Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Mfumo wa vyama vingi ulikataliwa na wananchi mbona Serikali walifanya maamuzi kuuanzisha? Wao waliwahi kutoaga tamko kupinga?
 
Shida sio DP World. Shida ni huu mkataba una maslahi kiasi gani kwa wana siasa wa Tanzania?
Wana siasa wetu haaminiki labisa na hawajali kabisa nini kinaweza kutupata sababu ya negligence zetu. Mfano halisi ni hizo kesi za mikataba tunazoendelea kushindwa
 
Kasome masharti ya hiyo mikataba ya uwekezaji kwa nchi ulizozitaja ulinganishe na wa kwetu ndiyo utafahamu kwa nini watu wanapinga huu mkataba ulivyo na si ku question uwezo wa DPW.
 
Wameshauri tu na sio lazima ushauri wao ufuatwe
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa Waislam. Hivi kwa nini huwa mnawadharau sana Bakwata?!!! Hata kama mtu hukubaliana na bakwata ndo uwadharau kiasi hicho? Hivi kweli mnaiona bakwata haijielewi kiasi hicho eti ije itetee mikataba ya kuuza mali za wananchi (waamini) wake?!!!!! Ili iweje?
 
Ndo hapo wanadai mihimili ya dola iheshimiwe.

Bunge lilitoa maamuzi, Mahakama imetoa maamuzi wao hawataki kuheshimu alafu wanasema eti Mihimili iheshimiwe. They don't practise what they preach sasa sijui wana preach nini

Hao sio wajinga.....wanajua nini kinaendelea nyuma ya pazia. Na wana maanisha wanaposema mihimili ya uongozi iheshimiwe
 
Kwa kifupi ni wajinga.
 
Mpaka vijiwe vya ghahawa waislamu hawauungi mkono maana washenzi baadhi wanataka kutengeneza sakata hili kwa sura ya kiimani.
 
Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo

Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Kivipi, hao jamaa walikowekeza kwote wanatawala? Hizi ni hoja zinazoshawishi kweli?
 
Ndo hapo wanadai mihimili ya dola iheshimiwe.

Bunge lilitoa maamuzi, Mahakama imetoa maamuzi wao hawataki kuheshimu alafu wanasema eti Mihimili iheshimiwe. They don't practise what they preach sasa sijui wana preach nini
Hakuna watu wenye akili watawasikiliza wapumbavu hao. Wanadhani hatujui nyuma ya pazia wanapigania nini?
 
Mkiishiwa hoja mnakimbilia kusema watu wamehongwa. Mimi sio wa kihivyo kijana. Jiheshimu!

Jitahidi mkuu utakumbukwa na waarabu labda watakupa kazi ya kusafisha vyoo. Maana elimu yako ya sheria haijakusaidia chochote
 
Mfumo wa vyama vingi ulikataliwa na wananchi mbona Serikali walifanya maamuzi kuuanzisha? Wao waliwahi kutoaga tamko kupinga?
Mfumo wa vyama vingi haukuwa na mambo mengi ya kimangungo kama huu mkataba wa bandari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…