Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Ni kila baada ya muda gani?? Kwanini Mungu mkamilifu anatengeneza vitu asivyoweza kuvi control/visivyovikamilifu? Anatengeneza viumbe na kuvipa uwezo wa kukosea alafu vikikosea ana viadhibu?? Kama kazi ya mungu ni kutengeneza kizazi then kikikosea anafuta analeta kingine inamaanisha bado yupo kwenye majaribio ya kuleta kizazi kikamilifu??
Kipi asichoweza control kwa mfano
 
Ni kila baada ya muda gani?? Kwanini Mungu mkamilifu anatengeneza vitu asivyoweza kuvi control/visivyovikamilifu? Anatengeneza viumbe na kuvipa uwezo wa kukosea alafu vikikosea ana viadhibu?? Kama kazi ya mungu ni kutengeneza kizazi then kikikosea anafuta analeta kingine inamaanisha bado yupo kwenye majaribio ya kuleta kizazi kikamilifu??
unataka tuwe ma robot, na Mungu ashike remote control ili kutuendesha
kinyume chake tunapaswa kuchagua tunataka nini, na anaheshimu uchaguzi wako
 
Wewe unazunguka nimekuuliza swali dogo Ila unazunguka mno, jibu moja ndio au hapana, maana Kiranga alisema ndio anasupport maana haoni uwepo wa Mungu wewe vipi huoni uwepo wa Mungu una-support ushoga na usagaji ?


Jibu ni Mimi sio kiranga
Ikija topic ya ushoga ni tag huko upate maoni yangu husika
Kwa sasa naungana na kiranga kuhusu kutokuwepo wa huyo Mungu alieundwa na binadamu
 
Lete hoja kuhusu
. Chanzo cha uhai,
.Kwann viumbe vinazeekaa na kufa
.Kwann ukikiuka kanuni za asili ni lazima zikurudi
.Kwann ukikosa oxygen lazima ufe
.
Tatizo hata mki elezwa mambo haya kisayansi badi tu mtalazimisha kwamba si yenyewe bali ni Mungu.
 
Dini kupitia vitabu,hasa ukristo kwenye biblia inatoa majibu ambayo hayapatikani popote.
inatuambia kuhusu chanzo cha uhai, na kifo na pia jinsi ya itakavyokuwa baada ya kifo
biblia iliandika vitu vikatokea na vipo vinaendelea kutokea
Unatetea ukristo na Biblia kwa vile ndio imani yako vilevile hata muislamu na Quran atasema hivyo hivyo kama ulivyosema kutetea dini yake.
 
Tatizo nyie wachungaji mmemgeuza Mungu kuwa mtaji kwamba hawezi kutubariki mpak tuwape sadaka .... Mnamuwakilisha isivyo Kwa kweli, inafikia hatua watu wanamuona Mungu miyeyusho
 
Tatizo nyie wachungaji mmemgeuza Mungu kuwa mtaji kwamba hawezi kutubariki mpak tuwape sadaka .... Mnamuwakilisha isivyo Kwa kweli, inafikia hatua watu wanamuona Mungu miyeyusho
Matapeli wapo kila Kona ila haimaanishi kuwa kitu real hakipo tuzidi kuyatafuta maarifa tu kwanza badala ya kurukia hitimisho
 
Kwani wewe umemkataza ng’ombe wako kumchinja mwenzake? Mbona mfano wako ni irrelevant?
Haya mambo yamekuzidi akili Kijana

Ni vyema ukayatafuta maarifa zaidi kuliko kurukia hitimisho

Hoja za eti Mungu katukataza kuua mbona yeye anaua

Mimi mwenyewe watoto wangu marufuku kurudi nyumbani usiku ila Mimi huwa narudi saa sita usku.
 
Back
Top Bottom