Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Tatizo lenu wanaume wengi wa humu mna jikutaga sijui kina nani kumbe wapuuzi tu,ivi yaan mnapenda kuropoka kuliko kufikir afu mnajikuta wasom kumbe hamna kitu,wanaume wa fb japo na baadhi wapo kule ila wanaakil kuliko humu japo mnadharau fb.
Afu atakae paniki poleee,ila ukwel ndio nishasema.
Pole na kazi, nikulipe kiasi gani hiyo avator uitoe mkuu