Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Mungu haihitaji msaada wa Mwanadamu kumpigani hao wanaopigana KWA ajili ya Mungu Wana shida ya akili.
Atamalizna na shetani baada ya muda huu wa kutubu ukipita
Dunia si makao ya milele ni sehemu tu ya kupita KWA mwanadamu.
Unafahamu mpaka sasa dunia ina umri gani?
 
Freewill?? Ukichagua asiyoyapenda anakurusha motoni. Hivi kwa nini nguvu anayotumia mungu kuandaa moto wa milele kwa wale tusiomuelewa/amini asingeitumia kumalizana na shetani once & for all?? Au kwa nini asiitumie nguvu hiyo kulinda amani ya dunia dhidi ya watu wanompigania katika ulimwengu huu??
unamfundisha Mungu jinsi ya kuamua😂😂😂
 
Hakuna mtu anajeuri ya kuchukia kitu ambacho hakifahamu. Tukubaliane tu kuwa vijana wengi wa sasa kutokana na makuzi ya kisasa wamekuwa wakijiweka mbali na maswala ya MUNGU hivyo kuna mambo mengi hawayajui kuhusu MUNGU.


Sasa ukisema wanamchukia unakosea sana. Sema hawamjui MUNGU na hivyo wanaishi nje ya misingi yake. Ukitaka kulijua hilo watafute hawa vijana wa miaka kadhaa baade utashangaa namna maisha yatakavyowanyoosha na watakavyoanza mtafuta MUNGU kwa kila namna.

Wazazi wenyewe wa siku hizi hawawafundishi vijana namna ya kumtafuta MUNGU kwa njia ya sala.

Kwa wastani vijana wa sasa wanapopatwa na shida huwa kimbilio lao la kwanza ni mwanadamu. Ndio maana wapo tayari hata kuingiliwa kinyume na maumbile ili kutatua shida zao, au kulala na wanawake watu wazima, au kuwa chawa kwa watu waovu ili waweze kutatua shida zao.
 
Na siku zote kama ukiingia na wazo la kupinga kamwe huwezi jifunzaa

Okay elimu yako imekuambia

1. Binadamu anatokana na nini?
2. Kwa nini hadi leo wameshindwa kutengeneza uhai kwa viumbe hai vyote?
3. Nini kipo nyuma ya majini, pepo, uchawi na ushirikina.

Au ni elimu ipi mliyoipata hadi mka confirm kuwa Mungu hayupo?
 
Tatizo mtu unatumia energy na muda mwingi kuabudu, kusali na kuomba afu unachokitaka hukipati, mafanikio zero.

Hapo hapo unakuta Kuna mtu hata hajui kama Kuna Mungu lakini anatoboa kirahisi sana. Kwa mtindo huu unaanzaje kumuamini Mungu?
Sio kwamba vijana hamjui namna ya kuomba?
 
MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Maombolezo 5:7
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.

MITHALI 10:1
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.

ISAYA 54:12-13
Nami nitaifanya minara yako ya akiki nyekundu, na malango yako ya almasi, na mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.
Na watoto wako wote watafundishwa na Bwana; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

YEREMIA 22: 29-30
Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.
Bwana asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.
We ni mpentecoste?
 
Na siku zote kama ukiingia na wazo la kupinga kamwe huwezi jifunzaa

Okay elimu yako imekuambia

1. Binadamu anatokana na nini?
2. Kwa nini hadi leo wameshindwa kutengeneza uhai kwa viumbe hai vyote?
3. Nini kipo nyuma ya majini, pepo, uchawi na ushirikina.

Au ni elimu ipi mliyoipata hadi mka confirm kuwa Mungu hayupo?
1.Binadanu katokana na Binadamu mwingine(yaani kabla yako alikuwepo baba yako, kabla babu zako)
2.Dadavua hapa ulimaanisha nini?
3.Kama ilivyo hakuna Mungu ndio ilivyo hakuana pepo, majini, Uchawi na Ushirikina
 
Congrats

Overtime Mungu wa kwenye makaratasi yaitwayo Biblia atapitwa na wakati
Kijana huyu Mungu wa Biblia unamtukana kiasi hiki anyway katafute rekodi za watu wote waliomtukana Yesu uone aft
Theist wanataka "Atheist" wathibitishe Mungu hayupo na wenyewe Hawawezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kama wewe una amini Mungu yupo na huwezi kuthibitisha uwepo wake,

Na Atheist ni hivyo hivyo Hawa amini uwepo wa Mungu na hawa wezi kuthibitisha kutokuwepo kwake.

Kila mtu abaki na aheshimu imani na mtazamo wa mwenzake.

Ukiita Atheist wana utindio wa ubongo na wewe mwenyewe wakati huo huo Huwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu ni sawa na kurukwa Akili

Unataka proofs na wewe mwenyewe huwezi kutoa proofs...
Kama Mungu hayupo, hizi mathematical laws zinazoendesha universe zilibuniwa na nani?
Nani aliyeweza kubuni speed ya rotation ya jua kuweza kujizungusha Kila siku kutoa usiku na mchana tena bila kubadili Kasi na muda Kila siku ni hivyohivyo?
 
Cha ajabu hizo imani tulizoletewa ndio zimekuwa mawakala wa ubakaji, ulawiti na maadili mengine mabovu. Kidume mzima aliyekomaa anajificha mbele ya madhabau na kupachikwa jina Padre anaapa kuishi bila kuoa kwa sababu ya Mungu mwisho wa siku anaishia kulawiti vijana wa altareni. Stupid
Usiwalaumu.Mimi ni muislamu na nawatetea hao kwa sababu hupandikizwa fikra wakiwa wadogo shuleni hawajajua A wala B za dunia.
Nina dhani wakirudishwa tena utotoni hawatakubali, hivyo tuwasamehee tu.
Slaa alishtuka akatembea, wapo wengi walijiondoa huko ila wengine wameamua wafie huko ila wanatenda tunayotenda sisi kimya kimya.
Kuna sehemu nilitembelea na kuoneshwa kijana mkubwa wa 25+ ambae aneishakuwa shoga kwa kuharibiwa na Padri wa jimbo x.
Nje ya mafa kidogo:
Je kijana alifanywa shoga na oadri akiwa bado mdogo mpaka anakua je auawe kama wadau wengi humu wanavyoshauri?
Kwa hio tupo katika mtanziko mkubwa hatujii tufanye nini.
Kikubwa washauri ndugu zako wasifuate huo mkondo ili wasije kujutia baadae.
 
Back
Top Bottom