Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe wa Arusha?Namuona askofu wangu wa EAGT Mwizarubi hapo
Huyo askofu wako ndiye yule Leonard Mwizarubi wa pale unga limited Arusha au ni mwingine?Namuona askofu wangu wa EAGT Mwizarubi hapo
Miundombinu ya uwanja wa Taifa unaijua au unaandika tu?Binafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Dua hii ikurudie wewe mjawa laana, mzee mkapa tutamuenzi kwa uzalendo wakeEnzi za uhai wake alijimwambafai sana. Wananzengo wana hiyari ya kuchagua, wamuombolezee au wamlaani huko aendako.
dalili zinaonyesha amelaanika maana jeneza limemdhibiti vilivyo.
jiwe asome hii picha.
Kwa nini wa kuongea awe Lissu tu, mbona wapo kina zitto, membe, lipumba, mbatia, cheyo, nkBinafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Were mnafiki nenda kalaleBinafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Kadhibitiwa vilivyo!Dua hii ikurudie wewe mjawa laana, mzee mkapa tutamuenzi kwa uzalendo wake
K
Kwa nini wa kuongea awe Lissu tu, mbona wapo kina zitto, membe, lipumba, mbatia, cheyo, nk