kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee ni sahihi kabisaKuoa uzeeni ni kuleta balaa nyumbani
Yaani mtu kasota kupata mafanikio, unataka umpangie totoz ya kuwa nayo....eti akachukue kikongwe, hujawaelewa wanaume mama hasa ambao ni matajiri, ni sawasawa una kisu kikali halafu ukate nyama mbovu.Hawa wanaume sijui huwa wanawaza nini kwenda kuoa watoto wao.
Mengi na utajiri wake ameacha matatizo lukuki.
Siyo anawaomba ni mali ya baba yao na wana hizo hakiKama baba yao yupo yes. Sasa anawaomba watu ambao si wazazi wa hao watoto. Yeye kama mzazi ana uwezo wa kutoa hizo pesa ?Tuanzie hapo kwanza.
Labda mwalimu mwandamizi sana, tena kabla ya kikokotoo cha %33 hakiijawekwa kwa sasa mwalimu hagusi kabisaPensheni Ya Mwalimu
nchi ngumu hii ila powa acha mama aendelee kuupiga mwingi tutaona mwisho wakeLabda mwalimu mwandamizi sana,tena kabla ya kikokotoo cha %33 hakiijawekwa kwa sasa mwalimu hagusi kabisa
Ila kwaajili ya kulea watoto hao wawili hadi miaka 18, ni kawaidaKumbe ana taka pesa nyingi hivo na hamsemi mnasiri nyie
Sio kwa mwaka bwana, sio kwamba ni zote kulwaajili ya kuwalea hadi miaka 18??Tena hizo ni kwa mwaka tu.
Eeee ni watoto wa bilionea hao sio wa kjampa naniMil 15? Dah. Kwa mwezi???