Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ukihama dhehebu huwezi kudai majengo.Hizo zama hadi majeshi yalikuwa na idara ya CCM.Ni mpuzi ww mimi babangu alinyangänywa ngómbe 3 kwa nguvu kujenga kiwanja cha Namfua. Baba hakuwahi kuwa mwanachama wa TANU wala CCM. Wananchi wote walichangishwa kwa lazima kujenga hivyo viwanja hivyo, kwa hiyo ni mali ya serikali sio ya chama. Ni mjinga tu ndio ataona ni halali kikundi cha watu (CCM) kushikilia mali za taifa na kujihalilishia kuwa zao.
Osha kinywa kuondoa matusiPumba kabisa.
Lakini vinatusitiriViwanja vyenyewe vina hali mbaya sana na haviendelezwi
Ndio maana nawapongeza kwa kutimiza wajibu waoPumba kabisa, kwahiyo miaka hiyo ulitegemea viwanja vijengwe na UDP??? Huo ulikuwa ni wajibu wao
Ukihama dhehebu hudai jengo ndio maana ukijitoa ukatoliki huwezi kudai fitohivyo viwanja ni vya serikali wala si vya ccm maana ujenzi wake ulihusisha wananchi wote wenye walio kuwa wana ccm na wasio.wana ccm maana hakukuwa na mbadala na.vitarudi vyote kwa wananchi
naona ww ni kijana wakati wa ujenzi wa viwanja hivi serikali ndiyo iliyokuwa inasimamia ujenzi nakukusanya michango ingawa ni ngumu kutenganisha serikali na chama wakati huo kwani mkuu wa mkoa ndiye katibu wa chama mkoani.Mkuu,zama hizo hadi majeshi yalikuwa na makada.Siku Martin Luther alipojitenga na ukatoliki hakudai pensheni bali alianza upya.
Umekosea,RC ni mwenyekiti wa kamati ya siasa.inaonekana kabisa ulikuwa kichanga au ulikimbia umande hivyo ukaanza ajira utotoni.naona ww ni kijana wakati wa ujenzi wa viwanja hivi serikali ndiyo iliyokuwa inasimamia ujenzi nakukusanya michango ingawa ni ngumu kutenganisha serikali na chama wakati huo kwani mkuu wa mkoa ndiye katibu wa chama mkoani.
Eti mtu sampuli yako ilisoma Tabora school? Labda kama ulisoma magazeti huku unaenda kuiba maembe Kwihara na ntalali Tukutuku kwa Boga!Osha kinywa kuondoa matusi
Base line ni kwamba hiyo ilikuwa mali ya serikali, baada ya 1992/3 CCM ilitakiwa kujitenga na serikali na siyo kubeba mali za serikali. Anyway, majizi haya integrity hiyo.Ukihama dhehebu huwezi kudai majengo.Hizo zama hadi majeshi yalikuwa na idara ya CCM.
sijakosea mkuu wa mkoa ndiye aliyekuwa katibu wa chama mkoani na mkuu wa wilaya naye alikuwa katibu wa chama wilayani tafuta taarifa za kweli uache ushabiki wa kitoto.Umekosea,RC ni mwenyekiti wa kamati ya siasa.inaonekana kabisa ulikuwa kichanga au ulikimbia umande hivyo ukaanza ajira utotoni.
Ulikua mkali wa wosso inaelekea...Watanzania,
Nimekuwa natafakari maono ya TANU na baadaye CCM katika ujenzi wa viwanja vya michezo nchi nzima ni wa kupongezwa na kuendelezwa.
Leo hii karibu katika kila makao makuu ya mikoa kuna uwanja wa michezo ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda michezo.Ninakumbuka miaka ya 90 mwanzoni nikiwa nasoma Tabora School mkuu wa mkoa wa Tabora ndugu Lawrence Gama (RIP) alivyosimamia kidete ujenzi uwanja wa Ally H.Mwinyi.
Kumekuwa na malalamiko kuwa CCM wanyang'anywe viwanja hivyo sababu vilijengwa enzi za chama kimoja.Hii hoja haina mashiko kwani leo mtu akihama dhehebu lake huondoka na mgao wa mali kadri alivyochangia?mfano,ukihama ukatoliki utadai mali zako?la hasha utaondika mwenyewe.Na ndivyo ilivyokuwa baada ya mwaka 1992 ilikuwa ni hiyari kuhama CCM hivyo kudai rasilimali za CCM ni ujinga.
Nawatakia jumapili njema
sawa majeshi yalikuwa na makada lkn yameachwa kujisimamia ingawa kijujuu tu hata magereza yalikuwa hivyohivyo mbona ccm hawadai kumiliki magereza? wameng'ang'ania viwanja kuna ulaji huko na hili genge ccm liko pamoja kwa sababu ya ulaji tu siku Mungu akinyoosha mkono litabaki historia kama kanu.Mkuu,zama hizo hadi majeshi yalikuwa na makada.Siku Martin Luther alipojitenga na ukatoliki hakudai pensheni bali alianza upya.
Jpili ilianza vizuli lakini kitoto cha shetani ulivyo amka Na mada yako ya kipumbavu umealibu kila kitu anyway huna nafasi na thread yako ya kijinga.Watanzania,
Nimekuwa natafakari maono ya TANU na baadaye CCM katika ujenzi wa viwanja vya michezo nchi nzima ni wa kupongezwa na kuendelezwa.
Leo hii karibu katika kila makao makuu ya mikoa kuna uwanja wa michezo ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda michezo.Ninakumbuka miaka ya 90 mwanzoni nikiwa nasoma Tabora School mkuu wa mkoa wa Tabora ndugu Lawrence Gama (RIP) alivyosimamia kidete ujenzi uwanja wa Ally H.Mwinyi.
Kumekuwa na malalamiko kuwa CCM wanyang'anywe viwanja hivyo sababu vilijengwa enzi za chama kimoja.Hii hoja haina mashiko kwani leo mtu akihama dhehebu lake huondoka na mgao wa mali kadri alivyochangia?mfano,ukihama ukatoliki utadai mali zako?la hasha utaondika mwenyewe.Na ndivyo ilivyokuwa baada ya mwaka 1992 ilikuwa ni hiyari kuhama CCM hivyo kudai rasilimali za CCM ni ujinga.
Nawatakia jumapili njema
Ukiondoka roma unaacha yoteJpili ilianza vizuli lakini kitoto cha shetani ulivyo amka Na mada yako ya kipumbavu umealibu kila kitu anyway huna nafasi na thread yako ya kijinga.
Tujenge wote kipindi cha ujamaa kisha Leo useme ni Mali yenu.
PovuWapumbavu awoo
Kijana wangu CCM ndio chama kongwe kama ilivyo Katoliki kwa wakristosawa majeshi yalikuwa na makada lkn yameachwa kujisimamia ingawa kijujuu tu hata magereza yalikuwa hivyohivyo mbona ccm hawadai kumiliki magereza? wameng'ang'ania viwanja kuna ulaji huko na hili genge ccm liko pamoja kwa sababu ya ulaji tu siku Mungu akinyoosha mkono litabaki historia kama kanu.
mimi siyo kijana lkn sipendi dhulma na ujingaKijana wangu CCM ndio chama kongwe kama ilivyo Katoliki kwa wakristo