Lissu angekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ingekuwa vizuri, Mbowe akae pembeni
Lisu ni mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa.

Bila uanaharakati wamasai wote wangekuwa hawapo ngorongoro.

Bila uanaharakati tusitegemee uchunguzi huru wa teka teka.

Bila uanaharakati hakuna katiba mpya.

Bila uanaharakati ni mwendo wa kucheza makida makida kwenye fronts zote!

binti kiziwi, imhotep, Economist, Zawadini na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Naona bado mnatafita pa kutokea, chadema hivi chadema vile. Tatizo ni nini?
 
Kwenye situations zinazohitaji radical decisions ni kweli Mbowe anaonyesha udhaifu sana, leadership yake ni style moja tu democratic, hii imeleta wanachama wake kutokumuamini hata anapotaka waact. Power ya kuongoza njia wamfuate kunapohitajika autocratic style kaipoteza! Anapoongea kwenye situation nzito na inayohitaji solution ya haraka watu wanamtazama usoni kama anamaanisha wanakosa imani kama atakuwa nao pamoja! Psychologically wanajua anaweza kutaka majadiliano ndani ya process. Ndio fact,

Magufuli aliwabeba watanzania kwa psychology tu sio kwa usafi wake! Alijua watanzania wa sasa wanataka sadistic leader na akacapitalize hapo wakamuelewa na wakamfuata wakijua atasimamia kauli zake na mostly alisimamia ikawa turufu yake!
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Chadema haijawzahi kuteka au kuuwa mtu yeyote, wala haijawahi kuwalazimisha watu waipende kinguvu kwa vitisho au kwa maslai zao
 
Lissu ni mgonjwa, facial appearance inaonyesha anaumwa, na kila mara anakimbilia ulaya kutibiwa. Uso umevimba vimba
 
Lissu ni mgonjwa, facial appearance inaonyesha anaumwa, na kila mara anakimbilia ulaya kutibiwa. Uso umevimba vimba
Ooh aise,
namuombea uponyaji wa haraka kiongozi huyo mwandamizi mashuhuri pale chadema...

na ikiwa kinachomkumba kitataza kazi na majukumu mazito ya chama nadhani ni busara akapumzika kujiuguza na kujitazamia afya yake, akipona ataendelea na kaz zingine za chama chake...

aidha,
nadhani wacheki kati ya Ezakia Wenje au Benson Kigaila nadhani wanaweza kuwasaidia kitu...🐒
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vipi tukupendekeze wewe mwenye uwezo?
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ungependa iwe hivyo lakini haipo hivyo.
 
Chadema haijawzahi kuteka au kuuwa mtu yeyote, wala haijawahi kuwalazimisha watu waipende kinguvu kwa vitisho au kwa maslai zao
sawa gentleman,
lakini nadhani ushauri na mapendekezo yangu ya kitaalamu kwa chadema ni muhimu sana yakazingatiwa na yakatekelezwa sasa hivi, itawasaidia sana 🐒
 
Lissu ni mgonjwa, facial appearance inaonyesha anaumwa, na kila mara anakimbilia ulaya kutibiwa. Uso umevimba vimba

Ugonjwa sio tatizo kwa leadership, hata Magufuli alikuwa mgonjwa sana tu lkn alifanya aliyoweza, uongozi sio kama kusukuma bulldozer kwa mikono yako uvccm. Viongozi wengi tu ndani ya ccm na serikali wanaumwa sana tu na wanameza vidonge deile na wanakuongoza
 
sawa gentleman,
lakini nadhani ushauri na mapendekezo yangu ya kitaalamu kwa chadema ni muhimu sana yakazingatiwa na yakatekelezwa sasa hivi, itawasaidia sana 🐒
Tangu lini ukataka kuwasaidia zaidi ya kutekeleza agenda yako ya kuhajikisha inafutika.
 
Ungependa iwe hivyo lakini haipo hivyo.
sio Lazima gentleman,
Lakini hayo ni mapendekezo yangu ya kitaalamu sana na muhimu mno kwa chadema na ni muhimu sana yakafanyiwa kazi sasa hivi vinginevyo ni hiyari yao wenyewe 🐒
 
Tangu lini ukataka kuwasaidia zaidi ya kutekeleza agenda yako ya kuhajikisha inafutika.
nimefanya kazi na katibu mkuu balozi kwa muda mrefu sana...

chairman wa sasa,
hasa kwenye mkwamo huu ameperfom kiwango cha chini mno na anapaswa kuondolewa mara moja...

sio Lazima.
Infact,
mimi ni mwadiplomasia mwanasiasa mwandamizi huru mshauri wa masuala ya kisiasa vyama vyote tu sio chadema tu gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom