Ngulii
Senior Member
- Jun 15, 2023
- 127
- 203
Acha bhasiWanaggawa kama jojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bhasiWanaggawa kama jojo
Hongera japo umeongea kwa uchungu.Ukisoma mambo humu ukasikia kila mara kuhukumiwa, ni kheri usiingie humu kabisa. Biblia inasema, yoyote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo ya staha, yoyote yaliyo safi, yoyote yenye kupendeza, yoyote yenye sifa njema, ukiwapo wema wowote, ikiwapo sifa nzuri yoyote yatafakarini hayo.
Kama jambo linakuumiza kila mara usiwe karibu nalo. Kuna watu wa kila kariba humu. Unayajua uliyoyapitia, iwe ulikosea iwe ulikuwa huna kosa, kama uko tayari kusonga mbele na kuishi katika amani, jisamehe na inuka tena. Hakuna anayekujua zaidi ya wewe dearest. Usihold grudge against anybody, struggle kuwa the best version of you every single day.
Afu kama vipi, acha na kusoma hizi mada kwa ajili ya afya ya moyo na akili yako. Ni hilo tu.
Mm nawatetea kua sio wote...kuna moja ninaushahidi nao. .yeye aliolewa najamaa anapesa ile mbaya...kumbe mume anatembea na mama yake. .mkekujakufahamu akawaambia familia yake nakuondoka kwa mume wkt huo yeye mjamzito. .amejifungua salama dada watu. ..mumehajawahi mtafuta mke walakujua anaendeleaje. ..almoat 10yrs sasa. ..mtoto nimkubwa sasa ilademu anamsela tu yupo nae mwingine anampoza dadaNAKAZIA
Kingine ni ruba hawa watu, wameshindwa kukaa na wazazi wenzao wanajifanya wajuaji eti wawatulize wapenzi wetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama jimbo liko wazi weka vigezo tugombee 🙂Yeah, that's it mkuu
Naunga mkono hojaWekeni tu sheria single mothers wauwawe kunyanyapaa kila siku imetosha sasa
Tutie niaKama jimbo liko wazi weka vigezo tugombee 🙂
Kuwafanya nini ? Mbona habari nusu nusu we binti wa kiislamu . Ongea tuelewe bwanaNdo hivyo nina Jiran yangu ana mtoto wa kiume 6yrs na anaingiza madanga analala nao na mwanae,
Sasa huyo mtoto anatabia chafu kumbe kana tizama vile anavyofanywa mama yake, kana wafanyia wenzie
Mm nawatetea kua sio wote...kuna moja ninaushahidi nao. .yeye aliolewa najamaa anapesa ile mbaya...kumbe mume anatembea na mama yake. .mkekujakufahamu akawaambia familia yake nakuondoka kwa mume wkt huo yeye mjamzito. .amejifungua salama dada watu. ..mumehajawahi mtafuta mke walakujua anaendeleaje. ..almoat 10yrs sasa. ..mtoto nimkubwa sasa ilademu anamsela tu yupo nae mwingine anampoza dada
If you mean compassion yes, if you mean agony then no. Nimeandika from a woman point of view. Any woman is a sister to me so najaribu kuelewa anachopitia.Hongera japo umeongea kwa uchungu.
Weka akiba ya maneno hauna watoto badoHii sasa ndio point ya msingi. Yoyote anazee bila ndoa ni kuchinja tuu. Tutakuwa na jamaa mzuri sana
💯🤝warahisi sana, yaani sana
na utapewa kila siku
😂😂😂To yeye mbavu zanguLeo nilikuwa busy sana,nadhani nitampea kesho jioni
Are you serious?Hii sasa ndio point ya msingi. Yoyote anazee bila ndoa ni kuchinja tuu. Tutakuwa na jamaa mzuri sana
Naomba To yeye asiguswe sio single Mather mm ndy mime wake wa hiyariTo yeye tunaomba utupe opinion yako hapa kama single maza