Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 Acha tu mkuuStori zako zimegeuka fimbo mkuu wa MeZa🤣🤣🤣
We endelea tu, tupe madini hayo acha uchoyoKwanini mkuu? 😅
😅😅😅 Kaka siumeoa wewe? Unahangaika na mashangazi wa nn?wanalea wenyewe 🤣
mashangazi wa uswahilini siwawezi shangazi anatoka jasho mda wote nimeshindwa kwa kweli.🤐
Hapana hatacheza 🤣and I expected the response but it feels good that I did it anyway.I didn't mean you are looking for a partner here. I just said these men who we see campaigning for no marriage they won't understand what you are saying. What you trying to explain hold no water🤐 in other words you are screaming to deaf people. Au niseme tu ukimpigia mbuzi ngoma atacheza?😀
I appreciate you writing for single mothers who can not write for themselves. You understand their feeling🙃
hata wasipofurahi unafurahi kufanya ulichofanya well said😀
Ili nimpe, itabidi kwenye hiyo sentence yako ufute ilo neno "wangu" . Hapo nitakuwa huru😅😅😅
🤣🤣🤣🤣Utasikia wakisema...
Rnyi mabinti wa Sayuni, mimi japo ni mweusi mweusi lakini nina uzuri🤣🤣🤣🤣
We fala sana uliahidi kunialikaSasa nimepata kidume cha kwanza juzi nimechinja mbuzi wawili. 😀
Hujui furaha yangu tu ila ni kubwa mno. .
I always appreciate you girl. Though don't care for everybody to need me. It only matters if you Clepatina need me🙃😎Hapana hatacheza 🤣and I expected the response but it feels good that I did it anyway.
May be one woman somewhere out there will read my thread and feel good 🙏
It means alot you appreciating this🙏😘.
Everybody needs a Gily in their lives🥀
Tualikane Shemasi 😄😄😄Sasa nimepata kidume cha kwanza juzi nimechinja mbuzi wawili. 😀
Hujui furaha yangu tu ila ni kubwa mno. .
Niliendelea mkuu huko juu, mpaka muanzisha mada aliporidhika 😊We endelea tu, tupe madini hayo acha uchoyo
mbuzi nyama kidogo unafikiri mbuzi a afika kilo 15? mbuzi aanakula mama kwa uzazi. Kila week nachinja kuku wawili😎 afurahi mke wangu. .We fala sana uliahidi kunialika
Una michango ya kibabe sana binti...safi sanaaUkiona umeshakuwa single mother, kinachobaki wewe Ni kutafuta pesa tu, single mother ukishakuwa na pesa hmna mtu atasema una laana, Tena ikiwezekana wakariri wale unaoona wanakusimanga na usingo mother wako, kao ndo wa kuwanyima pesa pindi utakapozipata. Kwa miongo mingi tumejizoesha kuishi kwa approval ya watu, it's better to have self love.
Uko sahihi kabisa mkuu japo mimi sijawahi kuamini kuwa wanaume wote ni mbwa sbb nishakutana na wanaume wema kama malaika🙏Huo ni msemo tu, au kauli jumuishi. Ni kama ambavyo wanawake huwa mnasema "wanaume wote ni mbwa" kwani huwa ni kweli? . Mbona ndoa zinafungwa kila kukicha?
Sio kwamba singo Maza ni wabaya au hawafai. Na hakunaga mtu mbaya, Inatokea tu umekutana na ambae hamkuendana. Kama ambavyo mahusiano na mwanamke yeyote yanaweza kuwa
haha nikipanda December naenda China ng'ombe mkuu Rombo nitaposg humu nitawakaribisha humu. .Tualikane Shemasi 😄😄😄
🐐🐖🐂🐄