MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Unafahamu mpaka sasa dunia ina umri gani?Mungu haihitaji msaada wa Mwanadamu kumpigani hao wanaopigana KWA ajili ya Mungu Wana shida ya akili.
Atamalizna na shetani baada ya muda huu wa kutubu ukipita
Dunia si makao ya milele ni sehemu tu ya kupita KWA mwanadamu.
unamfundisha Mungu jinsi ya kuamuaπππFreewill?? Ukichagua asiyoyapenda anakurusha motoni. Hivi kwa nini nguvu anayotumia mungu kuandaa moto wa milele kwa wale tusiomuelewa/amini asingeitumia kumalizana na shetani once & for all?? Au kwa nini asiitumie nguvu hiyo kulinda amani ya dunia dhidi ya watu wanompigania katika ulimwengu huu??
mzeee humuogopi MUNGUMungu anapewa vingi tofauti na yeye anavyodeliver in return
Biashara kati ya Mungu na binadamu ni biashara kichaka
Unatoa pesa unapata makelele yanayoitwa maombi
Biashara kati ya binadamu na ni biashara ya kimangungo
Sio kwamba vijana hamjui namna ya kuomba?Tatizo mtu unatumia energy na muda mwingi kuabudu, kusali na kuomba afu unachokitaka hukipati, mafanikio zero.
Hapo hapo unakuta Kuna mtu hata hajui kama Kuna Mungu lakini anatoboa kirahisi sana. Kwa mtindo huu unaanzaje kumuamini Mungu?
Biashara ni kupeana, nipe nikupe. Ukijua namna ya kumpa Mungu anachotaka LAZIMA na yeye atakupa unachotaka.Aahahaaa
Mkuu unaifanyaje!!?
Ngono sio basic need?Huyo anakuwa ajakomaa kiroho,aliyekomaa kiroho anao uwezo wa kuishinda dhambi.
Ngono sio basic needs,pia mwili unayo namna yake ya kujibalance
kwa hiyo MUngu ni kiumbe?Biashara ni kupeana, nipe nikupe. Ukijua namna ya kumpa Mungu anachotaka LAZIMA na yeye atakupa unachotaka.
We ni mpentecoste?MITHALI 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.
Maombolezo 5:7
Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.
MITHALI 10:1
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.
ISAYA 54:12-13
Nami nitaifanya minara yako ya akiki nyekundu, na malango yako ya almasi, na mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.
Na watoto wako wote watafundishwa na Bwana; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.
YEREMIA 22: 29-30
Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.
Bwana asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.
Hapana lakini ni Mungu ni nafsi hai na ana malengo yake ambayo binadamu anashirikishwa kuyafikia.kwa hiyo MUngu ni kiumbe?
Unakufa usipofanya? Au unapata madhaara gani usipofanyaNgono sio basic need?
umesoma kitabu gani?
1.Binadanu katokana na Binadamu mwingine(yaani kabla yako alikuwepo baba yako, kabla babu zako)Na siku zote kama ukiingia na wazo la kupinga kamwe huwezi jifunzaa
Okay elimu yako imekuambia
1. Binadamu anatokana na nini?
2. Kwa nini hadi leo wameshindwa kutengeneza uhai kwa viumbe hai vyote?
3. Nini kipo nyuma ya majini, pepo, uchawi na ushirikina.
Au ni elimu ipi mliyoipata hadi mka confirm kuwa Mungu hayupo?
Kijana huyu Mungu wa Biblia unamtukana kiasi hiki anyway katafute rekodi za watu wote waliomtukana Yesu uone aftCongrats
Overtime Mungu wa kwenye makaratasi yaitwayo Biblia atapitwa na wakati
Kama Mungu hayupo, hizi mathematical laws zinazoendesha universe zilibuniwa na nani?Theist wanataka "Atheist" wathibitishe Mungu hayupo na wenyewe Hawawezi kuthibitisha Mungu yupo.
Kama wewe una amini Mungu yupo na huwezi kuthibitisha uwepo wake,
Na Atheist ni hivyo hivyo Hawa amini uwepo wa Mungu na hawa wezi kuthibitisha kutokuwepo kwake.
Kila mtu abaki na aheshimu imani na mtazamo wa mwenzake.
Ukiita Atheist wana utindio wa ubongo na wewe mwenyewe wakati huo huo Huwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu ni sawa na kurukwa Akili
Unataka proofs na wewe mwenyewe huwezi kutoa proofs...
Sasa nafsi huwa inapokea vitu?Hapana lakini ni Mungu ni nafsi hai na ana malengo yake ambayo binadamu anashirikishwa kuyafikia.
Nipe kitabu ulichosoma kinachosema Sex sio basic need?Unakufa usipofanya? Au unapata madhaara gani usipofanya
Mungu wetu mwenye upendo Ameamua watu wauane tu hakuna wa kumuhoji kwa sababu yeye ni mpenda haki π π π πunamfundisha Mungu jinsi ya kuamuaπππ
Usiwalaumu.Mimi ni muislamu na nawatetea hao kwa sababu hupandikizwa fikra wakiwa wadogo shuleni hawajajua A wala B za dunia.Cha ajabu hizo imani tulizoletewa ndio zimekuwa mawakala wa ubakaji, ulawiti na maadili mengine mabovu. Kidume mzima aliyekomaa anajificha mbele ya madhabau na kupachikwa jina Padre anaapa kuishi bila kuoa kwa sababu ya Mungu mwisho wa siku anaishia kulawiti vijana wa altareni. Stupid