econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Safi sana
Huyu Dogo atafaa sana Uwaziri mkubwa 2025 😂😂
Kwa Tanzania SITA shangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana
Huyu Dogo atafaa sana Uwaziri mkubwa 2025 😂😂
Chongolo anasemaje
Safi sana
Huyu Dogo atafaa sana Uwaziri mkubwa 2025 [emoji23][emoji23]
Nape jiandae kwaataarifa ya miezi miwili kabisaa,ili robo mwaka uwe na taarifa mbili
Kumekucha kumekuchaaa[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili...
nishasema hapa duniani hakuna binadamu mwenye akili ndogo km huyu bwana. Hajui hata majukumu yake, ni km comedian flani. Atamharibia mama...
Kwa hiyo, sasa hivi Makonda ni boss wa Mawaziri wote! Lazima wawajibike kwake!!
safi kabisa acha awavuruge wavurugane.............................hakuna PM, hakuna Naibu PM, hakuna cha waziri, Hakuna PS wooooooooooooooote wako chini ya makondaKwa hiyo, sasa hivi Makonda ni boss wa Mawaziri wote! Lazima wawajibike kwake!!
Yaniii no any change hahKweli tabia ni ngozi, jamaa kama mgonjwa vile
Huyu ni msemaji wa chama hana utofauti na kina Ali kamwe lakini ameanza kufanya kazi ya katibu mkuu chongolo. Ccm muwe mnawapa job description watendaji wenu.
Ni sawa kabisa katibu mwenezi ana jukumu la kusimamia serikali …Ila naona kama haya maneno angetamka katibu Mkuu Chongolo, Makonda ni mzuri kwenye kuvuka mipaka kimajukumu, kwa maana utawala ule alikuwa kama makamu wa rais na sio mkuu wa mkoa.
Kwa hapa sasa hata mwenyekiti SSH atakuws hana cha kuongea, show zote zitamalizwa na Makonda.
Makonda atakuwa msaada sana kwa mama.
Ingawa yule mama simpendiiii....
safi kabisa acha awavuruge wavurugane.............................hakuna PM, hakuna Naibu PM, hakuna cha waziri, Hakuna PS wooooooooooooooote wako chini ya makonda