Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hiyo nchi ya Zanzibar ina watu milioni mbili wakati mkoa wa Dar peke yake una watu milioni sita. Kapungukiwa nini huyo mtu wa bara mpaka akawe balozi wa nyumba huko Zanzibar?.Kuna mtanganyika anaweza kuwa Balozi wa nyumba kumi nchi ya Zanzibar
Nikuulize kitu, wizara husika sio ya Muungano, mbona kuna waziri kutoka znz?Si ni ardhi ya Muungano?
I wish na wenyewe wangejitegemea tu kama ilivyo kwa hao Shelisheli, Madagascar, Comoro, nk. Hakukuwa na sababu ya msingi ya kuungana na Tanganyika.Mzanzibari ni nani ?!!!
Mzanzibari ni MHADIMU Kutoka makabila ya nyika na pwani ya iliyokuwa Tanganyika....
Kiasili visiwa ni vya wahamiaji....Muungano wetu ni wa kipekee kabisa.....mgosi kinyume na kuungana na wazanzibari ulitaka tuungane na Shelisheli ama Madagascar?!!?[emoji1787][emoji1787]
Major means of production, mojawapo ni ardhi. Bila ardhi huwezi fanya chochote. Huo uendeshaji wanafanyia wapi? Wamepewa bandari, bandari ni ardhi siyo kitu kingine.Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Hakuna chuki ni ukweli tupuJenga hoja za maana punguza chuki za kitoto.
Muungano uvunjwe harakaI wish na wenyewe wangejitegemea tu kama ilivyo kwa hao Shelisheli, Madagascar, Comoro, nk. Hakukuwa na sababu ya msingi ya kuungana na Tanganyika.
Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Ni ubaguzi tu wa kuwatizama wazenji kama wafaidika wa awamu ya sita. Vipi kuhusu wasukuma kuwa wafaidika wa awamu ya tano ya JPM?. Akili duni tatizo letu.Hakuna chuki ni ukweli tupu
Kwa wabunge gani? Hawa wabunge wa mchongo?TANGANYIKA KWANZA VYAMA BAADAYE
Hii ni ajabu ya Karne hiiKwa wabunge gani? Hawa wabunge wa mchongo?
Hivi ina kuwaje wizara ambayo siyo ya Muungano inaongozwa na Mpemba??
Halafu Bara mna sema ni sahihi kubinafsisha?! Kweli??
Mchawi ni mfumo wa muungano wetu.Kuna mtanganyika anaweza kuwa Balozi wa nyumba kumi nchi ya Zanzibar
Unayo majibu ya sababu za bandari za Zanzibar kutokuwemo kwenye huu mkataba?!Ni ubaguzi tu wa kuwatizama wazenji kama wafaidika wa awamu ya sita. Vipi kuhusu wasukuma kuwa wafaidika wa awamu ya tano ya JPM?. Akili duni tatizo letu.
Mambo nyeti kama haya ndio kina Kibatara wangetusaidia kwenda mahakamani kupata tafsiri sahihi ya katiba, japo katiba yenyewe mbovu.IELEWEKE kuwa hata wizara anayoongoza MAKAME MBARAWA ya Ujenzi sio ya Muungano basi tu watu wamestahi mamlaka ya Rais kumteuwa …….maana siku hizi hadi wakuu wa Wilaya wanatokea Zanzibar Nafasi Ambazo pia sio za muungano
Huyu ni Freeman Mbowe na maoni yake. Mnataka kuja na hoja zilizofilisika kwamba Tanganyika inaibiwa na Zanzibar.
Vipi kuhusu ufisadi wa miaka na miaka uliofanywa enzi za hayati Mkapa, akaja Kikwete na wenyewe tumeusahau?.
Mkataba haujasainiwa na muda wowote tunaweza kuukata. Vipi kuhusu madhara ya hizi chuki tunazozipalilia, nani atayaondoa wakati maji yakiwa yameshamwagika?.
Tunakimbilia akili za kipumbavu za kibaguzi lakini hatuna suluhisho ikiwa huu ubaguzi utakwenda mbali na kuuharibu Utanzania wetu.