exaud morrey
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,024
- 977
Chawa wewe apoNani chawa?
Alafu Taifa linapunguziwaje thamani?
Hata mimi naishi uswahilini. Hakuna huo upuuzi!naishi uswahilini ushenzini kama mnavyopaita mm ni mswahili mshinda vijiwen baada ya kaz ya kubeba tofari saiti
Nani ni chawa?Chawa wewe apo
Hivi unapo gawa Bandari zoote kwa bogos treat alafu bado ukampa mgeni uhuru wakupewa ardhi popote anapo taka hivi nchi hii itabaki nathamani ileile
Hoja ni wananchi kugawanyikaMfumo wa vyama vingi haukuwa na mambo mengi ya kimangungo kama huu mkataba wa bandari
mtoto mayai ww mzurmzur unakaa uswahln wap ww mtt wq kishua maisha softiHata mimi naishi uswahilini. Hakuna huo upuuzi!
Kama hujahongwa basi una tatizo la akili. Kawaone madaktari kwa msaada zaidi.Tunataka twende sawa. Sijahongwa na wala sitahongwa.
Wewe watu wanaandaa makabrasha saahizi unaturudisha huko tena hatupo Bunge limesharidhia na Mahakama Kuu imebariki .Mtauvunja tu mtake msitake na siku hiyo sijui mtaficha wapi miandiko yenu hii
Mtoto mayai mimi? Kwa kusema mimi mtoto tu unaonesha kuwa wewe ni mjingamtoto mayai ww mzurmzur unakaa uswahln wap ww mtt wq kishua maisha softi
Nani kakwambia huyo mtoto wa Rais alienda kwa shughuli za Serikali?Maaskofu wameona mbali sana!
Mungu awabariki zaidi kwa hili.
Nchi imefikia mahali mtoto wa Rais anakwenda kuwekeana mikataba na serikali za nchi za nje ilhali hata sio mtumishi wa UMMA!
Halafu wapumbavu fulani mnajitokeza kuutetea utawala huu!
Acheni kutuona watanzania wote milioni sitini ni wapumbavu wa kushikiwa remote msoga!View attachment 2720755View attachment 2720756View attachment 2720757
mtt imetumika km kiwakilishi usipanik njooo tumwage zege wa kishua mayaiMtoto mayai mimi? Kwa kusema mimi mtoto tu unaonesha kuwa wewe ni mjinga
Nadhani huo ushauri ni vyema ukajipa wewe mwenyeweKama hujahongwa basi una tatizo la akili. Kawaone madaktari kwa msaada zaidi.
DPW kwa ujumla hawezi kupendwa na baadhi ya wanasiasa, ni wanafiki wenye maslahi yao kupitia ufanisi mdogo wa uendeshaji wa bandari yetu.Shida sio DP World. Shida ni huu mkataba una maslahi kiasi gani kwa wana siasa wa Tanzania?
Wana siasa wetu haaminiki labisa na hawajali kabisa nini kinaweza kutupata sababu ya negligence zetu. Mfano halisi ni hizo kesi za mikataba tunazoendelea kushindwa
Ni nani kasema sababu ni wananchi kugawanyika? Kama umeshindwa hata kusikiliza kwa umakini ukaelewa, utakuwa una ajenda yako inayosukumwa na vipesa vya hongo au ugonjwa wa akili.Hoja ni wananchi kugawanyika
Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.
Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.
Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.
Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.
Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.
Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.
Ndo mana hata maaskofu wao walisomeka kwenye miamala ya Rugemalila. Hawa watu ni corrupt sanaDPW kwa ujumla hawezi kupendwa na baadhi ya wanasiasa, ni wanafiki wenye maslahi yao kupitia ufanisi mdogo wa uendeshaji wa bandari yetu.
Rais Samia anapopigania uwekezaji lengo lake ni kuongeza ufanisi wa TPA ili kinachopatikana kilingane na nchi yenye kutegemewa na mataifa nane kwenye suala zima la bandari.
Maadam upo msimamo wa bunge wenye kueleweka basi huo ndio wa muhimu zaidi kuliko hizi taasisi nyinginezo za kidini ambazo wahusika wanaweza kuhongwa pesa au kuwaonea aibu hao baadhi ya wanasiasa wapigaji wa pale bandarini.
Haya maswali peleka Kurasini TEC. Hapa nani atakujibu sasa?1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Haziuzwi bali anapewa muwekezaji na matarajio ni kupata fedha nyingi kwa ajili ya kuendesha na kukuza uchumi wa nchi.Ni ushauri tu, kama serikali haiutaki basi iendelee na mpango wake wa kuuza bandari.
Ni uelewa tu mdogo kaka, na ule ni mkataba kamili ukitaka kuelewa mantiki yake uusome wote kwa ukamilifu wake sio kifungu kimoja kisomwe kwa nia tu ya kutaka kufanikisha lengo la taasisi fulani.Kasome masharti ya hiyo mikataba ya uwekezaji kwa nchi ulizozitaja ulinganishe na wa kwetu ndiyo utafahamu kwa nini watu wanapinga huu mkataba ulivyo na si ku question uwezo wa DPW.
Wameiba rasilimali zipi? Lini?