Ukijilengesha mimba kwabkuwa umeina jamaa anakaupepo ka hela mtateseka tu. Kama jamaa anaonesha hana niabya kuwa na wewe on permanent term kwanini umbebee mimba?
Uko poa Padre?

hii ilinitokea sana kipindi cha nyuma kila mwanamke anajilengesha tena kwa pigo za kunizalia kwa sababu wanajua nina visenti. 🤔 most girls do this tena kuna mmoja alikuwa nurse yule single maza ni mpumbavu sana.
Unajua tulitoka kuwa marafiki sana wa karibu. Nikienda kwake namnunulia zawadi dada wa kazi na katoto Kake ka kike. Wema wangu ulinisaidia sana. Dada wa kazi alinambia usiku dada anachanganya majani na kuwasha Mishumaa na kutaja jina lako😡😡😡
Kuna vitu vingi hatuwezi sema ila kuna watu wana roho za uharibifu na huwa nazikemea kwa Jina ya Yesu. .
 
Utaniwia radhi,sikuielewa vizuri ile first sentence uliyonitag
 
Sikuelewa utaniwia radhi.
 
Wewe unaonekana ni muongeaji sana...bila shaka wewe ni single mother mtarajiwa😀
 
.......watu wengi hudhani kwamba singo mama wanachukiwa kwa sababu ya mtoto au kudhani kwamba anachukiwa mtoto la hasha, siku ambayo singo mama wataweza kufuta kabisa hisia Kwa wale waliozaa nao ndo siku ambayo itatangazwa kuwa ndoa bora ni ile ya kuoa singo Maza na sio kuoa msichana kigori........
.........mfano mbaya ambao unahusishwa na most of single mamas ni ile hali ya kuendelea kuwawaza wenza wao waliowazalisha, unamuoa vizuri tu singo mama ila yeye kichwani anawaza kwamba siku baba mtoto akirudi akaomba msamaha atamsamehe(of which is not bad) na kurudiana nae na ww atakuacha, au akijitahidi hatakuacha ila atakuwa anamuwaza lini wakutane wawe wanachepuka.......
........nb: tukubali tu kuwa mtoto ndo strong bond ya wazazi na zaidi ya yote the first love is always the first and stronger, wewe unaeingia badae ni mvamizi tu.........
 
yule single maza ni mpumbavu sana.
Niko poa Mtumishi,
Unabahati mkono wa Bwana ulikuwa juu yako 🤣🤣🤣🤣

Zab 27:2 SUV​

Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.
 
Umeandika adrenaline ikiwa juu sana mkuu🤣.
Relax.
Pole ila sio wote wako hivyo
sijasema wote wako hivyo ndio maana nikatoa exception kwa wale waliojikuta singo maza bahati mbaya, ila waliobakia sababu kuu ndo hizo. You are so emotional about the matter as if hizo sababu nimetaja kuna uliyo fit in
au ndo tayari...
I smell a singo maza to be
 
I smell single already 😀
 
Oh! Your talking about exceptions. Kwanza fahamu naujue kuwa dunia inaendeshwa kwa generalizations, no gender is favoured there. Kuna mtoto wa kiume kazaliwa yatima nakakua akiwa chokoraa mtaani ila kwabahati nzuri Mungu akafanikiwa kupata mlo angalau wa siku moja, akitafuta mwanamke ataitwa masikini vilevile na atadharauliwa na kuchekwa na jamii hawatojali the background. That's how cruel the world is, no gender is the victim here. Pili jua, jinsia inayoongoza kwa generalization ni mtu mke kwasababu since childhood mwanaume anaonekana ni jinsia yenye tabia mbaya na haribifu kuliko mwanamke, ila have you seen complains my sister. Then just know, that is the world. You can't judge yourself, society judges you.
 
Niko poa Mtumishi,
Unabahati mkono wa Bwana ulikuwa juu yako 🤣🤣🤣🤣

Zab 27:2 SUV​

Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.
Mkono wa Bwana haujawahi niacha. Huwa nafikiri labda kwa sababu natokea mbari ya Daud😀
 
Niko poa Mtumishi,
Unabahati mkono wa Bwana ulikuwa juu yako 🤣🤣🤣🤣

Zab 27:2 SUV​

Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.
Mpendwa wangu aliutia mkono wake tunduni, Na moyo wangu ukachomeka kwa ajili yake.

Wimbo Ulio Bora 5:4
"Asema binti Joannah )
 
Ushatengenezwa tayari mshaka wa watu😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…