wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Hivi hawa TBC ni lini wataboresha ubora wa urushaji wa matangazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa TBC ni lini wataboresha ubora wa urushaji wa matangazo.
Tumeidharau sana COVID-19 tunaenda kukusanyika tena, basi huyu mungu ni wa peke yetu dunia nzima
Your communication should be given level four alert by those who are concerned.This time jiwe.....
Stay tuned
Kwani Azam na ITV hazipo? Mbona mnateseka na TBC kama hakuna option nyingine?Hivi hawa TBC ni lini wataboresha ubora wa urushaji wa matangazo.
G sam taarifa kwamba alikosa msaada wa mashine ya kupumulia umezipata wapi ?Wajue kuwa kipochosababisha kifo cha Mkapa kimefichwa tena kwa makusudi maana alifariki kwenye hospitali ndogo hapo Makumbusho kwa kukosa huduma muhimu ya kumsaidia kupumua.
Chukua tahadhari Corona ipo, inaua na kama ukiendelea kushupaza shingo "UTAKUFA TU NA MIMI NASEMA UFE MAANA HAKUNA NAMNA SASA! CHAGUENI WAKUMSIKILIZA KISHA UWE MBAYUWAYU MAANA ANGEWASIKILIZA NDEGE WENZAKE ANGEANGUKIA KICHWA"
Mbona tunaambiwa kafia Muhimbili?Wajue kuwa kipochosababisha kifo cha Mkapa kimefichwa tena kwa makusudi maana alifariki kwenye hospitali ndogo hapo Makumbusho kwa kukosa huduma muhimu ya kumsaidia kupumua.
Chukua tahadhari Corona ipo, inaua na kama ukiendelea kushupaza shingo "UTAKUFA TU NA MIMI NASEMA UFE MAANA HAKUNA NAMNA SASA! CHAGUENI WAKUMSIKILIZA KISHA UWE MBAYUWAYU MAANA ANGEWASIKILIZA NDEGE WENZAKE ANGEANGUKIA KICHWA"
Nakubaliana na wewe ila Kwenye sound wamechemsha kidogoChannel Pekee yenye ubora wa urushaji matangazo ni channel Ten, nimeipenda sana, kwanza wana drone za juu na muonekano wa picha ni safi na tulivu.
Sauti imetulia vizuri kabsa.
Nakubaliana na wewe ila Kwenye sound wamechemsha kidogoChannel Pekee yenye ubora wa urushaji matangazo ni channel Ten, nimeipenda sana, kwanza wana drone za juu na muonekano wa picha ni safi na tulivu.
Sauti imetulia vizuri kabsa.
Maneno magumu hayaThis time jiwe zamu yake kukipokea kikombe alichokinywea Nkurunzinza.
Stay tuned
my friend you are in for it!!! Usitafute mbaya wako bali laumu sehemu ya mwili wako.Kama si ujinga vi...
Kwani uliambiwa anaumwa?Mbona tunaambiwa kafia Muhimbili?
Mnaambiwa na nani ?Mbona tunaambiwa kafia Muhimbili?
M'mbugwe ni mtu yeyote ambaye ana ushamba uliopitiliza anayepata mhemko anapoona wanajeshi. Anafikiria mwanajeshi ni mtu mwenye mamlaka ya kufanya chochote na wakati wowote. M'mbugwe hata zile nguo za jeshi huwa anaziabudu. Kwa kifupi ni ile mijitu mishamba iliyopitiliza.Ni watu wa wapi hao? Umempqtia sana jamaa halafu jinsi anavyowatukuza utafikiri wanamfanyia kazi ya bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Buza hakuna umeme hukuChannel Pekee yenye ubora wa urushaji matangazo ni channel Ten, nimeipenda sana, kwanza wana drone za juu na muonekano wa picha ni safi na tulivu.
Sauti imetulia vizuri kabsa.
Uliambiwa na nani?Mbona tunaambiwa kafia Muhimbili?
Tatizo huwa mnaangalia tbc.Buza hakuna umeme huku
Usiite mzoga aiseeh!! Sisi wote njia yetu ni moja It is the matter of time tuKama si ujinga vipi usimame barabarani for 2 hours kwa kusubiri mzoga upite, wakati huo huo unajihatarishia maisha yako kwa maradhi ya maambukizi kama Covid-19.