Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Hakika, dini imegeuzwa biashara kubwa sana
 
Tulete record maatheist wamebaka wangapi mbona unawafuata.
 
Kabisa aisee yani wao ni waabudu watu ila utasikia hakuna Mungu. Utasikia technology mpaka stick za kuchokonolea meno wanaletewa ila utasikia sisi tuko na technology hatufuati dini.
Bahati mbaya sana mtu akishajiita atheist anajiweka kwenye kundi la bright, free na kwenda na beat la Darwin Evolution muulze amesoma kitabu cha Darwin orgin of species kitabu pekee cha evolution toka kwa Darwin, muulze anawajua kina Dr. Dawkins.
Ataishia tu kukuuliza Mungu ameumbwa na nani
 
🤣🤣aisee hawa watu pasua kichwa. Halafu sasa wao ndo wanakuja kuleta umasikini kwenye jamii maan wengi wanashinda vijiwe vya bangi uzinzi na ulevi wa kupindukia. Huwa wanakuwaga na mageto yao ya kuvutia bangi unakuta wamejaza vitabu havieleweki eleweki wanabugia nusu nusu tu. Wengine utasikia maisha ni karata sijui zimefanyaje.
 
Kwanza maatheist tukija kweny ukweli tukichukua maanidiko hao mnaowatolea mifano kama nd dini ilivo hamjui kimaandiko hao ni ndugu zenu wa kundi lenu. Maan nyinyi hamshiki amri za Mungu na wao hawashiki vile vile je sio wenzenu hao?
 
Swali.. Unamuongelea Mungu yupi
 
Wewe una viwanja vingapi na harrier ngapi?
 
Sasa ukikosa malazi kwanini usife hujui kuna magonjwa hali ya hewa na wanyama wakali vibaka. Lakini ukikosa sex kifo kinatokeaje?
Wale wa kariakoo wasio malazi na maisha yanaenda unawaelezeaje?
 
Wale wa kariakoo wasio malazi na maisha yanaenda unawaelezeaje?
Kiuhalisia wengi sana wamepatwa na majanga mbali mbali ikiwemo kifo. Mfano mmoja alisimulia alipelekwa monchwari akiwa mzima nusu azikwe. Lakini pia katika mazingira yale huwezi kudumu maan utashambuliwa na wadudu tu mwisho wa siku utapata magonjwa ya ajabu. Lakini pia effect kubwa ya kukosa makazi na malazi ni humiliation kubwa sana kwa kila anaekuona njian well umetaja kariakoo mji unaotembelewa na umati wa watu je ni aibu kiasi gani. Ila ngono hufanywa sirini hakuna aibu na pia hakuna maradhi ya kusema utapata kisa hujafanya ngono na wanawake wengi zaidi zaidi wanaofanya na watu wengi ndo wako hatarini. Swali kwko je usipofanya ngono utakufa?
 
Wale wa kariakoo wasio malazi na maisha yanaenda unawaelezeaje?
Halafu pia basic needs lazima watoto ndo wawe wahanga wakubwa kama ikikosekana mfano chakula mtoto hatakiwi kukosa mavazi na malazi vile vile enhee wewe ndugu yetu mtoto akikosa sex vipi kinatokea nn🤣🤣
 
teknolojia ambayo ni mpango wa shetani ndo imetufikisha hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…