Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Vitoto vya buku mbili hiviii, vyenyewe daima vinawaza ngono tuu, wazazi ndg na jamaa zaka hapa hawana ubishi kwamba damu yao hii ni bingwa wa kuzibuliwa mitaroo
 
Almost eight years. mimi 2016 hata mtoto sina, biashara sina, nilikua nafuga nguruwe nalisha na kuzoa uchafu bandani kila asubuhi sina mbele wala nyuma. Lakini sasahivi nigga, i can even make your mama happy.
Hivi hiyo para ya mwisho kweli ilikuwa inahitajika kabisa kwenye huu mjadala baini yetu?….This tells your age
 
Kwanza elimu ya mtoto sio kwa faida yako,
Mpe mtoto elimu Bora, kama ataamua kuwa jambazi ni juu yake, mtoto akifikisha 25+, anachofanya sio responsibility yako,
Kusema umsomeshe kayumba, kisa unaogopa kumaomesha English medium eti atakosa ajira, ni ujinga,basi, tusijenge nyumba kwa, kuogopa zikija kutubomokea?
Mwisho, haka kasichana ni kashetani kabisa, kwenye Mambo yote,kameona kafundishe kupigana miti tu,? Jinsi ya kuzamisha dudu!
Angekua amesomea udakitari, may be, haha hiyo shahada yake itakuwa ni ya chupi mkononi tu,
 
Logical non sequitur. Unalinganisha mambo ya public health, ambayo by definition yanakuhusu kama sehemu ya public, na mambo ya personal behavior za watu baki, ambayo hayakuhusu.

Kwa hiyo wanaofumuliwa marinda unaogopa watakuambukiza kufumuliwa marinda?

Unataka kuwaweka quarantine?

Nani anakupa haki hiyo?

Na wao wakikuweka wewe quarantine utakubali?
 
Aliyeandika huu uzi ni ndugu yake huyo dem .....au jirani yao kwako

Ila ni wale ndugu au jirani wenye chuki wivu kujifanya wanapangia maisha watu sasa hapo wivu tu hakuna chochote kwa huoni kawa maarufu anaweza fungua hata company ya kuuza dawa za nguvu za kiume au kuuza dawa za kuwasaidia kina mama kwani lazima aajiliwe

Narudia ten huyu aliyeandika anamjua vizuri huyo dem ni ndugu rafiki au jirani wa huyo dem WIVU TU....
 

Kwa hoja zako hizi ndio wanakusifia humu.
 
Hajasoma shule za gharama huyo labda humjui
 
Kwa hoja zako hizi ndio wanakusifia humu.
Naomba usinijadili mimi wala hoja zangu, jadili hoja.

Ukianza kunijadili mimi unakwenda kufanya "ad hominem attack", a logical fallacy.

Fanya kama sijaandika mimi unajadiliana na mtu tu.

Mimi sijawahi kupenda kusifiwa kwa kiasi unachotaka kudai hapa, ningekuwa napenda kusifiwa hivyo, nisingetetea pande ambazo hazikubaliki na Watanzania wengi kama Mungu kutokuwepo au watu kuwa na haki ya kuamua sexual orientation zao.

Ningekuwa napenda sifa, ningeweza kujipanga vizuri na majority ya watu hapa wanaoamini Mungu na kulaani watu wanaofuata sexual orientation tofauti na za majority.

Watu wana haki za kuamua sexual orientation zao, na ukiwanyima haki hii, unafungua mlango na wewe unyimwe haki hiyo hiyo.
 
Hapo ukute mama yake aliomba sana apewe mtoto, ndo kapata huyo.
Nadhani ni wakati watu wamrudie Mungu vinginevyo Yesu anarudi mapema
 
Wala hamjui, huyo Manzi hajasoma English Medium, primary kapiga Kurasini, sekondari Kisutu, high skuli katambaa na WeruWeru girls, Chuo kamaliza UDSM,

Sema wabongo ni wageni wa kila kitu, elimu ya Afya ya Uzazi inapaswa kutolewa kwa uwazi na sio vificho tena, hata zilipoanza kampeni za pedi waliongea sana kua ni taboo kuzungumzia hedhi hadharani ila sasa wanaelewa,muda utafika watamuelewa tu Lily na wataibuka wakina Lily wengi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…