sure,
otherwise baada ya uchaguzi wa serikali za mtaa itakua dhaifu mno πŸ’
Nadhani TL Awe mwenyekiti moja kwa moja bila ya kusubiri uchaguzi ili kuinusuru chadema, just mbowe apishe tu, kwa sababu ndiye CHAGUO la wanachama wote, "" no time to waste--, kibao hiyo cha muziki hata my friend Freeman mbowe alikicheza sana na akina Abdul msomali.
 
Mbowe kamatia hapohapo tunajua wanachokiogopa vizuri.
 
Yaan yanga anawezaje kumchagulia simba wachezajo wa kusajili?? Umeshaelewa
 
Na huko CCM hakuna ombwe? Kuna nlni mkuu?
 
Tundu hawezi kuiongoza CHADEMA hata kwa wiki moja tu kabla hajaisambaratisha na kuipasua vipande vipande.lissu hana hekima za kiuongozi wala busara wala kuweza kuiunganisha CHADEMA.lissu ana dharau,kiburi na ujuaji mwingi.lissi anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza .Lisu anapaswa kuwa na mtu juu yake wa kumuongoza na siyo kuwa yeye ndio mtu wa Mwisho.

Mwenye uwezo wa kuiongoza CHADEMA kwa sasa ni Mheshimiwa Halima James Mdee.
 
Kijana Unahangaika sana kama mtetea anayetaka kutaga.
 

CCM anapofanya hot preemption.

Kwa hiyo mmegundua namna ya kupata mnayotaka?

Ya kwamba mmetega kunguru sasa kwa maharage makavu?

Ila msikonde tunajua bila Masai style hakuna uchunguzi huru, katiba mpya wala kupatikana waliotekwa!

Hadi hapo unasema je ndugu?
 
Kwa hiyo Leo mpaka tarehe 23 tupate mwenyekiti wa mpito

Mbowe akae pembeni huu mziki hatauweza
 
Lakini tundu ni jasori lazima atawapeleka watu barabarani

Hakuna afadhali dogo
Ni sawa na kusema ukitemamoto ukimeza moto pia

Nadhani ccm mkubali tu kunyooka
Uchaguzi uwe fair mpoteze viti vingi
Na mkubali kumtanga raisi kutoka upinzani

Komesha mauaji na utekaji wananchi wanaenda kuwafurusha madarakani

Mwisho salama yenu ni kukubali katiba mpya mapema kabla Hali haijawa tete
 
Kwa hiyo mwanademokrasia unapendekeza mapinduzi?
Kwa kadiri ya katiba yao na yenu, hayo ni mapinduzi
 
Kwa nini usipambane na chama chenu? Mnaangaika na chadema wakati hakiwahusu
 
Mwamba n Heche lissu bado afya yake haijatengamaa
this is not only positive criticism but visionary and very constructive criticism,

thank you gentleman asant kwa utu na kumjali Lisu πŸ‘ŠπŸ’ͺ
 
Kwa nini usipambane na chama chenu? Mnaangaika na chadema wakati hakiwahusu
gentleman,
mtaalamu nashauri vyama vyote vya siasa nchini...

sio Lazima kuzingatia ushauri na mapendekezo yangu ni hiyari gentleman πŸ’
 
Tatizo mbowe anatumia Sana busara. Ilibidi jino kwa jino tuu.mambo ya upole yashapitwa na wakati
 
Kwa hiyo mwanademokrasia unapendekeza mapinduzi?
Kwa kadiri ya katiba yao na yenu, hayo ni mapinduzi
zingatia ushauri wa kitaalamu kwenye hoja ya msingi,

lakini nakushukuru sana kwa nyongeza muhimu sana kwamba mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo ameaua sasa kuachana na misingi hiyo ya kuanzishwa kwa chadema,

na sasa anachochea vurugu na kupuuza demokrasia ambao ndio msingi wa chama chake..

nadhani ni muhimu akaondolewa πŸ’
 
Tatizo mbowe anatumia Sana busara. Ilibidi jino kwa jino tuu.mambo ya upole yashapitwa na wakati
sasa itabidi kisiitwe tena chama cha demokrasia na maendeleo, kiitwe chama cha fujo CCF πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…