Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Ukiona umeshakuwa single mother, kinachobaki wewe Ni kutafuta pesa tu, single mother ukishakuwa na pesa hmna mtu atasema una laana, Tena ikiwezekana wakariri wale unaoona wanakusimanga na usingo mother wako, hao ndo wa kuwanyima pesa pindi utakapozipata. Kwa miongo mingi tumejizoesha kuishi kwa approval ya watu, it's better to have self love.
 
I didn't mean you are looking for a partner here. I just said these men who we see campaigning for no marriage they won't understand what you are saying. What you trying to explain hold no water🤐 in other words you are screaming to deaf people. Au niseme tu ukimpigia mbuzi ngoma atacheza?😀

I appreciate you writing for single mothers who can not write for themselves. You understand their feeling🙃

hata wasipofurahi unafurahi kufanya ulichofanya well said😀
Hapana hatacheza 🤣and I expected the response but it feels good that I did it anyway.

May be one woman somewhere out there will read my thread and feel good 🙏

It means alot you appreciating this🙏😘.

Everybody needs a Gily in their lives🥀
 
Hapana hatacheza 🤣and I expected the response but it feels good that I did it anyway.

May be one woman somewhere out there will read my thread and feel good 🙏

It means alot you appreciating this🙏😘.

Everybody needs a Gily in their lives🥀
I always appreciate you girl. Though don't care for everybody to need me. It only matters if you Clepatina need me🙃😎
 
We fala sana uliahidi kunialika
mbuzi nyama kidogo unafikiri mbuzi a afika kilo 15? mbuzi aanakula mama kwa uzazi. Kila week nachinja kuku wawili😎 afurahi mke wangu. .

nitakualika ikichinja Rombo kule nawez China ng'ombe ila mpaka December bado mapem sana kupanga kupanda🙃
 
Ukiona umeshakuwa single mother, kinachobaki wewe Ni kutafuta pesa tu, single mother ukishakuwa na pesa hmna mtu atasema una laana, Tena ikiwezekana wakariri wale unaoona wanakusimanga na usingo mother wako, kao ndo wa kuwanyima pesa pindi utakapozipata. Kwa miongo mingi tumejizoesha kuishi kwa approval ya watu, it's better to have self love.
Una michango ya kibabe sana binti...safi sanaa
 
Huo ni msemo tu, au kauli jumuishi. Ni kama ambavyo wanawake huwa mnasema "wanaume wote ni mbwa" kwani huwa ni kweli? . Mbona ndoa zinafungwa kila kukicha?

Sio kwamba singo Maza ni wabaya au hawafai. Na hakunaga mtu mbaya, Inatokea tu umekutana na ambae hamkuendana. Kama ambavyo mahusiano na mwanamke yeyote yanaweza kuwa
Uko sahihi kabisa mkuu japo mimi sijawahi kuamini kuwa wanaume wote ni mbwa sbb nishakutana na wanaume wema kama malaika🙏
 
Back
Top Bottom