M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC
@TazamaRDC_Infos
Translated from French by
#Guerre_du_M23 : The air defense of #FARDC is now operational despite the absence of an official press release.At 11:50 a.m. this Friday, the position of #M23_RDF in Kanyangohe, in the locality of #Katsiru in the group of #Bukombo , has just been reduced to ashes by a drone strike. Some M23 survivors from surrounding positions are in disarray, says our source in the area.In the territory of #Masisi , in the chiefdom of Bashali Kaembe, since early this morning, clashes have been reported in Kalonge between the #wazalendo and rebels supported by #Rwanda and #Ouganda .
 
Nimesoma mada na nimejaribu kusoma post nyingi, Kama sio zote na nimeamua kidogo niandike!

Kushinda pambano 'winning a battle' sio mkakati..ni mkakati yes lakini, winning a war ni mkakati zaidi, lakini hata huo sio mkakati....spoils of the war ndio mkakati..
Yaani kugawana kile kinachotokana na vita..
Kuna mifano alfu lela hulela ningeweza kuleta hapa ..

Lakini, vividly, kwa muonekano tu, either hatuna conclusive plan na action za TPDF Congo au hatuna foreign policy, specifically focused on Congo.
Kidogo naijua TPDF na action zake all around...

Ila kwa Congo, kwanini hatushindi vita?
Kuna Brigedia anataja humu Sana, alipiga Sana ni kweli.. na Mimi nilienda kipindi hicho eastern Congo Kama mtalii, kweli alipiga..

Lakini matokeo yake yalikuwa nini?
Siwezi kisema kila kitu hapa ila kwa Congo tujitafakari

Binafsi nashauri!
Tusipigane tu! Tupigane ila baada ya mapigano tuwe na control na maeneo tulioyachukua..
Tuwe na watu wanaya 'police'..

Tuicomboe Congo, of which tunaweza tukiingia kwenye good deals na Congo na UN

Tupeleke vijana waelekeze jinsi ya kuweka usalama.
Tukae Congo Kama miaka ishirini halafu tutoke...
Watakua taifa na tutakuwa na faida..

Kupanga ni kuchagua,
Kudeal na Mr. Slim na M7
Au kuwakacha kimkakati na kuangalia picha kubwa!!
Uko sahihi sana. Hili linasemwa hata na askari wetu waliofanya tour ktk mission za Congo. Wanasema UN wanaiba lakini wao wanakatazwa na makamanda hata kuchukua au kutoka na dhahabu hata jiwe moja dogo. Na ndiyo maisha yao. JW hawaibi madini. Sasa kwa.mpango uliousema maana yake tutalipwa na Congo na hatutakuwa chini ya mwavuli wa UN au majeshi ya AU.
 
Uko sahihi sana. Hili linasemwa hata na askari wetu waliofanya tour ktk mission za Congo. Wanasema UN wanaiba lakini wao wanakatazwa na makamanda hata kuchukua au kutoka na dhahabu hata jiwe moja dogo. Na ndiyo maisha yao. JW hawaibi madini. Sasa kwa.mpango uliousema maana yake tutalipwa na Congo na hatutakuwa chini ya mwavuli wa UN au majeshi ya AU.
Umenipata vyema. Tukae chini tutengeneze specific strategy na policy kwaajili ya Congo. Tukae pia na Belgium, ambaye ndio mnufaika mkubwa wa hii vita tumwonyeshe wazi kuwa anaweza kuendelea kupata supply ya hayo madini na amani ikawepo Congo. Tukiamua naamini ndani ya muda mfupi pale patatulia.

Tupeleke manpower ya kutosha, CCP pale vijana wachemshe miguu wengi waondoke huko mitaani. JW wakiwatoa waasi eneo tunajaza askari wa kawaida, tunaweka vituo vya polisi, wanahakikisha maisha ya raia yanakuwa smooth.

Unajua shida ni kutoa watu eneo halafu ukaliacha tupu bila uongozi..
Unaposonga kwenye maeneo mengine huku nyuma cells za adui zinarudi kujipanga.

Tutengeneze structure ambayo baadae tutakuja kuwarithisha wakongo wenyewe.

Nakuhakikishia tukifanya hivi, Tanzania itakuwa tajiri soon enough
 
Umenipata vyema. Tukae chini tutengeneze specific strategy na policy kwaajili ya Congo. Tukae pia na Belgium, ambaye ndio mnufaika mkubwa wa hii vita tumwonyeshe wazi kuwa anaweza kuendelea kupata supply ya hayo madini na amani ikawepo Congo. Tukiamua naamini ndani ya muda mfupi pale patatulia.

Tupeleke manpower ya kutosha, CCP pale vijana wachemshe miguu wengi waondoke huko mitaani. JW wakiwatoa waasi eneo tunajaza askari wa kawaida, tunaweka vituo vya polisi, wanahakikisha maisha ya raia yanakuwa smooth.

Unajua shida ni kutoa watu eneo halafu ukaliacha tupu bila uongozi..
Unaposonga kwenye maeneo mengine huku nyuma cells za adui zinarudi kujipanga.

Tutengeneze structure ambayo baadae tutakuja kuwarithisha wakongo wenyewe.

Nakuhakikishia tukifanya hivi, Tanzania itakuwa tajiri soon enough
Naona jeshi letu lipo ktk ukombozi zaidi kuliko manufaa lakini hii ndiyo njia ya majeshi yote ya kisasa duniani. Rwanda atafanya hivyo huko Central Africa, Mozambique na hata hapo Kongo kwa njia ya M23
 
Naona jeshi letu lipo ktk ukombozi zaidi kuliko manufaa lakini hii ndiyo njia ya majeshi yote ya kisasa duniani. Rwanda atafanya hivyo huko Central Africa, Mozambique na hata hapo Kongo kwa njia ya M23
Kwanza hizo policies na strategies sio kazi ya Jeshi.. ni kazi wa wizara husika na serikali.

Pili, kupanga ni kuchagua! Kagame faida anayotupa kwa kudeal nae huwezi kuilinganisha na faida tunayoweza kupata Congo.

Tatu, nafikiri ni Chinua Achebe alisema dawa chungu ndio dawa nzuri. Tukimfundisha kagame jinsi ya kuendesha uchumi wa nchi kihalali, in the long term itakua faida kubwa kwa Rwanda hata wakati ambako Kagame atakua hayupo.

Ukiangalia vizuri huu mfumo wa kuiba Congo ndio unaosumbua hata ulinzi wa ndani wa Rwanda, Burundi na Uganda..
Wale wanaotumwa kuiba wanachukua kikubwa kuliko wanachopeleka..
Hivyo wana nguvu za kuyumbisha hata serikali zao.
Ukisikia watu wako msituni ujue hawali mawe...
 
Nimesoma mada na nimejaribu kusoma post nyingi, Kama sio zote na nimeamua kidogo niandike!

Kushinda pambano 'winning a battle' sio mkakati..ni mkakati yes lakini, winning a war ni mkakati zaidi, lakini hata huo sio mkakati....spoils of the war ndio mkakati..
Yaani kugawana kile kinachotokana na vita..
Kuna mifano alfu lela hulela ningeweza kuleta hapa ..

Lakini, vividly, kwa muonekano tu, either hatuna conclusive plan na action za TPDF Congo au hatuna foreign policy, specifically focused on Congo.
Kidogo naijua TPDF na action zake all around...

Ila kwa Congo, kwanini hatushindi vita?
Kuna Brigedia anataja humu Sana, alipiga Sana ni kweli.. na Mimi nilienda kipindi hicho eastern Congo Kama mtalii, kweli alipiga..

Lakini matokeo yake yalikuwa nini?
Siwezi kisema kila kitu hapa ila kwa Congo tujitafakari

Binafsi nashauri!
Tusipigane tu! Tupigane ila baada ya mapigano tuwe na control na maeneo tulioyachukua..
Tuwe na watu wanaya 'police'..

Tuicomboe Congo, of which tunaweza tukiingia kwenye good deals na Congo na UN

Tupeleke vijana waelekeze jinsi ya kuweka usalama.
Tukae Congo Kama miaka ishirini halafu tutoke...
Watakua taifa na tutakuwa na faida..

Kupanga ni kuchagua,
Kudeal na Mr. Slim na M7
Au kuwakacha kimkakati na kuangalia picha kubwa!!
Pointi za kutosha ila vichwa panzi humu wengi hawatokuelewa
 
View attachment 2893231

TAFSIRI KWA KISWAHILI

Sisi M23 tunaidhinisha kwamba, tunaheshimu jumuiya zote zilizopo katika ukanda wetu na hatuna tatizo lolote na jumuiya ya SADC hususani sehemu yenye Jeshi la wananchi wa Tanzania.

Lakini, Majeshi ya SADC yamekuwa yakitumia mifumo ya roketi nzito aina ya 122 MRLS (bm) inayolipua na kuua raia wema wa maeneo yetu, wanaofanya haya ni wanajeshi kutoka Tanzania.

View attachment 2893565


View attachment 2893551


Ikiwa mashambulizi haya yataendelea, M23 haitaakuwa na namna nyingine bali kuzikamata silaha, kuziharibu pamoja na wanajeshi wanaotushambilia (wanajeshi wa Tanzania) ili kujilinda.
M23 hawana lolote wapigwe na wameuwawa haswa
 
Back
Top Bottom