mwanaume timamu hawezi ishi naye,alafu suala la kugawa uroda kwake sio tatizo anaweza kuwapa wote ni nyie tu
Na asilimia kubwa wapo hivyo anakuwa na wanaume ili hatibu personal needs mwingine kwaajili ya kumkaza vizuri, the rest ni kwaajili ya kupewa hela kutatua shida zake
 
hii ndio shida yao kubwa hawana msimamo anaweza kukuelezea kuwa mzazi mwenzake amemtelekeza, mara anampiga mara mchekupakaji cha ajabu anaenda kumpelekea mzigo
 
Hakuna mwanaume ambaye anataka mtoto alafu baada yakuzaa na huyo mtu wake akamtelekeleza mtoto labda kutokee factors nyingine kama vile mwanamke kutakuwa mwaminifu
 
Kwanini unasema romantic yake sio ya dhati? Ili tujue tunakusaidiaje
 
Hayuko serious kwenye mawasiliano nakuwa kama nalazimisha tu, yeye yuko chap tu kutoa ngada tu ila kuhusu mambo mengine ni kama nalazimisha very short answers kwa kila ninacho muongelesha
Basi huyo hakupendi achana nae Usije ukajuta huko baadae ukishaamua kumpiga chini mwanamke usimrudie tena hata akuombe msamaha kiasi gani huwa wanakuja kwa mission maalumu baada ya kufeli huko alipoona panafaa. Zingatia hiki nilichokwambia utanishukuru baadae
 

Nashukuru sana kwa ushauri
hapa inawezekana yupo tu kimkakati maana anasisitiza sana suala la kumuoa hana story nyingine zaidi ya hiyo
 

Hivi kweli Yule wife nilieachana naye miaka 10 iliyopita anafaa kweli? Aisee single Mama wote hawafai, Sababu?

1. Wanaume wote waliomdanganya akaacha ndoa yake walimuibia mali alizopata kwenye Talaka, wakamuacha.

2. Nataka niwaambieni ukweli, siwezi lala naye kabisa, ni misimamo tu ya kikwetu. Ila nikitaka nampata dakika hii!

3. Msicheze na hizi ndoa, kilio na madhara yake ni Magumu sana sana. Huo ndo ukweli na waambia
 
mnaonekana ni mijitu ya hovyo tuu, wengi humu wamelelewa vizuri na hao mnaowaita singo maza na wengi wamewazidi maisha, pelekeni stress zenu chooni
Hakuna kitu kama hicho. Watoto wa single mother huwa ni changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…