Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Kuna single maza moja namlea lea,sasa kuna kijamaa wamekutana eti kinapanga kumuoa,kinasema siwezi kuishi bila yeye.
Kwa jinsi huyu single maza nnavyomuona jamaa sijui kama atatoboa,tabia ya umalaya hiyo achana nayo kuna zingine nyingi tu ambazo mwanaume ukiwa timamu huwezi kusogea pale
 
Aisee...
Sasa nini chanzo cha single mothers??
Je nyie wanaume hamhusiki katika kutengeneza single moms?
Wanazaa na Nani?
Kwa dunia ya sasa ilivyo chanzo ni wanawake wenyewe. Naamini wewe ni mwanamke na utakubaliana na mimi kuwa mwanake huzaa na mwanaume anaemtaka yeye na si vinginevyo. Kwa dunia ya sasa mwenye maamuzi ya kuzaa ni ke, me unaweza mwagia ndani sanaa kama ke hataki kuzaa na wewe hupati kitu.

Sasa ke anapoona huyu anaweza nilele kiumbe changu vizuri anatega na kupata mimba ( elewa maana ya kiumbe changu). Sasa hapo kama mwana aliyemtegeshea hawakuwa na maelewana ya kuzaa na kama jamaa atazingua kwenye huduma ndio hapo anapotafutwa mwanaume mwingine ambae mtoa uzi kamuita mpumbavu wa kumlele mtoto wake ili akue. Kwa muda huo atampa mahaba sana kwa kuwa anashida.

Ni sawa na ndoa za sasa, najua utakataa ila nakuambia wanawake wengi sasa ivi wanaweza kubali tu kuole kwa sababu ya mambo mawili
1. Jamaa anakauwezo na binti hajiwezi muda huo.
2. Ili aonekane aliwahi olewa.

Baada hata ya miaka 15+ huko watoto wamekuakua anaweza anzisha timbili tu muachane. Sikuhizi mna msemo weno “sina amani na hii ndoa”. Sasa unahiuliza huna amani baada ya kujiweza? Baada ya miaka 10+? Baada ya watoto kukua? (Rejea Crhistina Shusho). Hapo jua kabisa mwanamke ulishamuwezesha na kajiweza. Yaan hadi tunatamani tuwe wazee wa zamani hawakutaka mwanamke afanye kazi, yy ni kuletewa na kula. Waliona mbali sana.

Huwa inaniuma sana kuona Me anatapeliwa kizembe zembe tu kisa mbususu ya singo mama. Any ways, ndio maisha wanaume tulichagua, acha tuone tutaishia wapi.
 
Huwa nasema mara nyingi humu,wako kama wamevurugwa akili,huwa wanaingia kwenye ndoa sio kuwa wamependa ni kwakua wako desperate na wanataka kuwaonyesha baba watoto zao kuwa na wao wanapendwa,ila utashangaa jamaa akija kumuomba mapenzi ya wizi anakubali...
 
Kwa dunia ya sasa ilivyo chanzo ni wanawake wenyewe. Naamini wewe ni mwanamke na utakubaliana na mimi kuwa mwanake huzaa na mwanaume anaemtaka yeye na si vinginevyo. Kwa dunia ya sasa mwenye maamuzi ya kuzaa ni ke, me unaweza mwagia ndani sanaa kama ke hataki kuzaa na wewe hupati kitu.

Sasa ke anapoona huyu anaweza nilele kiumbe changu vizuri anatega na kupata mimba ( elewa maana ya kiumbe changu). Sasa hapo kama mwana aliyemtegeshea hawakuwa na maelewana ya kuzaa na kama jamaa atazingua kwenye huduma ndio hapo anapotafutwa mwanaume mwingine ambae mtoa uzi kamuita mpumbavu wa kumlele mtoto wake ili akue. Kwa muda huo atampa mahaba sana kwa kuwa anashida.

Ni sawa na ndoa za sasa, najua utakataa ila nakuambia wanawake wengi sasa ivi wanaweza kubali tu kuole kwa sababu ya mambo mawili
1. Jamaa anakauwezo na binti hajiwezi muda huo.
2. Ili aonekane aliwahi olewa.

Baada hata ya miaka 15+ huko watoto wamekuakua anaweza anzisha timbili tu muachane. Sikuhizi mna msemo weno “sina amani na hii ndoa”. Sasa unahiuliza huna amani baada ya kujiweza? Baada ya miaka 10+? Baada ya watoto kukua? (Rejea Crhistina Shusho). Hapo jua kabisa mwanamke ulishamuwezesha na kajiweza. Yaan hadi tunatamani tuwe wazee wa zamani hawakutaka mwanamke afanye kazi, yy ni kuletewa na kula. Waliona mbali sana.

Huwa inaniuma sana kuona Me anatapeliwa kizembe zembe tu kisa mbususu ya singo mama. Any ways, ndio maisha wanaume tulichagua, acha tuone tutaishia wapi.
Umeongea Kwa details na feelings, nimekuelewa...
Lakini bado umeweka wanaume kama wao ni malaika.
Mtaani wanawake wengi wanasema wanaume huwa Wana tabia ya kuomba "nizalie mtoto" .
Ili ku prove Kama wanapendwa...
So wanaume wa hivyo pia husababisha idadi ya single moms kuongezekaa.
Tusiwanyooshee Sana mikono....factors ni nyingii
 
Umeongea Kwa details na feelings, nimekuelewa...
Lakini bado umeweka wanaume kama wao ni malaika.
Mtaani wanawake wengi wanasema wanaume huwa Wana tabia ya kuomba "nizalie mtoto" .
Ili ku prove Kama wanapendwa...
So wanaume wa hivyo pia husababisha idadi ya single moms kuongezekaa.
Tusiwanyooshee Sana mikono....factors ni nyingii
Nakubaliana nawe kwa 100 kabisa. Hao wapo tena wengi tu. Ila nimekua nikisema kila siku hapa, wanaume wa aina hii ni wasen ge na wanastahiri kuchomwa tu.

Ila mapenzi bana, eti nizalie nikupende zaidi jamani😂 na kuna binti wa mtu anajaa.

Niongezee na kundi lingine la wanaume wenye kujisifu anamtoto ili hali dogo anakaa either kwa bibi au kwa dem aliezaa nae dem anataabika kuhudumia alafu kenge mmoja anajisifia tu ana mtoto mkubwa. Nyaambafuu
 
Hivi single mother hutengenezwa na nani? I meant chimbuko la single mother nini chanzo chake?

Je wakulaumiwa ni single mother au root cause inayowatengeneza hao single mother?

Nimeandika comment yangu kwa njia ya maswali ili iwe rahisi kuelewa nikijibiwa
Chanzo hicho hapo soma hiyo post ambayo si ya kutengeneza na video ipo kabisa kama ushahidi.
IMG_20240305_010059.jpg
 
Back
Top Bottom