Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ratiba na route yenyewe aikutangazwa wala hakukuwa na hamasa
Timing yenyewe sio nzuri ukizingatia siku ya jumapili
Hao watu wangetokea vipi.
Yale yale ya serikali kwenye kuandaa mambo yake 9 out 10 huwa ovyo.
Timing yenyewe sio nzuri ukizingatia siku ya jumapili
Hao watu wangetokea vipi.
Yale yale ya serikali kwenye kuandaa mambo yake 9 out 10 huwa ovyo.