Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwani kutokuamini Mungu ni kumchukia? Hebu acha kuwasonga waioamini
 
Ukiona mtu anaingiza story za ushoga pasipo husika,tambua huyo mtu ni shoga.
Sijaingiza pasipohusika nime-link na mukhtadha wa mlengwa km haujaelewa ni ngumu sana kukuelewesha, kwa hio wale wanaozungumzia ushoga msikitini na makanisani hadi huko bungeni wote mashoga au sio wote wanapigwa vitasa kwenye bunyero ?
 
Sasa nafsi huwa inapokea vitu?
thibitisha nafsi ndio MUNGU?
Ndio nafsi ndio hupokea na sio mwili. Mungu ni nafsi kwamba yeye sio kitu ni nafsi kama ulivyo wewe.
 
Tuanzie hapa, nani aliyeandika maandishi haya???
 
Hasara anayo maana nisipofuata amri zake atanichoma moto, so energy aliyotumia kuniumba inakua wasted
Kwahyo shuleni wakiweka option kufaulu na kufeli kwamba ukifaulu unaenda chuo kikuu na ukifeli unarudi mtaani wewe huwa unawambia wamekuonea? Leteni hoja fikirishi kila machaguo duniani yana matokeo ya pande mbili.
 
Wewe una tofauti gani na shetani? Kwann Mungu asianze na wewe ila aanze na shetani?
 
Kumtawala kivipi kifikra? Mbona wapagani nd wanaotawala waafrica mpaka leo kwa misaada ya neti madawa na smartphone(ukoloni mamboleo).waafrica mnatawaliwa kwa kuoneshwa sijui watu wana malamborghini mandege binafsi sijui cha ajabu mnaanza kuwaabudu hao matajiri wakati mnaishia kuwa masikini wa kutupwa tu. Eti maatheist utasikia ukiacha dini utakuwa na ela muone Ellon sasa unamuuliza wewe mbona huamini je ni tajiri namba ngap duniani anatoa macho tu.
 
Mkuu hapa bongo hakuna atheist ni wafuata mikumbo tu
 
Nipe kitabu ulichosoma kinachosema Sex sio basic need?
vipo vingi ambavyo ni basic needs mfano malazi mtu akikosa anakufa?
Sasa ukikosa malazi kwanini usife hujui kuna magonjwa hali ya hewa na wanyama wakali vibaka. Lakini ukikosa sex kifo kinatokeaje?
 
Mungu wetu mwenye upendo Ameamua watu wauane tu hakuna wa kumuhoji kwa sababu yeye ni mpenda haki 😀 😀 😀 😀
Sasa kwenye kuuana si huwa mnamalizana maatheist wenyewe mnataka tena Mungu aingilie mambo yenu kwanini sasa😁😁Maan wa Mungu wameagizwa wasiuane na wanafuata hawauani wanaishi kwa kupendana.
 
Mkuu hapa bongo hakuna atheist ni wafuata mikumbo tu
Kabisa aisee yani wao ni waabudu watu ila utasikia hakuna Mungu. Utasikia technology mpaka stick za kuchokonolea meno wanaletewa ila utasikia sisi tuko na technology hatufuati dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…