Lissu ni mgonjwa, facial appearance inaonyesha anaumwa, na kila mara anakimbilia ulaya kutibiwa. Uso umevimba vimba

..hata Mama Abduli ni mgonjwa na anazungumza kwa tabu, na anatembea kama ana maumivu kwenye mguu.
 
Iwapo kama ni waununio sawa.
 
Mkuu nimejua chadema kupitia wewe, asante sana inaonekana ni chama imara sana.
nadhani ni umeijua chadema kupitia JF sio mimi gentleman,

maana JF ni shule iliyosheheni kila hitaji muhimu la manadamu timamu..

ukitaka kupata elimu, kuongeza uelewa, maarifa na ufahamu juu ya masuala ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,

JF ndio university ya hayo yote,
hata hivyo nakushukuru kwa kunitambua tu, ila mimi sie, ni JFπŸ’

by the way who am I?
 
Naona umenipangia gentleman 🀣
 
Wewe inakuhusu nini?.
 
Wewe inakuhusu nini?.
inawahusu wanachadema na waTanzania wote wapenzi wa chadema na ili kuimarisha utendaji wa chadema na kurejesha kwenye misingi ya kuanzishwa kwake....

Binafsi nawajibika kushauri na kupendekeza yaliyo muhimu kwenye vyama vyote vya siasa nchini πŸ’
 
CCM mnachojaribu kufanya ni kuwafitinisha na kuwachonganisha CHADEMA kupitia thread zenu za kijinga
wako wapi hao hicho chama kinachojaribu kufitinisha wengine?

ni maoni na ushauri wangu wa kitaalamu kutoka kwangu mimi mtoa hoja na si vinginevyo ..

hakuna haja wala sababu hata moja kuwachonganisha au kuwafitinisha chadema. ili iweje kwanza? halafu ni kinyume na taaluma...

ushauri wangu ni katika kuimarisha utendaji wa chadema kwa dhamira njema tu na sio Lazima ni hiyari yao wachukue ushauri huu ama lahπŸ’
 
Naona bado mnatafita pa kutokea, chadema hivi chadema vile. Tatizo ni nini?
akina nani hao na wanakwendra wapi ndio watafute pa kutokea?

haya ni masuala ya kisayansi kisiasa hayaitaji altitude na negativity gentleman πŸ’
 
Wewe Fala Tu Nani atakusikiliza mjinga kama wewe
sihitaji kuskizwa sasa gentleman, ispokua niko vizur makini na tayari sana kusikiliza wengine zaid..

kwa uchache sana napendelea kutoa ushauri na maoni yangu juu ya mambo malimbali hasa mazito ya kitaalamu kwa maendeleo ya siasa na demokrasia nchini...

kwan kuna ubaya wowote ndrugu zangu πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…